housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,194
Unaweza kutumia maandiko kuProve whatever you want. I could also kitabu cha methali kuwasema wanaume aina yako, wasiojua kuishi na watu, kujiona wanajua kila kitu na wako juu ya watu.Pole sana, lakini hayo sio maneno yangu bali ya vitabu vitakatifu labda useme huvifuati tena.
Sijui ni dunia gani unaishi, lakini hao unaopenda kuengage nao wengi wana tabia kama za wanaume wa kiafrika, ni sharia zao kali tu zinawabana.
Hata hivyo, unaweza kutumia msuli mkubwa hadi uipate ndoa na westerners.
Ni inferiority complex yako tu na si vingine.
AND PLEASE DON'T SPEAK FOR THEM. YOU DONT QUALIFY. eti wana tabia kama za waafrika ptuu