Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

SAMMYT ,
  • Tupo wengi. Niamini. WaTanzania wanaopenda kiongozi imara shupavu na mwenye kuweza wanampenda Lowassa. Hata Mh JK anajua EL anaweza.
    Tatizo ni nyie mnaotaka kuwagombanisha. Ingia ndani ya CCM ndo utajua EL anakubalika kwa namna gani.
+ve sijakupinga nilitaka tu kujaribu kuwa precise na neno "nampenda" maana wewe sio mbunge useme unawawakilisha wananchi waliokuchagua, binafc cmchukii EL japo hiyo haimaanisha nampenda.
 
Positive yote, Halisi kaanzisha thread hii si kwa sababu ya kutuhabarisha yanayojiri ila ni kumponda Lowassa purposely, lakini naomba Halisi ajue kuwa yule jamaa ni mashine kubwa kuliko inasaga na kukoboa at the same time mtahangaika sana na habari za magazeti lakini ukienda on ground level haiko kivile they have to compromise naye. Nawaambia subirini muone pamoja na chuki za kina Halisi za kumuita eti SI unit ya ufisadi na kumuacha fisadi papa atatoka kidedea na msione ajabu akawa m/kiti wa chama come 2012.

Ndugu yangu Halisi,

Tumeshajadiliana sana kuhusu EL. Mie kila ninapokuona una comment kuhusu EL huwa najiuliza. EL kafanya UFISADI upi?. Tupeni ushahidi. Sijawahi kupewa bali kila siku utasikia hooo Richmond mara sijui nyumba London ya mwanae, sasa Key question ni kuwa Richmond ni kampuni na mikataba EL hakusaini sasa anahusikaje mpaka kupewa jina baya?

Andrew C anahusika sana na mikataba mingi lakini hasikiki kutajwa tajwa hata alipokutwa na visenti pia hajatajwa tajwa.

Why EL all the time? Are paid to make sure that EL is seen as a menace to society?, am sure you are not!, but why?

Naomba uje na EVIDENCE kuwa EL ni Fisadi. acha ngojera za magazeti tumeyazoea.
 
Natabiri
- Lowassa atang'oka. Kung'oka kwake kutaleta mpasuko mkubwa CHADEMA wengine wakitaka aalikwe CHADEMA na wengine wakiapa "over my dead body".
- Sitta atapewa karipio kali, na kwa kuwa ni ndumilakuwili ataufyata.
- Chenge is not as powerfull as those two, yeye ataondolewa kirahisi na haraka sana.
- Itapangwa mikakati mikali ya kuhakikisha SUGU anang'oka Mbeya kwa hali na mali, haswa baada ya kuitwa Rais wa Mbeya.

Ataondoka Abbasi Kandoro!
 
Lowassa hatakuwa rais wa Tanzania whether yeye anataka au la. Tanzania ya 2015 ni tofauti sana; lazima mgombea wa CCM sio tu asiwe fisadi lakini pia kusiwe na perception yoyote ya kuonekana ni fisadi.

Ila pia Sitta anayepigiwa kampeni na vyombo vya Mengi hata kwenye tatu bora za kupelekwa mkutano mkuu 2015 hatakuwemo. Atakatwa kama alivyokatwa mzee wetu Malecela.

CCM wameshikwa pabaya, watapitisha jina la mtu asiye na kashfa na huenda akawa mwanamke.

Kwanini Migiro? kwa ajili ya unaibu ukatibu mkuu wa UN? Hiyo haijalishi ingekuwa kwa sifa hizo hata Dr Salimu si angepeta mwaka jana? hawa jamaa wanamambo, hapo ni nguvu ya mtandao tu bila kujali huyo wanayempropose ni kilaza au la
 
+ve sijakupinga nilitaka tu kujaribu kuwa precise na neno "nampenda" maana wewe sio mbunge useme unawawakilisha wananchi waliokuchagua, binafc cmchukii EL japo hiyo haimaanisha nampenda.
Hivi ni mbunge tu anayewakilisha wananchi, madiwani je? Slaa hawakilishi wananchi? mwisho unajuaje +ve si mwakilishi, kuhusu neno 'tunampenda' inaezekana uko sahihi lakini inawezekana vilevile hata wewe unafikiri EL hapendwi na wengi.
 
jamani jamani what if hii ni mbinu ya EL na JK pamoja?.. JK anamaliza muda wake 2015, EL anakuwa vipi tishio la JK ikiwa hakusudii kuchukua ama kupindua nchi..Na hakuna kitu kizuri kama kuonyesha Upinzani na rais aliyeko madarakani ktk kujiongezea umaarufu kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015..Nafikiri mchezo unachezwa kuonyesha EL na JK wana mahusiano mabaya wakati EL akiandaliwa kwa ajili ya 2015 na hivi sasa ukimwondoa EL hakuna mtu CCM anayepata umaarufu zaidi ya EL - WHY?...

Binafsi sidhani kama JK anajali tena CCM maanake kisha ona jinsi wasivyompenda na ndio maana yupo radhi kuzungumza na wazee badala ya vikao vya chama but EL has been there for him all the time ...Binafsi, I think we've been played big time! msemo wa Mwanakijiji tunaicheza ngoma yao.

Mkuu kuna watu ndani ya CCM wanaamini kabisa kwamba JK katumwa kuja kukiharibu chama!!
 
hapo ndo watakapojua kama ccm kuna mwenyekiti au msanii. nakumbuka wakati ambapo mwenyekiti wa wakati ule alikuwa mkapa alicheza kama pele kumzima komandoo asibadili katiba
 
Hivi ni mbunge tu anayewakilisha wananchi, madiwani je? Slaa hawakilishi wananchi? mwisho unajuaje +ve si mwakilishi, kuhusu neno 'tunampenda' inaezekana uko sahihi lakini inawezekana vilevile hata wewe unafikiri EL hapendwi na wengi.

Mkuu kwa mfumo tulionao hapa TZ, ni makundi manne tu ya kiuongozi ndio yanawakilisha wananchi. Nayo ni: rais, mbunge, diwani na mwenyekiti wa serikali ya kijiji/mtaa. Tslaa anawakilisha wananchi wepi? Labda wanachama wa CHADEMA ambao walimchagua kwa kura (pengine na wale waliompigia kura kwenye uchaguzi wa 2010; ingawa hakuweza kupata nafasi ya kisheria ya kuwawakilisha!)
 
Hakika huu ndo muda wa kuchambua mbegu na kafifi ndani ya chama chetu -ccm
 
Swali la shillingi Trillioni ni kuwa:

Kwanini anatajwa tajwa LOWASSA tu kugombea Urais, na kwanini anachafuliwa yeye tuu hata wale walionekana DHAHIRI na VISENTI hawatajwi?

Naomba jibu bwana Halisi.
 
Hivi ni mbunge tu anayewakilisha wananchi, madiwani je? Slaa hawakilishi wananchi? mwisho unajuaje +ve si mwakilishi, kuhusu neno 'tunampenda' inaezekana uko sahihi lakini inawezekana vilevile hata wewe unafikiri EL hapendwi na wengi.

Feedback,

Mbunge was just to mention a few ...

Hayo ni mambo ya kufikirika tu kwamba nafikiri EL hapendwi na wengi. Mimi sina upande wowote wa ushabiki kati sijui ya EL na Dr lakini ukiniambia niwashindanishe kwa performance mkulu anaweza akapigwa chini ila tatizo ninaloliona kwa baadhi ya watu ni kushabikia mambo tu kutoka kwa wapiga kelele na ukiangalia kwa kiasi kikubwa haya mambo ni dhahiri kuwa chanzo chake ni makundi ndani ya ccm sasa wahusika wanavikimbia vivuli vyao wenyewe
 
Mkuu kwa mfumo tulionao hapa TZ, ni makundi manne tu ya kiuongozi ndio yanawakilisha wananchi. Nayo ni: rais, mbunge, diwani na mwenyekiti wa serikali ya kijiji/mtaa. Tslaa anawakilisha wananchi wepi? Labda wanachama wa CHADEMA ambao walimchagua kwa kura (pengine na wale waliompigia kura kwenye uchaguzi wa 2010; ingawa hakuweza kupata nafasi ya kisheria ya kuwawakilisha!)
Kumbe watu mnamajibu tayari hapo siongezi neno, lakini asante kwa kumfahamisha SUMMYT na wengine ambao walikuwa hawajui. Lakini elewa chama chochote kilichosajiliwa na msajili wa vyama kinawakilisha wananchi, hata viongozi wa dini nao wanawakilisha wananchi.
 
Swali la shillingi Trillioni ni kuwa:

Kwanini anatajwa tajwa LOWASSA tu kugombea Urais, na kwanini anachafuliwa yeye tuu hata wale walionekana DHAHIRI na VISENTI hawatajwi?

Naomba jibu bwana Halisi.

Chenge hana Mpango na Urais wa Sitta na Membe
 
Positive yote, Halisi kaanzisha thread hii si kwa sababu ya kutuhabarisha yanayojiri ila ni kumponda Lowassa purposely, lakini naomba Halisi ajue kuwa yule jamaa ni mashine kubwa kuliko inasaga na kukoboa at the same time mtahangaika sana na habari za magazeti lakini ukienda on ground level haiko kivile they have to compromise naye. Nawaambia subirini muone pamoja na chuki za kina Halisi za kumuita eti SI unit ya ufisadi na kumuacha fisadi papa atatoka kidedea na msione ajabu akawa m/kiti wa chama come 2012.

Give credit where credit is due, Lowasa ni Jembe, he is an ideal person for the presidency!
 
Namsubiri Halisi.

Au ndo ana habari mbaya ya EL kutotimuliwa! LOL Zuma wetu.
 
hangoki mtu kila wakimwangalia Edu wote wanaangalia chini maana JK hawakukutana barabarani!
 
Kwanini watu wanafikiri Lowassa ana clout ya kuwashawishi wananchi wa Tanzania kuwa hayuko jinsi anavyodhaniwa au kujulikana? Ni kweli wapo watu wanaoweza kuapa kwa Lowassa lakini kweli hivi akisimama na kuanza kampeni ataahidi nini Watanzania ambacho hakijawahi kuahidiwa na viongozi wenzake wa CCM waliopo au waliopita? Naombeni kitu japo kimoja tu ambacho EL anaweza kusema ambacho hakijawahi kusemwwa na CCM.

Ndugu yangu Halisi,

Tumeshajadiliana sana kuhusu EL. Mie kila ninapokuona una comment kuhusu EL huwa najiuliza. EL kafanya UFISADI upi?. Tupeni ushahidi. Sijawahi kupewa bali kila siku utasikia hooo Richmond mara sijui nyumba London ya mwanae, sasa Key question ni kuwa Richmond ni kampuni na mikataba EL hakusaini sasa anahusikaje mpaka kupewa jina baya?

Andrew C anahusika sana na mikataba mingi lakini hasikiki kutajwa tajwa hata alipokutwa na visenti pia hajatajwa tajwa.

Why EL all the time? Are paid to make sure that EL is seen as a menace to society?, am sure you are not!, but why?

Naomba uje na EVIDENCE kuwa EL ni Fisadi. acha ngojera za magazeti tumeyazoea.

Mkuu FairPlayer, MMM amekuuliza hapo juu? Ukimjibu swali lake ndipo utakapoweza kuwa naguts za kumtetea Lowassa.
 
Give credit where credit is due, Lowasa ni Jembe, he is an ideal person for the presidency!

Mpanzi, that is exactly why this country will never develop. Hatutaki wachapa kazi. Pia tyunatumia matumbo yetu kufikiri.

Thats why Mkapa aliwahi kusema sisi ni MBILIKIMO WA MAWAZO na wavivu wa kufikiri.
 
Mpanzi, that is exactly why this country will never develop. Hatutaki wachapa kazi. Pia tyunatumia matumbo yetu kufikiri.

Thats why Mkapa aliwahi kusema sisi ni MBILIKIMO WA MAWAZO na wavivu wa kufikiri.

Huyo unaemsema mchapakazi he has been there, and he has done nothing!! Ebu nipe mfano wa uchapakazi wake na faida kwa taifa nzima.
 
Back
Top Bottom