Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,609
- 1,731
Vita ya Mengi na Lowassa mpaka JF, kazi kweli kweli. Hivi Mengi na Lowassa walikoseana kwenye nini? Au ni lile suala la hoteli ya Kilimanjaro?
Waacheni CCM wafanya maamuzi yao, haisaidii kwa JF kugeuka Hussein Yahaya. Kesho itafika na tutajua ukweli.
Hii hapa ni kuongezeana bytes tu kwenye kompyuta zetu.
Mengi anahusikaje hapo? Hiyo picha ya Lowassa, Kikwete, Makinda, Bilal, Hamad, Pinda, Msekwa na Mukama imepigwa leo huko Dodoma - zingine hizi hapa: H@ki Ngowi: Taswira Za Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete Atua Mjini Dodoma Tayari Kabisa Kushiriki Vikao Maalum Vya Chama na Kushiriki Chakula Cha Jioni na Wabunge Wa CCM