Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

mkuu soma comments zako page ya kwanza na ya pili, utaiona rangi yako halisi, umebadilika baada ya kumuona atoto na heaven, kwasababu hao ni mabeshte zako hutaki wakuone uko against
Swala la watu kupewa ukweli lipo pale pale mkuu,
Sijabadilika kutetea uzinzi na kusema fanyeni au wasichana wadogo kutojitunza hiyo ndio hoja ya msingi...
Kama ningesema ndio hapo ndio ungeona nimebadilika,

Nlichoenda agaist na mleta mada ni kuwaambia wasiende kwa Mungu kusali, hapo nakataaa...!

Hao 30+ walio stressed na disperate acha wamrudie mungu wao....!

That's my standing....!

Unalingine?
 
Dah!!! Hii thread ni ndefu chalyangu nimemaliza gunia la popcorn!!!
 
Swala la watu kupewa ukweli lipo pale pale mkuu,
Sijabadilika kutetea uzinzi na kusema fanyeni au wasichana wadogo kutojitunza hiyo ndio hoja ya msingi...
Kama ningesema ndio hapo ndio ungeona nimebadilika,

Nlichoenda agaist na mleta mada ni kuwaambia wasiende kwa Mungu kusali, hapo nakataaa...!

Hao 30+ walio stressed na disperate acha wamrudie mungu wao....!

That's my standing....!

Unalingine?
karibu ugali kwa spinach sijui chinese
 
Acha hasira za kitoto wewe, umwombe Mungu akusamehe dhambi zako, kisha akurehemu upate mume, unapoomba uwe unataja mistari ktk Biblia.
Mungu huwa anapenda kuombwa kwa ushahidi, kuhusu kuomba rehema soma Kutoka 34:7 na Zaburi 78:38.Kuhusu kuvunja falme za giza zinazokuzuia kuolewa, soma Amosi 9:1-4.na Yeremia 51:20-24.
Ukiingia kwenye maombi hakikisha unatamka mistari hiyo, Mungu haombwi kwa mazoea kama binadamu, na usiombe maombi ya kiroma hayana upako wa Mungu.
Tafuta watumishi wa Mungu wakufundishe kuomba ila wasiwe waroma hao hawajui kumwomba Mungu, na pia uache dhambi maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu.
Umeleta mada nzur tena constructive ila hapo unapoanza kuattack wakatoliki umepotoka kabisa hakuna ulijualo khs ukatoliki,epuka sana kugeneralize mambo,hebu jikite kwny mada tu uliyoianzisha.
 
Baba umefunguka kwa juhudi nyingi.ila watoto wanaojiita wa mjini hujawashawishi bado.eti wasikubali kuonjwa.sidhani
 
Swala la watu kupewa ukweli lipo pale pale mkuu,
Sijabadilika kutetea uzinzi na kusema fanyeni au wasichana wadogo kutojitunza hiyo ndio hoja ya msingi...
Kama ningesema ndio hapo ndio ungeona nimebadilika,

Nlichoenda agaist na mleta mada ni kuwaambia wasiende kwa Mungu kusali, hapo nakataaa...!

Hao 30+ walio stressed na disperate acha wamrudie mungu wao....!

That's my standing....!

Unalingine?
Kiongozi @sumbai, soma posts zako za mwanzo, then linganisha na posts zako baada ya mjadala kuwa hot. Hakika utapata kitu.
It's not my intention to interfere.
 
Kasome kitabu cha tujisahihishe(let us correct ourself) cha J.K nyerere.....

Sipo kutafuta huruma, wala sihitaji huruma mkuu, maana hazita nisaidia kitu.

Ila nipo kusimamia ninacho kiamini regardless nan atakubaliana na mimi au kukataa.

Onesha nlipokuwa dhaifu mkuu, Please...
najua hupo katika kutafuta hilo lakini kuna kitu utakijua muda ukifika @sumbai naomba tuvute subira kiongozi wangu
 
Kiongozi @sumbai, soma posts zako za mwanzo, then linganisha na posts zako baada ya mjadala kuwa hot. Hakika utapata kitu.
It's not my intention to interfere.
bora wewe umeona mkuu, mimi nililiona nikapotezea nikajua tu jamaa anatafuta sympath ya wadada, penye ukweli tuongee tu, mademu ni kawaida yao kukasirika wakiambiwa ukweli, hata ukimuambia weaving halijakupendeza atakasirika, so mimi nawachanaga tu baadaye tunacheka kama kawa
 
Teh teh ngoja waje walee wadada wa jf wenye stress wa 30+ wakuchambeee.....



Nlisema watakuja single dada streesed na maisha wataanza kutukanaaa....

Teh teh... wote hao ni 30+ jua lishazamaaa....kaz matusi



Anayo ? Hiyo kitu kidogo? Khe heeee kheeee... mkuu hi vita na 30+ single dada ni vita ya nne ya dunia



Ahaa haaa.....yes. but kuna wale hawajafika thirty but wapo stressed na disperate....

Ila mtoa mada anataka hawa wadada waende wamlilie nan? Jamn...

Wakat maandiko yanasema tumpelekee mizigo nayeye atawapumzisha...?

Dada mtumishi



Kweli kabisa...
Tutaongea kuchangamsha genge but all in all wanaomkumbuka Mungu na kuamini kwamba ipo siku atarekebisha njia mbovu za enz za ujana wao hao wapo salama zaidi.

Hivi Mungu anasumbuliwa?ga.... mtoa mada bwana daaah kaniacha hoi. Sijui anamuabudu na kumtegemea nan?



Ha haa nenda kamsumbue Mungu, hakika atakujibu maombi yako upate haja ya moyo wako. Ila pia akubariki na ujazwe roho mtakatifu ili uache kutuchamba hapaaaaa......
Khaaa



Yes.....
Hamna kuchoka kupiga magoti mbele ya Mungu.



Kwa hiyo wanaolalamika hapa wapo stressed? Wamekimbiwa....!
Hebu nyoosha maneno...



Binafsi sijampangia Mungu wala kumhukumu mtu, wala kumcheka mtu kutokana na hali fulani.

ni 30+ na sio 20+ au wengineo ndio age haswaa mleta mada aliyoilenga. Nlichosema nlisema kutokana na uzoefu wangu wa jf. Mtu akileta mada huwa inakuwaje.... kama ilivyotokea (vichambo, panik, matusi n.k) jiwe gizani kama kawaida.

Otherwise ni changamsha genge, this is jf....!



Ameeeen,
Wanaume halisi hawalii...! Labda wavulana...unaanzaje kulia!?



Kimsingi hii post sio mbaya kabisa, mtoa mada kasema ukweli juu ya vijana kwa ujumla ingawa kawagusia wanawqke kwamba wajitunze enzi za ubinti wao

Hajamanisha wavulana wasijitunze,

Ila alichokosea mtoa mada ni pale aliposema si sahihi kumkimbilia mungu baada ya kuuharibu ujana,

Na kuhusu kugeneralize kwamba wasio olewa wote waliutumia ujana wao vibaya.



Na pia ni kwa kutumia lugha fulani kali tuuu,

Na watu kwa kujihisi daaah hawajambo.....


Someni upya hapo....!
 
bora wewe umeona mkuu, mimi nililiona nikapotezea nikajua tu jamaa anatafuta sympath ya wadada, penye ukweli tuongee tu, mademu ni kawaida yao kukasirika wakiambiwa ukweli, hata ukimuambia weaving halijakupendeza atakasirika, so mimi nawachanaga tu baadaye tunacheka kama kawa
habari yako mkuu @peterchoka
 
Source ya sisi kumsumbua Mungu ni nyinyi....kuna correlation hapa hatuwezi kusimama kwa wanawake tu...hivi ni mnajitoa ufahamu au ......huyo mwanamke anachakazwa na nanii hebu ongea kama baba mwenye binti ....
Mwanamke/mwanaume anajichakaza mwenyewe kwasababu hapa tunazungumzia mtu aliefikia/kupita age ya consent,anafanya kitu kwa utashi wake. Ndio maana kuna wanawake wanapiga watu vibuti na kuna wengine hawajui kusema NO.

I wish reaction yenu mwanzo wa post ingekuwa kama hizi post za mwisho, ila reaction ilikuwa tofauti na ndio maana hii thread ikageuka mipasho. Wengine ndio maana unaona tunaanza kuchangia sasa hivi baada ya joto kushuka vinginevyo pale mwanzo tusingeelewana.
 
Swala la watu kupewa ukweli lipo pale pale mkuu,
Sijabadilika kutetea uzinzi na kusema fanyeni au wasichana wadogo kutojitunza hiyo ndio hoja ya msingi...
Kama ningesema ndio hapo ndio ungeona nimebadilika,

Nlichoenda agaist na mleta mada ni kuwaambia wasiende kwa Mungu kusali, hapo nakataaa...!

Hao 30+ walio stressed na disperate acha wamrudie mungu wao....!

That's my standing....!

Unalingine?
Mkuu ngoja nikwambie black and white......wanachosema hawa ndugu ni kuwa 'UNAONGEA VITU AMBAVYO MABINTI WANAPENDA KUSIKIA'. yaani unaogopa kuwakera watakuona sio.....
 
bora wewe umeona mkuu, mimi nililiona nikapotezea nikajua tu jamaa anatafuta sympath ya wadada, penye ukweli tuongee tu, mademu ni kawaida yao kukasirika wakiambiwa ukweli, hata ukimuambia weaving halijakupendeza atakasirika, so mimi nawachanaga tu baadaye tunacheka kama kawa


Sasa mkuu maswala ya wadada wa jf ni wazuri au wabaya mimi inanisaidia nini?

Kama mtu mbaya alafu mwenyewe anajiona mzuri we kinakuuuma nini? Sasa mkuu kuna sehem ulipo wachana alafu mimi nkakwambia hapana ni wazuri?

Maswala mengine ukifatilia na kuchunguza ukweli wa nyuma ya keybod utakuwa unajiumiza kichwa.

Kuhusu Mada hii, lazima ifikie hatua kwamba tukubaliane kutokubaliana.

Wote kwa pamoja tunakubaliana na mtoa mada kwamba wadada wanatakiwa wajitunze,

Tunatofautiana kwa namna ipi ya kuwasaidia wajitambue ili wajirekebishe

Msimamo wangu ni kwamba Lazima warudi kwa mungu tofauti na mawazo ya mtoa mada.

Tofauti nyengine ni kwmba lugha inayotumika kumuelewesha mtu, unaweza ukawa una hoja au wazo zuri la kumsaidia mtu, but unavyo present inaweza kuharibu na kumchanganya unaetaka kumsaidia.

Like mtoa post, the same as you! Siku zote ukitaka kumsaidia mtu lazima utafute namna sahihi ya kumueleza/ kuzungumza nae hiyo sijui kuwachana its okey. But isnt right wayfor u to help some bady, zaidi ya kujenga bifu au kuanza kumpanikisha mtu na ndicho nlichotabiri mwanzo kikatokea watu badala ya kumuelewa mtoa mada wamereact sasa huoni hapo hujamsaidia?

Pia sio lazima ukubaliane na mimi, na sio lazima mimi nikukubali wewe! We do differ
 
Mkuu ngoja nikwambie black and white......wanachosema hawa ndugu ni kuwa 'UNAONGEA VITU AMBAVYO MABINTI WANAPENDA KUSIKIA'. yaani unaogopa kuwakera watakuona sio.....

Sasa niongee nini kipya zaidi ya mleta mada? Swala ni kwamba Wamrudie mungu,
Mengine ya kuwakera sina!
 
Sasa niongee nini kipya zaidi ya mleta mada? Swala ni kwamba Wamrudie mungu,
Mengine ya kuwakera sina!
Hutakiwi kumkera mtu, akikereka kwa ulichosema hio ni juu yake ndio maana wenzio wamekuona jinsi ulivyobadilika na kuanza kuongea vitu watu wanapenda kusikia. Anyway kila mtu na maoni yake.
 
Mie mpatanishi hodari sana kiongozi. Ila penye reality huwa simumunyi maneno.
Siki hizi maisha yamebadilika sana, tunashindana na dada zetu kwa kila jambo.
Nina jamaa namfahamu, demu wake ameonekana kuwa na tobo kwenye uterus, doctor kauliza straight bila kupindisha maneno, "amewahi kutoa mimba?" Mdada kakataa kw kuapa kuwa hajawahi kuchomoa. Hivi sasa jamaa anahaha kwenda India kupandikizwa mtoto, which will cost $10,000/-.
Tukichezea ujana tujue itafika kipindi tutalipishwa kwa matendo yetu, whether we confess to God or not, whether we pray or not.
Nashukuru mkuu umenisaidia kuwaeleza ukweli maana mimi wanaona kama Nimewaonea sana hasa huyu Shangingi lara 1 ndo kimbele front kuwatetea makahaba,
Nina binamu yangu alikuwa hasikii akiambiwa, wakija wachumba anawatosa tu. sasa hivi anahaha kuolewa baada ya kuzalishwa na kutelekezwa, kuna wakati Mungu anachukia na kukuacha kama ulivyo hadi unazeeka, Neno la Mungu ktk kitabu cha Muhubiri 12:1-2.inasema: Mkumbuke Mungu ktk.siku za ujana.ujana wako kabla hazijaja siku zilizo mbaya ambapo hutaona hata mwezi.
Sasa wameuchezea usichana wao wanalia na dunia, there is no excuse! Hao wanaosema sijui wanaolewa eti umri umeenda hao wanafanya bora liende hawana furaha halisi ya ndoa, ndoa tamu ni ya ujanani bana na si uzeeni.
Na bado watakiona cha moto maana midume inaoana yenyewe kwa yenyewe shetani kaivuruga dunia. Wanaambiwa ukweli wanakuwa wakali kama mbwa kichaa.
 
Back
Top Bottom