Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

What a provocative language.... Najua unatumia lugha kumshusha mwanamke. Haijalishi. You don't appear any better in any way, shape or form.

Yes you've made it clear how stupid you can be. Kama huyo dada hajachukua precaution yoyote Kuzuia mimba hadi akaitoa ni kosa Lake Binafsi.

Mfano niliokupa ndo huo huo. Wazazi wanaoishia kuabort, Kosa ni ngono au Kosa ni family planning. Maybe you have comprehension problems..

I haven't used a provocative language, nehi...neither do I intend to degrade a woman, my mom is a woman too!
Wazazi hawafanyi ngono, ngono ni kwa wazinzi. Wao hufanya mapenzi, huleta na kuongeza bond ya upendo wao, wazinzi on the other hand, wanajinajisi miili yao. Mimba zisizotarajiwa kwa wanandoa ni lack of family planning education au bahati mbaya tu wanazidiwa na kujikuta wamemimbana.
 
Na mimi nimenotice, mtu akionekana kuwa upande wetu anaambiwa anafanya hivyo kwasababu hataki kutukera. Hivi matusi yote na lugha inayotumiwa kumuongelea mwanamke humu, kuna nini kipya hadi mtu aogope kutukera!!!

And it's not about taking sides. It's about truth.

Na ukweli ni kuwa bado jamii yetu ni ya mfumo dume, mwanamke hayuko huru sexually, na hudhalilishwa akionekana kutumia uhuru wake, wakati mwanaume haongelewi kabisa
Hahahaa alafu wote humu wake zao ni chuchu sa sita, how I wish niwaone dooh..
Kuna watu wameoa mascrepa na hata hawajui...
Na ukiwajibu tu we ni malaya, kweli wanawake wasome wajitambue hakuna mkombozi mwingine,na hapa tupo na wasomi tunabishana nao hivi imagine wale wenzangu na mimi waliokimbia shule si ndio itakua majanga
 
Darling, nadhani ujisome tena. Huombwi na mwanamke mwenzako, then what....ukubali tu kisa ni mwanaume? Do you guys even think of tomorrow when giving out yo punanis... Hivi ukichija unasema wanaume wamenifuja? Wewe ulikuwa wapi ukifujwa?
Nimesema, mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi. Kumbuka mimba, maradhi, pepo za ngono, kubadili wapenzi ovyo ni matokeo ya dhambi ya uzinzi.
Mwanao atakapokuja na kitumbo muulize haya maswali...
 
Hahahaa alafu wote humu wake zao ni chuchu sa sita, how I wish niwaone dooh..
Kuna watu wameoa mascrepa na hata hawajui...
Na ukiwajibu tu we ni malaya, kweli wanawake wasome wajitambue hakuna mkombozi mwingine,na hapa tupo na wasomi tunabishana nao hivi imagine wale wenzangu na mimi waliokimbia shule si ndio itakua majanga

Imebidi nirudi japo niliaga, hamna bwana wamesema wao hawaoi mascrepa, wake zao wote waliwakuta bikra na walaaaa hawakuzini kabla ya ndoa.
Unakuta mwanaume yuko below 30 ana more than 1kid from different moms na hajaoa ila anajiona msafiiii, sasa unajiuliza ni kwamba aliadopt au alisingiziwa maana yeye msafi haijui dhambi wala uzinzi.

Yaani mkombozi wa mwanamke ni yeye mwenyewe maana mama zao wangesoma humu walah wasingeamini kama huu ni uzao sao.
 
Last edited:
Komaaaa tena koma we no Mungu kwani? Tuache tumsumbue kwani wapi kasema hataki usumbufu ? Hata we unamsumbua vile vile na vitatizo vyako uchwara ... Umeniudhi watu wanasali wewe unaangalia nyonyo zao
Hahaha åa. ......"watu wanasali wewe unaangalia nyonyo zao???" Aiseee kula like nyingi mkuu statement ya karne hii
 
Ndio maana nimefika sehemu nimeamua kuwatazama tu...kama kuna mtu atashangilia hiii post kwa kejeli zilizoandikwa humu Hahaha aisee basi mtaani wanaume wachache..post yake ya kwanza alikuja kiuchonganishi baada ya kumtikisa akaanza kuandika sensibly...nimemnote huyu mshenga...
Alafu hawa watu tunaobishana nao hapa utadhani hawana madada na mashangazi huko hao ndio mascrepa ajabu huu ukweli hawawezi kuwaambia wanakuja kujificha huku kwa fake ID ati wanarusha mawe teh teh...
Na huyu mshenga anayo biologia yake matata siwezi kubishana nae tena maana tunatofautiana kuanzia hapo,yeye biologia yake imechanganywa na fizikia ukiongeza na experience hahah ngoja niishie hapa

Brenda, just argue pls. Mimi sijasoma biolojia kihivyo, mifano yangu ilikuwa kifizikia zaidi...umekwazika na mifano yangu? Pole sana.
Yangu ni ID fake lakini bahati mbaya/nzuri kuna watu humu japo hawanijui sana, lakini wanaweza kuniumiza kama wakitaka coz we're pals outside jf, hilo kwangu sio issue coz naongea ninachoamini, na wala simkandamizi mtu...
Mmechukua vitu personal sana baada ya kuandika yale watu wanayofikiri.
 
Teh teh teh teeeeeeh! Yaani nimecheka kama mazuri, haya bwana malaika nimekuelewa sitojifuja tena, sema aimeeeen!!

Darling, naomba unywe maji na utulize tu akili(relax), hakuna malaika humu na wala sikusemi wewe personal, naisemea jamii tu, just as you guys condemn our behaviour nasi tunafanya the same.
 
Mwanao atakapokuja na kitumbo muulize haya maswali...
Tuongelee kizazi hiki, cha wanetu kitakuwa kingine kabisa. Naamini hata wewe na wengine wote tutabarikiwa kuwa na watoto, but for now let's deal with 'us'.
 
Darling, naomba unywe maji na utulize tu akili(relax), hakuna malaika humu na wala sikusemi wewe personal, naisemea jamii tu, just as you guys condemn our behaviour nasi tunafanya the same.

Hahahahaaaaaaaa!!! Haya malaika eli nishakunywa, haya kalale sasa mkemwenza anahitaji huduma.
 
Brenda, just argue pls. Mimi sijasoma biolojia kihivyo, mifano yangu ilikuwa kifizikia zaidi...umekwazika na mifano yangu? Pole sana.
Yangu ni ID fake lakini bahati mbaya/nzuri kuna watu humu japo hawanijui sana, lakini wanaweza kuniumiza kama wakitaka coz we're pals outside jf, hilo kwangu sio issue coz naongea ninachoamini, na wala simkandamizi mtu...
Mmechukua vitu personal sana baada ya kuandika yale watu wanayofikiri.
Hapana sijakwazika mshenga...siwezi kukwazika na fake ID, I agree to disagree...kwa hili la leo tumetofautiana na siwezi kuficha tofauti yangu ili tu nionekane mnavyotaka nyie,nothing is personal here,no grudges...
 
Tuongelee kizazi hiki, cha wanetu kitakuwa kingine kabisa. Naamini hata wewe na wengine wote tutabarikiwa kuwa na watoto, but for now let's deal with 'us'.
Sio lazima kuargue mshenga unapoteza mpaka point,inamaana kizazi kijacho uzinzi utakuwa sawa
Nakupeleka kwa kizazi kijacho ili upate picha kwamba being a lady is not easy,na mwanaume anachangia katika huo ugumu,dhambi itabaki kuwa dhambi hata kwa kizazi kijacho
Na haya mnayoyaongea hapa sio mapya yalikuepo toka enzi na enzi sijajua hata mnachoshauri ni nini kwakweli....there is nothing you can change hilo naomba mjue hawezi kubadilika mwanamke kama mwanaume bado ana mentality kama hii,hapa ni sawa na kudeki bahari....actually haya mawe mnayatupa shimoni ili kupunguza stress
Hakuna jipya hapa mshenga.....
 
Uzao wa Abel upo bwana. Kuna ndugu yetu alikuwa na bf wake kijijini, kutinga udsm tu na jamaa yukobengineering mdada yuko ungwini; dada akaopoa jamaa la mtaani. Akazalishwa huko na dozi ya ngumi kila siku, stress hadi akaahirisha mwaka akarudi kijijini kujipanga upya. Next year akarudi shule mtoto akamuachia mama yake. Namna alivyorudisha majeshi, kamaliza chuo tu yule bf wa kwanza wa kijijini akatangaza ndoa. Wakaoana, akabeba na yule ishmael wake and they lived happily ever after. Mawifi na mama mkwe wamenuna, wamesusa, wamezira! Ikawa asubuhi, ikawa jioni mwaka wa 25! Tena naskia Christmas hii dada kazawadiwa prado newest model nyeusi, bado sijaishuhudia. Niko mpoleee na medali yangu ya kujitunza kwa paw.

Kama wewe una uchoyo wa kutunza scrapper kuna wataalam wa scrapper. Inang'arishwa ukiiona huikumbuki.
Tunachangia vizuriii, na tutamnyoosha mtoa mada na wanaume wote vikopo vya chooni afu mnachonga chonga badala ya kujifunza kwa Dimond mnangaa sharubu tu.
 
Ooooops!! Yaani mlichoongea nyie ndio mnakiona cha kweli ila alichoongelea sumbai ni kibaya, kuna mwanaume pia mwanzo alichangia ukweli ila kwakuwa haukuwa ule ambao bad boys waliutaka kuusikia akaambiwa the same thing, aiseeeee kweli kazi ipo.

nyie akina nani? mbona unajumuisha tu bila kuangalia,post zinazongumziwa za mwanzo huko mi nimechangia posts za mwisho mwisho wala hazhusiani na za huyo jamaa.

Oooh ila hii teaching method ya leo umeielewa vizuriiii, acha unafiki bwana shemeji, teh teh teh teeeeh!!

Usiniwekee maneno mdomoni,wapi nimesema nakubaliana na teaching method ya leo? sana sana nakushangaa we uliekuwa unatetea mipasho style yenu leo unaiona haifai.

Heeeeey!! Camoooon kila kitu kinajadiliwa humu humu maana mmekuja kwa mrengo wa kujifanya hamna dhambi nyie, hicho ni kichwa tu cha habari ila content yooote ni kejeli,dharau,kujikweza nk nk nk, kwahiyo hata hili lipo ndani ya mada, walaaa haihitaji kuifungulia thread.

usijumuishe, mimi binafsi nilishakwambia kwenye dhambi mimi ni shetani. mtoa mada ana teaching method kama yako na wenzio. je ukiacha teaching method yake hamna ka ukweli katika mada yake?
 
Ndio maana nimefika sehemu nimeamua kuwatazama tu...kama kuna mtu atashangilia hiii post kwa kejeli zilizoandikwa humu Hahaha aisee basi mtaani wanaume wachache..post yake ya kwanza alikuja kiuchonganishi baada ya kumtikisa akaanza kuandika sensibly...nimemnote huyu mshenga...
Alafu hawa watu tunaobishana nao hapa utadhani hawana madada na mashangazi huko hao ndio mascrepa ajabu huu ukweli hawawezi kuwaambia wanakuja kujificha huku kwa fake ID ati wanarusha mawe teh teh...
Na huyu mshenga anayo biologia yake matata siwezi kubishana nae tena maana tunatofautiana kuanzia hapo,yeye biologia yake imechanganywa na fizikia ukiongeza na experience hahah ngoja niishie hapa
wewe, housegirl na atoto kwenye thread moja niliwaambia 'nina tatizo na teaching methods na nyie tutors' mmoja wenu akasema wanafunzi wenyewe vichwa ngumu lazima methods ziwe tofauti na method iliotumika ndio inafaa....sasa thread hii naona mnavyokerwa na method iliotumika,mbona hamna msimamo??

Nawauliza tena,ukiachana na hii teaching method mbaya,je hii mada haina ka ukweli? hamna wanawake wa aina hii? mind you kuuliza hivi sio kushangilia, ni kujaribu kupata kitu kitakachojenga.
 
Hahahaa alafu wote humu wake zao ni chuchu sa sita, how I wish niwaone dooh..
Kuna watu wameoa mascrepa na hata hawajui...
Na ukiwajibu tu we ni malaya, kweli wanawake wasome wajitambue hakuna mkombozi mwingine,na hapa tupo na wasomi tunabishana nao hivi imagine wale wenzangu na mimi waliokimbia shule si ndio itakua majanga
You call other women scrappers??!!! im just asking.
 
wewe, housegirl na atoto kwenye thread moja niliwaambia 'nina tatizo na teaching methods na nyie tutors' mmoja wenu akasema wanafunzi wenyewe vichwa ngumu lazima methods ziwe tofauti na method iliotumika ndio inafaa....sasa thread hii naona mnavyokerwa na method iliotumika,mbona hamna msimamo??

Nawauliza tena,ukiachana na hii teaching method mbaya,je hii mada haina ka ukweli? hamna wanawake wa aina hii? mind you kuuliza hivi sio kushangilia, ni kujaribu kupata kitu kitakachojenga.

Thot men are different from women!! Kumbe ni the same! Okey.
 
Back
Top Bottom