Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Hutakiwi kumkera mtu, akikereka kwa ulichosema hio ni juu yake ndio maana wenzio wamekuona jinsi ulivyobadilika na kuanza kuongea vitu watu wanapenda kusikia. Anyway kila mtu na maoni yake.
Vitu gani wanavyopenda kusikia mkuu?
 
Mwanamke/mwanaume anajichakaza mwenyewe kwasababu hapa tunazungumzia mtu aliefikia/kupita age ya consent,anafanya kitu kwa utashi wake. Ndio maana kuna wanawake wanapiga watu vibuti na kuna wengine hawajui kusema NO.

I wish reaction yenu mwanzo wa post ingekuwa kama hizi post za mwisho, ila reaction ilikuwa tofauti na ndio maana hii thread ikageuka mipasho. Wengine ndio maana unaona tunaanza kuchangia sasa hivi baada ya joto kushuka vinginevyo pale mwanzo tusingeelewana.
Tulireact kutokana na post ilivyoletwa...
Ukitaka mtu akuelewe,especially mwanamke cheza na jinsi unavyomuelewesha.....
Mkileta vita message haiwezi kuwa delivered...
Kuna watu huko mwanzoni kabisa walitoa ujumbe kwa ustaarabu na wakaeleweka,how you convey your message matters alot...
Kama mnatoa ushauri kwa mipasho basi mtajibiwa hivyo hivyo....
 
@mkabasia dada yangu naomba unisamehe kwa nilichokiandika, najua nimekuvunja moyo na kuiondoa Imani Yako kwangu... Najua unaweza kuniona kama mtu wa Ajabu sana lakini hakukuwa na Jinsi dada angu kwani hii Ilikuwa vita ambayo haikuchagua silaha. Nisamehe Dada Nisamehe Mpendwa Wangu @mkabasia naomba imani yako kwangu irudi palepale
Hicho ndicho nlichohisi.Haina shida lakini nlishangaa.Surely ni hii topic ndo imefanya uandike hivi , kwa huu msamaha uloomba sina budi kukusamehe kakangu.
 
Tulireact kutokana na post ilivyoletwa...
Ukitaka mtu akuelewe,especially mwanamke cheza na jinsi unavyomuelewesha.....
Mkileta vita message haiwezi kuwa delivered...
Kuna watu huko mwanzoni kabisa walitoa ujumbe kwa ustaarabu na wakaeleweka,how you convey your message matters alot...
Kama mnatoa ushauri kwa mipasho basi mtajibiwa hivyo hivyo....
Nyie watu ni wepesi kusahau ajabu....Unakumbuka thread ya mambo kumi yanayokera niliandika 'nina tatizo na teaching methods na tutors wenyewe yaani wewe, @toto na @housegirl mmoja wenu akasema wanafunzi mnatofautiana wengine lazima wafundishwe kwa method hizo[mipasho] na leo mnakunywa dawa yenu.
 
Hicho ndicho nlichohisi.Haina shida lakini nlishangaa.Surely ni hii topic ndo imefanya uandike hivi , kwa huu msamaha uloomba sina budi kukusamehe kakangu.
nashukuru sana dada @mkabasia nitazingatia mada husika lakini kuna wakati itabidi unisamehe
 
Mnapokuwa bado warembo na chuchu zimesimama kama kifuu cha nazi mnakuwa na dharau sana

Mkishakuwa skrepa chuchu zimekuwa kama ndala .

Kumbe mama yako skrepa!!!!!!!!!

We una stress za kukataliwa bwana. Kama hutakwi hutakwi tu hata utukane vipi.
@atoto kagundua kusoma between the lines. Tafuta hela usituchoshe.

Tutachagua hadi 40s. Siwezi kuolewa na mtu ili jamii ione nimeolewa wakati humo ndani naishi na zigo la Mavi....huo utakuwa upopoma uliotukuka (@brenda18 nimekuona umeiba benchmark ya watu uliomba?? )

Mleta Mada zigo la Mavi hasaaa.... Eti usichana wako umeula, Na wewe uvulana wako uliutunza au ndo wale ngono ni kwa ajili ya mwanaume..... Unaonekana hata game huliwezi, huvutii kwa kweli wacha wakukimbie tu
 
Mnapokuwa bado warembo.
Matunzo babu..... Usione vyaelea....
Sasa mtoto wa watu kakuangalia kaona ataenda kujizeesha bure umekuja kumuanzishia thread...

Kuna watu wakiolewa wanazeekaje!!!! Wanakuwa wameolewa na vikopo vya chooni alivyosema Lara 1, modeli yako mleta Mada
 
mwanaume kuoa ni uamzi na mwanamke kuolewa ni bahati kumbuka hilo
Usijikoshe. Wote uliowatokea wakakukataa au walikumwaga baadae walifanya maamuzi... Mpaka mwanaume kaoa means alikutana na mtu waliokubaliana. Mnatakaga kuonyesha wanawake ni wanyonge sana hamna lolote. Inferiority complex inawasumbua
 
Hahaha nimecheka sana, thread imekaa ndipo haswa.
Bhita ni bhita mura. Alafu vidada vyenyewe siku hizi ni viongo balaa. Vingi hata havijui vinataka nini...! Ngoja vichezee ujana, sisi kaka zao tutawasaidia kulia mda ukifika.
Hivi mnafikiriaga hao wadada 30s 40s hawatokewagi au? Kwanini mwanamke akiwa single at that age anaonekanA "hajachaguliwa". Kwanini hamuoni kuwa wenyewe ndo wamezidi kuchambua chambua.....hao wanaokulilia wamefwatwa na watu kibao wote hawataki.


Jamani eeh wanaume wanaotakwa bongo hii wapo wachache sana. Wapo ambao wako tayari kuishi na yeyote aonekane kaolewa. Wapo ambao hawako tayari kusettle for less.

Deal with it.
 
Hivi mnafikiriaga hao wadada 30s 40s hawatokewagi au? Kwanini mwanamke akiwa single at that age anaonekanA "hajachaguliwa". Kwanini hamuoni kuwa wenyewe ndo wamezidi kuchambua chambua.....hao wanaokulilia wamefwatwa na watu kibao wote hawataki.


Jamani eeh wanaume wanaotakwa bongo hii wapo wachache sana. Wapo ambao wako tayari kuishi na yeyote aonekane kaolewa. Wapo ambao hawako tayari kusettle for less.

Deal with it.

...teh teh, housegirl.
Wanaume wanaotakwa bongo hii ni wachache sana.
Ajabu dada zetu wanapanga foleni kwa sangoma kwa hao hao..
Mie wala sina shida na 30+, actually I like mature(age wise) ladies.
 
...teh teh, housegirl.
Wanaume wanaotakwa bongo hii ni wachache sana.
Ajabu dada zetu wanapanga foleni kwa sangoma kwa hao hao..
Mie wala sina shida na 30+, actually I like mature(age wise) ladies.
hao wadada wangekubali kuolewa na mpiga debe au mkulima au mzibua vyoo wasingeenda huko.....
 
kma ww huwez kumlea mtt wa mwenzio ni ww tu n roho mbaya yko wenzio wna lea n kuwq n mtt bila mume sio umalaya mengi ynaweza kukuta ukafiwa n mume au mke mambo meng ynaweza kutokea.ww umeongea ivyo kimpango wko n mtazamo wko lkin sio mtazamo wa wengine.
 
kma ww huwez kumlea mtt wa mwenzio ni ww tu n roho mbaya yko wenzio wna lea n kuwq n mtt bila mume sio umalaya mengi ynaweza kukuta ukafiwa n mume au mke mambo meng ynaweza kutokea.ww umeongea ivyo kimpango wko n mtazamo wko lkin sio mtazamo wa wengine.
ndio nini hiki umeandika
 
Ndo nishakunya sasa na kuharisha umomo. Wanaume wenyewe mnaochonga vikopo tu vya chooni. NA NAFUNGUA MWAKA NA HUU UZI RASMI.

Unatoa nini mpka upewe malaki yote hayo na nyodo zote hizo. Maisha kusaidiana wanaotegemea vyakupewa na kushinikiza kwa unyimi wa papuchi matokeo yake unapewa kidonge unaachiwa ulee
 
Back
Top Bottom