Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Mmmh! Wanaume wanawezaje kureverse? Maana mie kuna ninaowafahamu wanatia huruma basi tu siku zinasonga!
binti anachagua garasha anazalishwa au anaolewa ndoa yenye mateso na kuchomoka hapo ni ngumu, keshakua 'used' ila mwanaume akiona mchumba kimeo au wife kimeo anajiondoa anaanza tena na maisha yake hayawi affected kama ya mabinti
 
binti anachagua garasha anazalishwa au anaolewa ndoa yenye mateso na kuchomoka hapo ni ngumu, keshakua 'used' ila mwanaume akiona mchumba kimeo au wife kimeo anajiondoa anaanza tena na maisha yake hayawi affected kama ya mabinti

Nooo that was before, hivi huoni rate ya ndoa kuvunjika imeongezeka? Kwasababu wakishagundua ni garasa anachomoka anatafuta another life without garasa, hayo mambo waliyaweza bibi zetu as hawakuwa na pa/cha kushika.
Na wapo wanaoolewa na watoto wa4 na wanaishi vizuri tu, na kuna wanaume waliokosea nao wapo wanagugumia tu.
 
Kwa upigaji huu wa story...! Hapana...

Hahahaaaaaa!! Bwana shemeji msikimbie bwana hatutamsumbua tenaa Mungu, hebu mfikishie sala zangu.
Hivi bwana shemeji naona nyie mko kwenye kabinet hadi anawaambiaga amechoka niombeeko hata kausecretary huko ili nami niwe nashuhudia anavyosumbuka.
 
Hahahaaaa! Wanaume wanajionaga Miungu watu sanaa, wao hawanaga dhambi alafu wana akiliiii, hizo akili zao mbona bado wamechalala tuu, na kuolewa wameolewa, wao si wanaume bwana na wana akili basi wachukue hao wasio na akili wawafanye wenye akili, kama wameweza kutambua kuwa Mungu anasumbuka basi they can do miracles too.
Mungu sio kidonge cha @ciprofloxacin bana tunabarikiwa wote bila upendeleo wake kwa waume, kama anabisha aseme yeye na madhambi yake kuna siku Mungu aliwahi kumnyima oxygen?
 
Mbona wamepotea tena, waje bwana wakiwepo ndio kananoga, jioni inakuwa muruaaaaa!
Hahahaa inzi wametoweka ajabu sana,kinyesi wamekinya wakakishangilia kimewakaukia wamekikimbia,ilikua zengwe tu....
 
Nimesoma comments zoteee za hii thread,

Nimepata msamiati mmoja wa kwamba kuna wale wa kizazi cha Abeli (watoaji) na wale wa kizazi cha Kaini (wachoyo).

2016 inabidi wanaume wote tuhangaikie kuwa wa kizazi cha Abeli.

Tutafute sana na tutoe sana ili duniani pawe mahala pazuri kwa kila mmoja.
 
Hahahaaaaaa!! Bwana shemeji msikimbie bwana hatutamsumbua tenaa Mungu, hebu mfikishie sala zangu.
Hivi bwana shemeji naona nyie mko kwenye kabinet hadi anawaambiaga amechoka niombeeko hata kausecretary huko ili nami niwe nashuhudia anavyosumbuka.
Mmmmmh.....
Wenyewe tupo tunamsumbua mungu afunguee maaana mshaanza kutuita mizigo...
 
Hahaha huo ukwaju utakusumbua kwenda toi ujue, me Nakula tu skonsi nisije nikabanwa haja nikamiss episode bure
Hahahaa, utapata constipation kesho mapapai yanakuhusu....movie yenyewe tumebaki majambazi tu masteringi haooo wameudedi..teh
Eti ushauri nyolooo
 
Mungu sio kidonge cha @ciprofloxacin bana tunabarikiwa wote bila upendeleo wake kwa waume, kama anabisha aseme yeye na madhambi yake kuna siku Mungu aliwahi kumnyima oxygen?

Cipro sijui madudu gani yeye hatendagi dhambi kabisaaa, ila alikataliwa tuu na yule mdhambi aliyempendaaaa, sasa akaamua tu ajibebee mtu akaweka ndani, sasa hivi ndio nafsi inamuuma baada ya kuona mambo hayaendi alafu yule mdhambi alomkataa mambo yamemnyookeaaaaa! Kweli Mungu sio kidonge.
 
Hahahaa, utapata constipation kesho mapapai yanakuhusu....movie yenyewe tumebaki majambazi tu masteringi haooo wameudedi..teh
Eti ushauri nyolooo
Hehhehe itabidi tumuite tu judge Lubuva atangaze matokeo mapema tukalale

Me leo nipate tu constipation, ila show ikiisha nina mapapai na juice ya ukwaju
 
Hahahaaaa! Wanaume wanajionaga Miungu watu sanaa, wao hawanaga dhambi alafu wana akiliiii, hizo akili zao mbona bado wamechalala tuu, na kuolewa wameolewa, wao si wanaume bwana na wana akili basi wachukue hao wasio na akili wawafanye wenye akili, kama wameweza kutambua kuwa Mungu anasumbuka basi they can do miracles too.

Tunasoma kwenye maandiko kwamba wakati Mungu anataka kumuumba binadamu (mume) alitamka maneno, "Na tumuumbe mtu kwa mfano wetu..." Hapo Adam akaumbwa.

Tatizo lilianza pale ambapo mwanamke aliyeumbwa kutoka kwenye ubavu wa mwanaume alipohadaika na maneno ya nyoka na kula tunda liliokatazwa; bila hivyo sote tungekuwa tuainjoy maisha kwenye bustani ya Eden kwa raha zetu.

Sasa ukiona mambo mengine ambayo wanaume wanawafanyia wanawake ni kama vile wanafanya malipizi kwa kile mwanamke alichofanya.

All in All Mungu ni wetu sote.
 
Nooo that was before, hivi huoni rate ya ndoa kuvunjika imeongezeka? Kwasababu wakishagundua ni garasa anachomoka anatafuta another life without garasa, hayo mambo waliyaweza bibi zetu as hawakuwa na pa/cha kushika.
Na wapo wanaoolewa na watoto wa4 na wanaishi vizuri tu, na kuna wanaume waliokosea nao wapo wanagugumia tu.
mwanamke aliyeolewa akaachika anakumbana na stigma sana kwenye jamii iliyomzunguka, kama sio mwanamke ngangari anakua sana pyschological crushed.
na wengi wa wanawake sio strong ile stigma inawaathiri kisaikolojia.
hao wanaume wanaoachwa kisha wanaathirika kimaisha ni wale wanaokota binti sijui wapi huko unakuta kipato chake ndio cha kuunga unga alafu anaenda sijui kumsomesha, au kumfungulia biashara n.k na hela zake za kudunduliza, yaani ana bet karibia kila kitu chake, ila siku hizi kama wapo ni wachache sana
 
Last edited:
Hahahaa inzi wametoweka ajabu sana,kinyesi wamekinya wakakishangilia kimewakaukia wamekikimbia,ilikua zengwe tu....

Waje tu tupige story sasa maana hakuna namna, kuwakataa tunawakataa tu na ikibidi tunawaoa kabisa, sijibebei tu garasa kisa @sumbai atanisema shemeji yake eti umri umesonga, acha usonge tuuu hadi na ugali ila garasa ni BIG NO.
 
Mmmmmh.....
Wenyewe tupo tunamsumbua mungu afunguee maaana mshaanza kutuita mizigo...

Oooh kumbe mnajishaua hapa kutufukuza kumbe mnataka tupunguze jam? Tunabanana tu hadi atusikie wote, unless atuambie mwenyewe maana ndie alituambie twende kwake sisi tanaoelemewa na akina nyie!
 
Waje tu tupige story sasa maana hakuna namna, kuwakataa tunawakataa tu na ikibidi tunawaoa kabisa, sijibebei tu garasa kisa @sumbai atanisema shemeji yake eti umri umesonga, acha usonge tuuu hadi na ugali ila garasa ni BIG NO.
Heheheh eti umri usonge tu ugali khaa
 
Back
Top Bottom