sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Vitu gani wanavyopenda kusikia mkuu?Hutakiwi kumkera mtu, akikereka kwa ulichosema hio ni juu yake ndio maana wenzio wamekuona jinsi ulivyobadilika na kuanza kuongea vitu watu wanapenda kusikia. Anyway kila mtu na maoni yake.