Wew ni mwanaume?Mxiuuuuuuuuuuu! WANAUME WENYEGUBU KAMA MTOA MADA NDO WANAKUFUJA MPAKA UNAKIONA CHA MTEMA KUNI. Hapo hajakuoa nyodo ndo zipo level hiooo! Hahahaaaaaaaa! Ndo ile mume wa kuchoraa, mume mume jina hakujui kwa sabuni wala kanga. Hahahaaa! Kwenda KFC sahau. Ndo maana nawaambia Wanawake TUFANYE KAZI USIJIBWETEKEEE. Ukipata jibaba kama hili utavaa lonya na wanao mpaka ukomeee. Kariakoo itakukoma, sare za jiji ndo zako, ofisini kama mfagizi. Nguo ya ghali kumiliki 30,000. Hahahaaa! Ngachokaaa! Nguo za kina TK Fashions kijitonyama za 150,000 cheappest kwa 300,000 utaziona dukani tu Hahahaaa! Jibaba hili likupe 200,000 ununue gauni thubutuuuuu!
Ila kuna WANAUME WANA ROHOOOOOO! We acha tu! Mpaka unashukuru Mungu! Anakupa matunzo unadhibitisha bila shaka yoyote ni uzao wa Abel! Anakuoa na mitoto yako na kuilea kabisaaa. NDO KUSEMA HUMUONI ZARI AU? Na mitoto yake 3 na bado katupiga vikumbo wali tusioijua lebaaa.
Hahahaaaa! Kumbe je. Huu ulioandika hapa UZAO WA KAINI PASIPO SHAKA YOYOTE.Hili kutoka kwako nililitegemea haaaaaaaaah nmecheka sana et mwanaume wa uzao wa abel haaaaaaaah tembea uone
Tunachangia vizuriii, na tutamnyoosha mtoa mada na wanaume wote vikopo vya chooni afu mnachonga chonga badala ya kujifunza kwa Dimond mnangaa sharubu tu.Watakimbia wengi hapa coz kwao waliyo wengi wanatuletea ushauli Mara mm ilikuwa hiv hatutaki huo ushauli wenu Wa kila siku na hapa amuwezi changia coz ilo jiwe ni hatari
Duh haaaaaaaaaaaaaaaaaaaah dah haya bhna me simoHahahaaaa! Kumbe je. Huu ulioandika hapa UZAO WA KAINI PASIPO SHAKA YOYOTE.
Teh teh ngoja waje walee wadada wa jf wenye stress wa 30+ wakuchambeee.....
hata bila dai wale watoto wangeishi maisha classic, tofautisha na hawa wa uswazi kwetu wanaoringa sana then baada ya kuzalishwa au age kusonga wanajifanya kuomba na kufungaTunachangia vizuriii, na tutamnyoosha mtoa mada na wanaume wote vikopo vya chooni afu mnachonga chonga badala ya kujifunza kwa Dimond mnangaa sharubu tu.
Ndo hapo sasaaaa! Kuna mabinti vibikraaa kabisaa wangapiii Dai angewataka angewaoa hata bureee. Lakini kakolea kwenye K used, K ya bibi, ina video ya pono, na imeliwa na mastar kibao na ina makunyanzi. Ila yeye ndo hasikii wala haoniii. Utamwambia nini?Diamond kwa zari lara1
Nyoooooo! Mbona Dida anaenda kuolewa chungu cha 4 na kuna vibikra kanisani havina hata chungu kimoja? Kuolewa bahati na umpate mjinga mwenzio umfunge funge akili na kumzidi maarifa anasign karatasi lile ndo ndoa hivooo. Unafikiri ndoa basi kitu kikubwaaaaa? Hahahaaaaaa!hata bila dai wale watoto wangeishi maisha classic, tofautisha na hawa wa uswazi kwetu wanaoringa sana then baada ya kuzalishwa au age kusonga wanajifanya kuomba na kufunga
Haha hilo la Diamond linahitaji moyo unafikiri ni mchezo kulea mtoto ambaye ni almost umri wake hivi anamwamkia kabisa shikamoo baba?? Hata maandiko yanatuambia ndoa tamu ni ile ya ujana ,wote mkiwa na nguvuTunachangia vizuriii, na tutamnyoosha mtoa mada na wanaume wote vikopo vya chooni afu mnachonga chonga badala ya kujifunza kwa Dimond mnangaa sharubu tu.
We unaongea nini? Naseeb Abdul ni muslim safi kabisaa na Mtume mwenyewe alimuoa Bi Khadija, mwanamke wa makamo kama Mke wa kwanza. Itakuwa Dai? Acha mambo zako wewe. Age is nothing but a number. Sasa nafasi ya umri kwenye ndoa ni nini labda?Haha hilo la Diamond linahitaji moyo unafikiri ni mchezo kulea mtoto ambaye ni almost umri wake hivi anamwamkia kabisa shikamoo baba?? Hata maandiko yanatuambia ndoa tamu ni ile ya ujana ,wote mkiwa na nguvu
hahahah ndoa kitu kidogo eenh! ndo maneno yenu hayoNyoooooo! Mbona Dida anaenda kuolewa chungu cha 4 na kuna vibikra kanisani havina hata chungu kimoja? Kuolewa bahati na umpate mjinga mwenzio umfunge funge akili na kumzidi maarifa anasign karatasi lile ndo ndoa hivooo. Unafikiri ndoa basi kitu kikubwaaaaa? Hahahaaaaaa!
Wapo kibaooooo, nimechoka tu kutaja.
Hahaha sawa Muislam safi ,nenda basi kamsaidie mfalme mswati ku recruit wake zake ,uende kabisa na proposal yako kwamba ni wanawake over age ndio watakao mfaa uone kama ujala shaba hadharaniWe unaongea nini? Naseeb Abdul ni muslim safi kabisaa na Mtume mwenyewe alimuoa Bi Khadija, mwanamke wa makamo kama Mke wa kwanza. Itakuwa Dai? Acha mambo zako wewe. Age is nothing but a number.