Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Chenge Hali Tetete unaweza ona kwenye picha gamba limengangania kioni hata kuinuka anakuwa mzito. d26.jpg
 
Bahati mbaya sana mimi sina chama na vyama vyetu vya upinzani havina mbinu za kijasusi, ujasusi halali, kwa maana ya kupanga mikakati ya ushindi uchaguzi ujao. Chama kama Chadema hii ndio nafasi nzuri ya kucheza na mchezo unaoendelea CCM kujipanga kuchukua nchi 2015. Ni rahisi sana CCM kuingia mkenge na kuwabeba Chadema kwani inawezekana sana wakatoka Dodoma wakiwa 'CCM wamoja' na wakaimba na kukejeli wapinzani, wakafanya maandamano na mipasho nchi nzima na wakamuita Lowassa zuma wao na Benno Malisa Malema wao, na ndipo sasa akwa Mwenyekiti wa CCM na mgombea Urais 2015, bonge la mteremko kwa chama kilichojipembua kama wapambanaji wa ufisadi, hata bila kampeni haoooo, awe Slaa, Mbowe ama Zitto wataweka historia mpya kiulaini sana. Narudia huenda ndio nuru ing'aayo kwa Watanzania.

hapa umenena. Yanatakiwa mapandikizi ndani ya ccm
 
Mi nawashangaa sana kubishana wakati wenzenu leo wanakwenda kusameheana na kuimba wimbo wa sisi sote ni ndugu huku mioyoni mwao wakiwa na alama za makundi zinazosema utanitambua, subirini hii movie hii muone ya ccm
 
Nasikia vikao vya nec ccm vimeanza dom jamani embu wenye info muutujuze naniamengoka nani anabaki??je magamba yatangangania
 
hali ya hewa Dodoma; asubuhi kulikuwa na mawingu kiasi kuashiria mvua lakini hivi sasa jua limetamalakin akunaeleka kutakuwa shwari!
 
Kuna taarifa kwamba, vikao vya awali vya CCM mjini Dodoma vimeanza kwa kuwahoji vijana kadhaa wa UVCCM wanaotajwa kuwa karibu na Watuhumiwa wa ufisadi walotakiwa kujivua gamba.

Haijafahamika kama vijana hao watakua kafara la baba zao ama ndio kipima joto cha maamuzi magumu yanayotarajiwa kufanywa wiki hii. Hakika mwandishi mahiri wa makala katika Raia Mwema alisema, "mbele giza nyuma kaburi" na sasa uamuzi wa kurudi nyuma ni CCM kuingia kaburini na kwenda mbele ni gizani maana magamba yana nguvu za ajabu na kila kukicha yanakua magumu.

Je, CCM itaamua kuingia gizani kuvua magamba ama kurudi nyuma na kuyaacha iwe ni kaburi la CCM?

Taarifa zaidi baadae.

attachment.php


teh teh teh teh sooo happy to see the white hairs here.... teh teh teh teh
 
samahani jamani kwenye hicho kikao mie nilitarajia kummuona Nape hapo yuko wapi?
 
tuondolee ushenzi wenu, staifa lilipofikia hatuitaji mwizi katika post kama hii!we are very sorry!
 
sasa nani ambaye keshamwagwa huko chimwaga? tupeni news tuelewe kinachoendelea!
 
Fred Lowasa, Julius Kalanga ( chair uvccm monduli), Isack Kadogoo ( Diwan Monduli), James Millya (chair uvccm mkoa arusha) wako kazini mjini Dodoma
Nawafahamu Kalanga na Kadogo, hawana lolote, wababaishaji tu ni nguvu ya pesa wanaweza kuitumia lakini hawana nguvu ya kuwafanya watu wabadilishe msimamo.
 
Sitarajii action yoyote kutoka katika vikao vya CCM, natarajia ngonjera na taarabu kama tulivyozoea.
 
Mkuu Halisi,

Kazi unayo na sidhani kama hata nguvu unayotumia kumponda Lowassa na kundi lake kama unapata return ya kulingana.

Mie bado naamini Lowassa ndie anafaa kuwa President ajaye. Kwa kifupi mtu anakua na hatia kama mahakama imemuona hivyo na sio MAGAZETI na mitandao ya computer na simu.. Kumbuka SAS alivyosemwa na kuhusishwa na kikundi kimoja Zenji miaka hiyoo mpaka tukaanza kuamini.

Hizo propaganda fanyeni lakini mwisho wake utakua sio mzuri. Mkimwekea FITINA Lowassa musahau kabisa mikoa ya Arusha, Manyara na Knjaro. Itaenda kwa wapinzani milele. Kaskazini mtabakia na Tanga ambao wanaeleweka kama Pemba ilivyo kwa CUF.

Karata inabidi ichezwe vizuri na sio kishabiki. Pia inaonekana una chuki ya wazi sana na EL. Hii itafanya kila unachoandika kuhusu EL tujiulize mara mbili.

Jaribu kidogo kuficha HISIA zako juu ya EL. EL bado tunampenda na anaweza kuthubutu..

Asante
 
Mkuu Halisi,

Kazi unayo na sidhani kama hata nguvu unayotumia kumponda Lowassa na kundi lake kama unapata return ya kulingana.

Mie bado naamini Lowassa ndie anafaa kuwa President ajaye. Kwa kifupi mtu anakua na hatia kama mahakama imemuona hivyo na sio MAGAZETI na mitandao ya computer na simu.. Kumbuka SAS alivyosemwa na kuhusishwa na kikundi kimoja Zenji miaka hiyoo mpaka tukaanza kuamini.

Hizo propaganda fanyeni lakini mwisho wake utakua sio mzuri. Mkimwekea FITINA Lowassa musahau kabisa mikoa ya Arusha, Manyara na Knjaro. Itaenda kwa wapinzani milele. Kaskazini mtabakia na Tanga ambao wanaeleweka kama Pemba ilivyo kwa CUF.

Karata inabidi ichezwe vizuri na sio kishabiki. Pia inaonekana una chuki ya wazi sana na EL. Hii itafanya kila unachoandika kuhusu EL tujiulize mara mbili.

Jaribu kidogo kuficha HISIA zako juu ya EL. EL bado tunampenda na anaweza kuthubutu..

Asante

Sema Nampenda sio tunampenda.
 
Mkuu Halisi,

Kazi unayo na sidhani kama hata nguvu unayotumia kumponda Lowassa na kundi lake kama unapata return ya kulingana.

Mie bado naamini Lowassa ndie anafaa kuwa President ajaye. Kwa kifupi mtu anakua na hatia kama mahakama imemuona hivyo na sio MAGAZETI na mitandao ya computer na simu.. Kumbuka SAS alivyosemwa na kuhusishwa na kikundi kimoja Zenji miaka hiyoo mpaka tukaanza kuamini.

Hizo propaganda fanyeni lakini mwisho wake utakua sio mzuri. Mkimwekea FITINA Lowassa musahau kabisa mikoa ya Arusha, Manyara na Knjaro. Itaenda kwa wapinzani milele. Kaskazini mtabakia na Tanga ambao wanaeleweka kama Pemba ilivyo kwa CUF.

Karata inabidi ichezwe vizuri na sio kishabiki. Pia inaonekana una chuki ya wazi sana na EL. Hii itafanya kila unachoandika kuhusu EL tujiulize mara mbili.

Jaribu kidogo kuficha HISIA zako juu ya EL. EL bado tunampenda na anaweza kuthubutu..

Asante
Positive yote, Halisi kaanzisha thread hii si kwa sababu ya kutuhabarisha yanayojiri ila ni kumponda Lowassa purposely, lakini naomba Halisi ajue kuwa yule jamaa ni mashine kubwa kuliko inasaga na kukoboa at the same time mtahangaika sana na habari za magazeti lakini ukienda on ground level haiko kivile they have to compromise naye. Nawaambia subirini muone pamoja na chuki za kina Halisi za kumuita eti SI unit ya ufisadi na kumuacha fisadi papa atatoka kidedea na msione ajabu akawa m/kiti wa chama come 2012.
 
SAMMYT ,
  • Tupo wengi. Niamini. WaTanzania wanaopenda kiongozi imara shupavu na mwenye kuweza wanampenda Lowassa. Hata Mh JK anajua EL anaweza.
    Tatizo ni nyie mnaotaka kuwagombanisha. Ingia ndani ya CCM ndo utajua EL anakubalika kwa namna gani.
 
Back
Top Bottom