real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,302
binti anachagua garasha anazalishwa au anaolewa ndoa yenye mateso na kuchomoka hapo ni ngumu, keshakua 'used' ila mwanaume akiona mchumba kimeo au wife kimeo anajiondoa anaanza tena na maisha yake hayawi affected kama ya mabintiMmmh! Wanaume wanawezaje kureverse? Maana mie kuna ninaowafahamu wanatia huruma basi tu siku zinasonga!