Kimsingi tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo

Hamna nafuu yoyote anayoweza kutupa mwana siasa yoyote zaidi ya maumivu na kutukandamizia chini ili wao wainuke, hapa tutazamie karibu na 2024 labda kwa sababu ya uchaguzi mkuu wanaweza kufikiria kuja kutudanganya tena.
 
Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
A very good analysis
 
Mwigulu hana huruma na Watanzania anaendesha Nchi kama vile ni ya kwake kabisaa Wananchi wanachohitaji sio kinachofanyika ila malalamiko ya watu wengi huwa na majibu sahihi Mungu ni mwema sana na wakati wote..
 
Kuna baadhi ya wanachi ni wajinga sana, baada ya kukataa tozo wao walikuwa wanasema ipunguzwe.

Haya sasa ndio imepunguzwa hapo, kila mtu apambane na Hali yake maana serikali haitabana matumizi kamwe na wale waliokuwa wanataka ipunguzwe ndio wataendelea kuwa masikini.

Wajinga ndio waliwao, a luta continua.
 
Waondoe tozo mtu ukitaka kulipia control number.

Nilikuwa nataka kulipia control numbe ya mgonjwa muhimbili kwa simu, nikaona tozo 7,000 nimeenda kulipia kwa wakala hamna tozo.

Hivi kweli me nauguza, hela yenyewe tumechanga familia nzima, halafu kuilipia kwa simu serikali mchukue elfu 7, ni kwamba mnataka kuua wagonjwa au nini? Hivi serikali nyie ni wachawi au?

Kulipia kwa simu control number kulirahisisha sana maisha, ila sasa tutaenda tu kwa wakala tukalipie, tozo mje kuifuata nyumbani kwangu shubamiti
 
Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
Mkuu unajua sana, salute!
 
PRESIDA wa mastone, swali kwako: kijijini kwako, wangapi wa natumia mabenki kutuma na kupokea fedha?,
 
Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
Hongera kwa uchambuzi safi usiokua na hisia
 
Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
Kitu ambacho siwaelewi Wadanganyika ni hili la unafiki. Sijui tuliupatapataje.

Imagine, wanaweza tozo wanakuja hadharani kujisifu kwamba tunafanya mambo kwa pesa zetu, Maza anaupiga mwingi, aisiyetaka aende Burundi.

Watu wanakomaa, wanarudi, serikali ya CCM ni sikivu, Maza amesikia kilio cha watu tutapunguza tozo kuanzia mwezi wa 10. Wabunge wanashangilia.

Cha kusikitisja ni kwamba wabunge wa CCM wanashangilia na kupitisha huo mswada kwa kusikiliza kauli za Mwigulu. Hawajui mtego upo wapi. Sheria ikianza kutumika watu wakspiga kelele ndiyo utawasikia tena wakimuomba Maza asikilize kilio cha wananchi. Yaani kazi ya Bunge la Tanzania ni kumuombea Rais kusikiliza vilio vya wananchi.... This is Tanzania.
 
Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
Na we unachanganya mambo, hizo ni gharama za benki haina uhusiano na tozo za serikali. Hata kabla ya tozo hizo gharama zilikuwepo shida ni kwamba mnaogopa kuwapigia kelele watu wa benki kila kitu ni kuilalamikia serikali hata ktk mambo ambayo haihusiki. Labda serikali kupitia benki kuu iyabane mabenki wapunguze gharama ya makato yao
 
Kiukweli tutamkumbuka sana hayati JPM, pamoja na yote, alisaidia watu kufikiri kabla ya kutenda kwa hofu ya kutumbuliwa. Hata kama wanaiita nidhamu ya uoga, ila ilisaidia sana!
Viongozi wa sasa ni waonevu sana!
Majibu na maamuzi yao yanakatisha tamaa

Kuna aliyekuwa muonevu kama Magufuli? Au ulikuwa una mgao wako kwenye zile pesa alizokuwa anapora wafanyabishara?
 
Back
Top Bottom