OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,243
- 103,925
Huyu jamaa Nchemba anadhani kila mtu ni mashamba kama yeye
A very good analysisTozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:View attachment 2362603
Facts Checks:
1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.
Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.
Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.
2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.
View attachment 2362639
View attachment 2362640
3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.
Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.
Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.
View attachment 2362641
4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.
Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.
Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.
5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.
Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.
In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.
NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.
Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.
Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.
Yaani ningekuwa karibu yake nafikiri ningekuwa lock up usiku huu.Mjinga mwingine huyo hapo.
Kuna mimtu inakera na limepostiwa na msemaji wa serikaliView attachment 2362844
Mkuu unajua sana, salute!Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:View attachment 2362603
Facts Checks:
1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.
Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.
Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.
2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.
View attachment 2362639
View attachment 2362640
3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.
Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.
Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.
View attachment 2362641
4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.
Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.
Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.
5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.
Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.
In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.
NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.
Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.
Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.
Hongera kwa uchambuzi safi usiokua na hisiaTozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:View attachment 2362603
Facts Checks:
1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.
Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.
Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.
2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.
View attachment 2362639
View attachment 2362640
3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.
Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.
Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.
View attachment 2362641
4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.
Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.
Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.
5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.
Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.
In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.
NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.
Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.
Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.
Kitu ambacho siwaelewi Wadanganyika ni hili la unafiki. Sijui tuliupatapataje.Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:View attachment 2362603
Facts Checks:
1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.
Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.
Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.
2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.
View attachment 2362639
View attachment 2362640
3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.
Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.
Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.
View attachment 2362641
4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.
Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.
Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.
5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.
Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.
In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.
NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.
Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.
Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.
Na we unachanganya mambo, hizo ni gharama za benki haina uhusiano na tozo za serikali. Hata kabla ya tozo hizo gharama zilikuwepo shida ni kwamba mnaogopa kuwapigia kelele watu wa benki kila kitu ni kuilalamikia serikali hata ktk mambo ambayo haihusiki. Labda serikali kupitia benki kuu iyabane mabenki wapunguze gharama ya makato yaoTozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:View attachment 2362603
Facts Checks:
1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.
Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.
Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.
2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.
View attachment 2362639
View attachment 2362640
3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.
Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.
Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.
View attachment 2362641
4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.
Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.
Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.
5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.
Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.
In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.
NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.
Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.
Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.
Wamejifutia wao tuu maana sisi wengine hata kadi za bank hatuna tuna simu itel ya batan na line ya mtandao ko tunaona mauza uza watuangalie na sisi tunaweka viakiba kwenye simuMwigulu Nchemba kawalaghai Watanzania
Kiukweli tutamkumbuka sana hayati JPM, pamoja na yote, alisaidia watu kufikiri kabla ya kutenda kwa hofu ya kutumbuliwa. Hata kama wanaiita nidhamu ya uoga, ila ilisaidia sana!
Viongozi wa sasa ni waonevu sana!
Majibu na maamuzi yao yanakatisha tamaa
Yaan..nipo pale natafuta tu la kumpa MBWA IIIO.Mjinga mwingine huyo hapo.
Kuna mimtu inakera na limepostiwa na msemaji wa serikaliView attachment 2362844