Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Na hili ndo kubwa lao humu.

Ilikuwa ni lazima ajitokeze. Hili jiwe lililorushwa lilikuwa kali sana.
Acha tuuu mkubwa wa maadui leo ameamua kusimamia show mwenyewe ngoja awanyooshe leo...kwa vichambo...!
 
Anayo ? Hiyo kitu kidogo? Khe heeee kheeee... mkuu hi vita na 30+ single dada ni vita ya nne ya dunia
anajifariji tu, kuna mmoja hapa mtaani 30+ na watoto wake wawili safi, ukimuona muda wote uso umekunjamana, wakiwa wanang'aa wana nyodo hao, age ikienda kila mtu mbaya wake
 
Ahaa haaa.....yes. but kuna wale hawajafika thirty but wapo stressed na disperate....

Ila mtoa mada anataka hawa wadada waende wamlilie nan? Jamn...

Wakat maandiko yanasema tumpelekee mizigo nayeye atawapumzisha...?

Dada mtumishi
Na uzuri ni kwamba Mungu hachoki kutusikiliza. Namuheshimu sana huyo aliye desperate afu akakimbilia kwa Mungu, kuliko atakayekimbilia kuolewa out of desperation. Anayekimbilia kwa Mungu amechagua fungu jema sana and she is never going to be disappointed
 
Hahaha huu mfano nimeupenda, ana mtoto kaachika mara 3 na bado anaolewa ya nne, kuna ambao wamejitunza na hawajui hata wataolewa lini?hata wa kuwaambia "dada hujambo" hamna, kwenye maisha kila mtu kapangiwa fungu lake, let people be
Dida ni mmoja ya wanawake wa shoka.
 
Moderator naomba uniongezee chupa nyingine ya castle, naona huu moto utaamsha hasira za kina Heaven!
 
KAMA
Oh ila ni kwenye mafundisho ya kiislamu waumini wana amini ni bora asidhini hapa duniani ili akakutane na virgin 70 akhera ,wondeful narudia tena Virgin ,sio vitu vilivyotumika vibaya kwenye ujana wao , kazi kulia na Mungu ,bora hata Ghadafi walau alitimiza hayo akiwa hai kuwachagua wanawake bikira kuwa kwenye buble ya walinzi wake
Au Ghadafi hakua muislamu safi ?
KAMA MUNGU ANASAMEHE WHO ARE YOU TO JUDGE? Unajivika umungu kijanja eeeeh? Ingekuwa hivo dini ingekataza mwanamke asie bikra asiolewe. Ila imetoga GO AHEAD! Hapa mpreaaa mperaaa tu. Warereeeeeeeeeeee!
 
Mtume aliwaambia hao wanaofunuliwa wasimpe mtu mpaka ndoaaa, kilichowakumbaaa?
unajua sijaelewa hili jiwe limekupata wapi, kichwani, mgongoni au wapi, limekuumiza kwelikweli teh teh teh
 
Na uzuri ni kwamba Mungu hachoki kutusikiliza. Namuheshimu sana huyo aliye desperate afu akakimbilia kwa Mungu, kuliko atakayekimbilia kuolewa out of desperation. Anayekimbilia kwa Mungu amechagua fungu jema sana and she is never going to be disappointed
Kweli kabisa...
Tutaongea kuchangamsha genge but all in all wanaomkumbuka Mungu na kuamini kwamba ipo siku atarekebisha njia mbovu za enz za ujana wao hao wapo salama zaidi.

Hivi Mungu anasumbuliwa?ga.... mtoa mada bwana daaah kaniacha hoi. Sijui anamuabudu na kumtegemea nan?
 
Ahaa haaa.....yes. but kuna wale hawajafika thirty but wapo stressed na disperate....

Ila mtoa mada anataka hawa wadada waende wamlilie nan? Jamn...

Wakat maandiko yanasema tumpelekee mizigo nayeye atawapumzisha...?

Dada mtumishi

Wenye stress wake zenu wameokota fuko la mavi kwenye maandamano! HAHAHAHAAAAAAAA,! Shurti wajipake hayo mavi na yatawanukia ndani for the rest of their lives mchezooooo sasa! Hahahaaaaaaaaa! Chezeaaaa! Kutangulia sio kufika. Ngoja niwapunguzie dozi msije kuji murderrr bureeee! Mwaka ndo kwanza unaanza.
 
Waungwana ngoja nikaombe Mungu kanisani mieee, jumapili ya kwanza ya mwaka hii, anistri na mkosi wa kupata vibwana visivyoeleweka kam mtoa mada wa leo. Shindwaaaaaaa kabisaaa na ulegeeeee. Nitarudi saa 1 kuendeleza ligi.
 
Na uzuri ni kwamba Mungu hachoki kutusikiliza. Namuheshimu sana huyo aliye desperate afu akakimbilia kwa Mungu, kuliko atakayekimbilia kuolewa out of desperation. Anayekimbilia kwa Mungu amechagua fungu jema sana and she is never going to be disappointed


Ni kweli mahali salama ni kwa Mungu tu, asiyechoshwa na shida zetu. Ndiyomaana tunasisitizwa shida na matatizo yetu yote tuyaelekeze kwa Mungu.
Binadamu badala ya kutoa faraja wanakimbilia kukejeli,kudhihaki na kikubwa zaidi kuhukumu utadhani wao ni malaika watakatifu.
 
Kweli kabisa...
Tutaongea kuchangamsha genge but all in all wanaomkumbuka Mungu na kuamini kwamba ipo siku atarekebisha njia mbovu za enz za ujana wao hao wapo salama zaidi.

Hivi Mungu anasumbuliwa?ga.... mtoa mada bwana daaah kaniacha hoi. Sijui anamuabudu na kumtegemea nan?
Yani huwa naassume tu Mungu angelikuwa ni mwanadamu khaa, sijui kama kuna ambaye angebaki hai leo. Wote tunatenda dhambi au kuna mahali tunakosea, but tunataka tu makosa ya wenzetu ndo yawe judged na kutolewa adhabu. Ila sisi tukikosea, tunaomba second chance mweee. Na huwa tupo busy kweli kuombea wenzetu karma iwarudie teh, ila ndo hivyo tena. Wote tunaishi kwa neema tu
 
Komaaaa tena koma we no Mungu kwani? Tuache tumsumbue kwani wapi kasema hataki usumbufu ? Hata we unamsumbua vile vile na vitatizo vyako uchwara ... Umeniudhi watu wanasali wewe unaangalia nyonyo zao
Msichoke kumsumbuaa akujibu....!
 
Back
Top Bottom