Kilwa Road baada ya kumalizika imeanza kuharibika!

<b>Magufuli is not the leader you all think he is. Anajua tu kujionyesha mbele ya media. Ila ukiangalia wizara zote alizo pitia rushwa zilikithiri na wala hakuwezi kupunguza. Generally speaking haja fanya kitu chochote kikubwa bali anajua kujionyesha kwenye yale madogo anayo yafanya. </b>
<br />
<br />
unasemaje kuhusu Kilwa Road kujengwa upya baada ya Kajima kupeleka hela kwenye kampeni za magamba ?
 
Hapa USA wizara kama mbili zinaongozwa na watu waliotokea upinzani. Hii Wizara wawape wapinzani na wizara ya mambo ya ndani
 

Kama sikosei hiyo ngoma ilisimamiwa na hao hao Wajapan!


Ingesimamiwa na wajapan isingekuwa low quality. Inawezekana walileta engineers kutoka other third world countries, kama vile Thailand, Cambodia etc. Ila kama kulikuwa na involvement ya watanzania hawa kwanza ni lazima waadhibiwe.
 
Magufuli is good only at attracting media attention and showing off his gray mustache before TV cameras but when it comes to actual performance he is a complete failure. He is just exploiting his popularity to undermine other's efforts while in reality he (himself) is behind a number of fraud scandals to be unveiled soon.
 
Hapa USA wizara kama mbili zinaongozwa na watu waliotokea upinzani. Hii Wizara wawape wapinzani na wizara ya mambo ya ndani
<br />
<br />
Wewe upo Kimanzichana unasema eti USA. Hivi haka kamtindo ka kutufanya hatuna akili kataisha lini?
 
Sijui misamiati "kimanzichana" lakini natoa mawazo waziri si lazima awe wa chama tawala!!. Hii wizara ya nishati imewashinda kabisa CCM ni bora wawape wapinzania ambao hawana urafiki na mafisadi wasafishe hiyo wizara na mikataba ya kifisadi.
 
Hivi yule jamaa bado anakula 10% kwa kila contract ya Kajima Tanzania?

This guy has been getting his cut since 1980's
 
I wish Pinda angeachia ngazi kwenye sakata la Jairo kama ilivyoripotiwa, pengine JK angempa Magufuli u-PM!
 
Magufuli is good only at attracting media attention and showing off his gray mustache before TV cameras but when it comes to actual performance he is a complete failure. He is just exploiting his popularity to undermine other's efforts while in reality he (himself) is behind a number of fraud scandals to be unveiled soon.
<br />
<br />
Your day will come.. Endelea kutumika kama pedi..!
 
Basi hiyo ni habar njema
Serikali ya Japan [kupitia ubalozi wake hapa nchini] imekubaliana na Wizara ya Ujenzi kuwa Barabara ya Kilwa haistahili kupokelewa. <br />
<br />
Kutokana na hali hiyo Magufuli ameshinikiza mkandarasi airudue upya jambo ambalo Wajapani [kupitia Balozi] wamelikubali akiwemo mkandarasi [Kajma] mwenyewe. Ikumbukwe fedha za ujenzizilitolewa na Serikali ya Japan.<br />
<br />
Ngereja na Mkulo wanasubili nini kuiga mfano huo kuhusu umeme na misamaha ya kodi?!!
<br />
<br />
 
huu ni UPUUZI wa hali ya juu. Hapa watu wamekula hela na sasa hawana pa kutokea.Hivi TANROADS hadi jamaa wanajenga na kumaliza, walikuwa wapi?Ukiona kiwango kimeshuka si hapojapo unawasimamisha?
Hii ndio PAERT II ya uchunguzi.
Lazima watu wabebeshwe msalaba wao.
Hii barabara haikuwa inajengwa gizani, watu (Engineers ) walikuwepo.
Tusimumunye maneo,je walipewa KITU KIDOGO na Kajima ili watazame upende mwingine kwa kusevu gharama za ujenzi hivyo kupelekea ujenzi hafifu.
Soo hili inabidi lieleweke kwa Watanzania na hatua zisiishie kwa mkandarasi Kajima tu.
 
Ngereja kisha irudisha Dowans kwa jina jipya, mbona husemi hilo?

Muulize mkjj kwanini hasemi hilo? yeye si ndio alikuwa mstari wa mbele kuivuruga Dowans? vipi ya Symbion yamemshinda? nna uhakika yuko kimya kwa sasa kwa kuwa ameshajuwa hawa watu ni powerful na wanaweza kwenda kumkokoa hukohuko aliko. Usifanye maskhara.
 
Muulize mkjj kwanini hasemi hilo? yeye si ndio alikuwa mstari wa mbele kuivuruga Dowans? vipi ya Symbion yamemshinda? nna uhakika yuko kimya kwa sasa kwa kuwa ameshajuwa hawa watu ni powerful na wanaweza kwenda kumkokoa hukohuko aliko. Usifanye maskhara.

Mbona unawatetea majambazi we mwanamke. umejidhihirisha huna huruma na watanzania wenzako
 
Balozi wa Japan pamoja na Waziri Magufuli wametangaza kuwa barabara ya Kilwa iliyojengwa chini ya kiwango, kurudiwa tena kujengwa upya.

Balozi wa Japan ameomba msamaha kwa kampuni ya Kajima kutokujenga kwa kiwango barabara hiyo. Kampuni ya Kajima itarudia kujenga kwa gharama zake.

Ahsante Kikwete, ahsante Magufuli, ahsante Balozi wa Japan.

Makosa yametendeka, makosa yameonekana, makosa yamekubalika, makosa yanarekebishwa. Huo ndio uongozi mahiri na si kulalama tu kutwa kucha.

Dada kwenye hili Kikwete mwondoe. Si unakumbuka siku ile alipokuwa anampiga vijembe Magufuli akisema "tusijidai sana kwa kukataa barabara zilizojengwa chini ya Kiwango". (Naweza kuwa sija-quote exactly maneno yake lakini ujumbe ndo huo.
 
Muulize mkjj kwanini hasemi hilo? yeye si ndio alikuwa mstari wa mbele kuivuruga Dowans? vipi ya Symbion yamemshinda? nna uhakika yuko kimya kwa sasa kwa kuwa ameshajuwa hawa watu ni powerful na wanaweza kwenda kumkokoa hukohuko aliko. Usifanye maskhara.

Bi Mkubwa FF,

Huu ni uchokozi
 
Kumekuwa na taarifa kuwa serikali ya Tanzania imekataa kupokea Barabara ya Kilwa iliyojengwa kwa msaada wa serikali ya Japan kuanzia eneo liitwalo Bendera Tatu mpaka Mbagala Zakheem kwa kuwa imejengwa chini ya Kiwango!Ni lini ujenzi mpya utaanza?Mwenye tetesi atujuze!
 
[h=3]WAZIRI MAGUFULI ATOA TAARIFA KUHUSU MRADI WA UPANUZI WA BARABARA YA KILWA – AWAMU YA PILI .[/h]




Waziri wa Ujenzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Magufuli (MB) leo ametoa taarifa ya pamoja na Balozi wa Japan hapa nchini Mh. Masaki Okada iliyohusu Mradi wa Upanuzi wa barabara ya Kilwa kwa Awamu ya pili.


Akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, Mh. Magufuli ameelezea hatua iliyochukuliwa na Wizara yakekwa Pamoja Balozi wa japan ya kuunda Kikosi Kazi cha Pamoja kilichochunguza kuharibika mapema kwa barabara ya Kilwa hasa katika sehemu iliyojengwa katika Awamu ya Pili ya Mradi huo.


Aidha amefafanua kuwa mpango wa Mkandarasi wa kuanza matengenezo ya barabara hiyo ni mwezi Mei 2012 baada ya kipindi cha mvua.
 
Back
Top Bottom