Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Naomba tuweke vizuri
Tozo zilizofutwa ni P2P, yaani pale unapomtumia fedha mwingine kwa njia ya simu, lakini kwenye Cashout/Kutoa Tozo bado zipo palepale.
Hivyo wanaotutumia vipeperushi sijui tozo zote zimefutwa, waache upotoshaji.
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: KWELI - Tozo za kutoa pesa kwa wakala na ATM bado hazijafutwa
Tozo zilizofutwa ni P2P, yaani pale unapomtumia fedha mwingine kwa njia ya simu, lakini kwenye Cashout/Kutoa Tozo bado zipo palepale.
Hivyo wanaotutumia vipeperushi sijui tozo zote zimefutwa, waache upotoshaji.
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: KWELI - Tozo za kutoa pesa kwa wakala na ATM bado hazijafutwa