Kimsingi tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo

Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.
 
Kiukweli tutamkumbuka sana hayati JPM, pamoja na yote, alisaidia watu kufikiri kabla ya kutenda kwa hofu ya kutumbuliwa. Hata kama wanaiita nidhamu ya uoga, ila ilisaidia sana!
Viongozi wa sasa ni waonevu sana!
Majibu na maamuzi yao yanakatisha tamaa
Jenga hoja bila kumtaja huyu dikteta muuaji, mtekaji na mporaji
 
Mjinga mwingine huyo hapo.
Kuna mimtu inakera na limepostiwa na msemaji wa serikali
Screenshot_20220920-183821_1.jpg
 
Hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanywa. Nani anaenda kwenye ATM kutoa elfu 30?
amesema mabadiliko hayo yataanza tarehe 01 mwezi wa 10 ila hii nchi ni ngumu sana watu tunapelewa pelekwa tu kama mazombie na hawa wanasiasa
 
Kutakuwa na nafuu kidogo kwenye miamala ya simu..

Pili hivi kama kwenye ATM wamefuta tozo inamaana gharama zitabakia kama zamani,huenda wakapandisha Kodi kwa makampuni ya banks na simu so pesa itabakia pale pale..
 
Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
Heko kwa uchambuzi murua sana.
 
Tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo:

Facts Checks:

1. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.

Fact: Makato au kodi ya kufanya hii miamala iko juu sana hata kabla ya tozo na watu wengi walikuwa wanaiepuka hii miamala sababu ya ughali wake.

Imagine ukituma 10,000/= kutoka simbanking kwenda kwenye simu yako unakatwa 2,700/=, kutuma 50,000/= unakatwa 5,300/=.

Hivyo kwa sababu hili eneo limeonekana halina maslahi ndiyo maana ni kama linatumika kisiasa kwamba limefutiwa tozo huku kiuhalisia huenda halikuwa linaingiza chochote cha maana.​
View attachment 2362603

2. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.

Fact: Bado hii ni danganya toto kwa maana eneo hili halikuwa na kodi au makato yoyote na haikuwa sahihi kuliwekea tozo.​

View attachment 2362639

View attachment 2362640

3. Wamefuta Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda nyingine.

Fact: Hapa napo wametupiga changa la macho tuu maana makato ya kawaida hata kabla ya tozo yapo juu.

Kutuma pesa kutoka bank moja kwenda nyingine ni 2,000/= kwa kila muamala, haijalishi umetuma elfu 2, 3 10,au 90, wakati huohuo kupokea pesa kutoka bank nyingine ni 4,000/= kwa kila muamala bila kujali kiasi unachopokea.​

View attachment 2362641

4. Wametoa msamaha wa tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki na ATM kwa miamala yenye thamani isiyozidi TZS 30,000.

Fact: Ukitumia akili ya mtoto wa darasa la 3 tuu utajua tuu hapa ni danganya toto ya kiwango cha lami. Hivi kweli kwa dunia ya sasa na haya maisha yalivyopanda gharama miamala ya 30,000/= nani bado anafanya? Ni wachache sana.

Kwa maana hiyo hapa limelengwa kundi dogo, kisha kundi kubwa limeachwa palepale liendee kutozeka kama kawaida.

5. Watapunguza gharama ya miamala kwa 10% hadi 50% kufuatana na kundi la miamala.

Fact: Hii ni "general term" ambayo inafanana na ile iliyotumika kwenye nyongeza ya 23% ya mishahara kwa watumishi mwaka huu, lakini baada ya calculations sote tunajua kilichotokea, ilikuwa ni vilio na kusaga meno maana kundi dogo ndilo litafaidika huku kundi kubwa likiendelea kukatwa tozo.

In fact kitendo cha kuweka tuu % kadhaa mpaka kadhaa hilo ni fumbo limefumbwa ili kuepusha taharuki, lakini hiyo tarehe 1 Oktoba hakutakuwa na mabadiliko ya maana. Ukitaka uamini hili fanya muamala wa laki 1 leo u-noti makato pembeni, kisha mwezi wa 10 fanya muamala mwingine uone kama kutakuwa na mabadiliko ya maana.


NB: Wanachi siyo kwamba tunapinga tozo, hapana. Ila huu ni wizi wa mchana (Day Roberry) kwa maana eneo lililoguswa ni crucial kwa maisha ya kipato cha chini kabisa ambaye hicho anachokitozwq huenda ndicho ilikuwa kapesa kake ka kununulia panadol au mboga.

Ni eneo ambalo huenda hicho mnachokitoza ndicho faida ya mjasiriamali anayepambana kujikwamua.

Tozo hazitatupeleka popote, its just a shoft term solution, wanasiasa mlioshika usukani wa kuongoza dira ya taifa tumieni hizo bongo zenu kuwaza namna ya kugenerate long term solutions za kulikomboa hili taifa kutoka kwenye utegemezi.​
Huyu mwizi wa vyeti ana kichwa kigumu sana. Ana tuona Watanzania ni wajinga hawafuatilii mambo yao.
Yaani amemdharau Mh. Rais na Chama chake cha Mapinduzi.
Iko siku yaja atajua hajui.
 
Natoa ushauri wa bure kwa Mh. Rais wetu na mwenyekiti wa Chama Cua Mapinduzi,
Asije huko alikoenda kwa papara akazungumzia huu utumbo wa Mwigulu kwamba wamepunguza tozo. Awaite wasaidizi wake wa karibu wamueleze ukweli kwamba Mwigulu haja punguza tozo bali ame wahadaa Watanzania.
Kinyume na hivyo atadharaulika na Watanzania wote.
Mie nashauri ambadilishe Mwigulu akiwa kwenye ndege kabla ya kutua hapo Dar. Hii ita mjengea heshima kubwa sana.
 
Jenga hoja bila kumtaja huyu dikteta muuaji, mtekaji na mporaji
Siwezi mkuu.
Siwezi kuwa mnafiki!
Ukiwa mnafiki ujanani, uzeeni utakuwa mchawi!

Sasa hivi ziara na safari za viongozi ndani na nje ya chini zimeshika kasi.
Hii kitaifa haina tija bali inamnufaisha mtu mmoja mmoja na familia yake.

Pengo kati ya walionacho na wasionacho linazidi kuongezeka.

Viongozi wengi wameziba maskio kusikia kilio cha wananchi maskini!
Kila kitu bei juu!

Utanisamehe bure, ila siwezi kuacha kumtaja na kumkumbuka!
 
Back
Top Bottom