Jamani hivi kwanini mnapenda kusema uongo? Kwamba Redio Mwangaza FM. ndio chanzo cha habari hii si kweli kabisa.Mimi hapa nilipo nasikiliza redio hii kuanzia saa 2.00 na hakuna kitu cha namna hiyo.Haipendezi kwa watu wazima kuwa waongo jamani. Kama kuna source nyingine,sawa,lakini sio Redio Mwangaza FM.
Amini usiamini gamba lowasa na chenge wametemwa katika chama cha Mapinduzi muda huu tnitawajuza zaidi yanayojiri
Wasalaam
Mmemkwa.
There are currently 142 users browsing this thread.
we Memkwa kama unadanganya watu lazima ule BAN
kidumu chama chetu cha mapinduzi.......
Any updates pls