Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,383
nyie akina nani? mbona unajumuisha tu bila kuangalia,post zinazongumziwa za mwanzo huko mi nimechangia posts za mwisho mwisho wala hazhusiani na za huyo jamaa.
Usiniwekee maneno mdomoni,wapi nimesema nakubaliana na teaching method ya leo? sana sana nakushangaa we uliekuwa unatetea mipasho style yenu leo unaiona haifai.
usijumuishe, mimi binafsi nilishakwambia kwenye dhambi mimi ni shetani. mtoa mada ana teaching method kama yako na wenzio. je ukiacha teaching method yake hamna ka ukweli katika mada yake?
"mipasho style" okey now i get it, kumbe leo inafaa!! Haya.