pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Nimeona mahali 'vijana wa ccm' yakifurahia sana hii, hata hivyo nikajua uzuzu ndio tatizo lao kuu
Kwamba anataradadi kwenye buyu la asali.....basi ngoja tuendelee na kibwagizo chetu @rasimu ya warioba iwekwe mezani tuandike katiba mpya.Ajiuzulu? Uliona wapi walamba asali wakajiuzulu? Akale wapi? You must be joking
Afadhali wewe una itel wenzako wana O King imeshatoka batani wanabofya na kijitiWamejifutia wao tuu maana sisi wengine hata kadi za bank hatuna tuna simu itel ya batan na line ya mtandao ko tunaona mauza uza watuangalie na sisi tunaweka viakiba kwenye simu
Hivi ile clip ya kulalamikia makato ni ya Mwigulu...!!!?