Kilwa Road baada ya kumalizika imeanza kuharibika!

Mjenzi kakwangua barabara sehemu tatu tofauti na kulazimisha magari kupita juu ya tuta kuwa kero, alianza kukwangua kipande cha polisi ufundi hadi JKT Mgulani kabla hajaweka lami akaacha hapo na kuhamia kukwangua kuanzia mataa ya TIA mpaka mzunguko wa sabasaba na penyewe amepaacha hivyohivyo na kwenda kukwangua eneo la mzunguko wa bandari. kero zaidi ni pale inapoonekana kuna greda 2 tu site na zenyewe zime paki tu.
 
Mkuu hata huku kwetu Mbezi Mwisho hali ni kama hiyo, kwa mjomba kule Mbezi Beach na kwenyewe hali ilikuwa hivyo ingawa sasa kidogo kuna ahueni, Kinondoni B kwa kaka nako wameanza kutifua kama hivyo, Magomeni kwa mshikaji wangu ndio usiseme ukiwa upande wa kulia huwezi kuruka upande wa kushoto...

Jiji limevamiwa na hawa wajenzi barabara uchwara wasiojali maisha yetu ya kila siku kwa kuweka mibadala ya njia watengenezazo...

Mjenzi kakwangua barabara sehemu tatu tofauti na kulazimisha magari kupita juu ya tuta kuwa kero, alianza kukwangua kipande cha polisi ufundi hadi JKT Mgulani kabla hajaweka lami akaacha hapo na kuhamia kukwangua kuanzia mataa ya TIA mpaka mzunguko wa sabasaba na penyewe amepaacha hivyohivyo na kwenda kukwangua eneo la mzunguko wa bandari. kero zaidi ni pale inapoonekana kuna greda 2 tu site na zenyewe zime paki tu.
 
Mjenzi kakwangua barabara sehemu tatu tofauti na kulazimisha magari kupita juu ya tuta kuwa kero, alianza kukwangua kipande cha polisi ufundi hadi JKT Mgulani kabla hajaweka lami akaacha hapo na kuhamia kukwangua kuanzia mataa ya TIA mpaka mzunguko wa sabasaba na penyewe amepaacha hivyohivyo na kwenda kukwangua eneo la mzunguko wa bandari. kero zaidi ni pale inapoonekana kuna greda 2 tu site na zenyewe zime paki tu.

jamani na nyie mmezidi kulalamika,sasa ulitaka wafanye nini na hio lami lazima itawekwe mpya???mkijengewa shida,mkiachiwa barabara mbovu tabu!mfanyiwe nini mridhike??/acheni kulialia deal with it! YOU CANT EAT YOUR CAKE AND HAVE IT
 
Acha watu watoe kero zao, mbona hapo awali walikuwa wanatengeneza DIVERSIONS kwanza??? Janga kubwa ni pale ambapo ukiwa upande mmoja wa barabara huwezi vuka upande wa pili (yaweza kuwa njia ya kupunguza foleni) ila kwa nini wasitengeneze mfano wa flyover sehemu hiyo? ( yaani daraja la magari kupita juu ama chini) not a complicated multi billion flyover
 
Acha watu watoe kero zao, mbona hapo awali walikuwa wanatengeneza DIVERSIONS kwanza??? Janga kubwa ni pale ambapo ukiwa upande mmoja wa barabara huwezi vuka upande wa pili (yaweza kuwa njia ya kupunguza foleni) ila kwa nini wasitengeneze mfano wa flyover sehemu hiyo? ( yaani daraja la magari kupita juu ama chini) not a complicated multi billion flyover

DIVERSIONS? Na mmejenga mpaka barabarani? Itakuwa KERO nyingine ya kuvunja nyumba za wananchi. Kutengeneza mfano wa flyover pia kutakuwa na ujenzi hapo unaendelea, una hakika haitakuwa KERO na hiyo?
 
DIVERSIONS? Na mmejenga mpaka barabarani? Itakuwa KERO nyingine ya kuvunja nyumba za wananchi. Kutengeneza mfano wa flyover pia kutakuwa na ujenzi hapo unaendelea, una hakika haitakuwa KERO na hiyo?

hahaaa eti deversion na wamejenga mpaka barabarani lol
 
Waswahili kwa kulalamika hamjambo.

Kuna jamaa alikuwa afe, yes, afe siku ifuatayo na alikuwa akiugua muda mrefu.a
Baada ya maombi hakufa!!!!

Si malalamiko hayo baada ya kupona, maana alikuwa kumbe pochi mufilisi, ati ..."kwa nini hamkuniacha nife... kuliko kupata mateso ya njaa bure...!!!

Ndio waswahili wa Tanzania hao, hasa Dar es salaam.
 
Acha watu watoe kero zao, mbona hapo awali walikuwa wanatengeneza DIVERSIONS kwanza??? Janga kubwa ni pale ambapo ukiwa upande mmoja wa barabara huwezi vuka upande wa pili (yaweza kuwa njia ya kupunguza foleni) ila kwa nini wasitengeneze mfano wa flyover sehemu hiyo? ( yaani daraja la magari kupita juu ama chini) not a complicated multi billion flyover

kwahio umeambiwa hamna diversion sio....hio barabara imefungwa?wewe unajua flyover au unasema tu?
 
Kero inayolalamikiwa ni kwamba, mwanzo alikuwa anakwangua kipande kimoja na kuweka lami halafu ana hamia kipande kingine lkn ni hivi toka akwangue kipande cha ufundi - jkt mwezi Dec hajaweka lami mpaka sasa na hakuna chombo pale, januari akakwangua cha TIA - sabasaba na penyewe pia hamna chombo na hajaweka lami na wiki iliyopita kabomoa kipande cha bandari na amepa acha. Kama sio kero ni nini
 
Sasa ndio nazielewa hesabu ndefu za wahindi kuiteka upanga, hawa huwasikii hata siku moja kulalama foleni au kuchelewa kazini.
 
Mjenzi kakwangua barabara sehemu tatu tofauti na kulazimisha magari kupita juu ya tuta kuwa kero, alianza kukwangua kipande cha polisi ufundi hadi JKT Mgulani kabla hajaweka lami akaacha hapo na kuhamia kukwangua kuanzia mataa ya TIA mpaka mzunguko wa sabasaba na penyewe amepaacha hivyohivyo na kwenda kukwangua eneo la mzunguko wa bandari. kero zaidi ni pale inapoonekana kuna greda 2 tu site na zenyewe zime paki tu.

Mkuu inasemekana ile greda ya kushindilia lami ilidondosha washeli na nut zake za lile lichuma la kushindilia, hivyo wakalazimika kuagiza Ujerumani, vifaa hivyo vinaletwa na meli. Jamani tuwe watulivu kidogo, Serikali yetu sikivu inashughulikia.
 
Wadau, ninazungumzia kero tunayoipata katika huu ukarabati wa barabara ya Kilwa road (Barabara ielekeayo Mbagala, Kigamboni na hadi Mtwara) kwanzia eneo la Sabasaba hadi Mtoni Mtongani.

Hii ni mara ya tatu toka mkandarasi aanze ukarabati kutokea eneo la bandari, mkandarasi husika amekuwa na kamchezo ka kufukua barabara na kusepa hata kwa miezi 6 akiacha vifaa kama ataendelea kesho na kuacha magari yakihangaika kupita ktk barabara ya ziada ambayo nayo haifai kupitika kwa sababu nayo ni mahandaki matupu ambayo husababisha foleni hata wakati ambapo foleni haihitajiki na magari kuharibikia hapo.

Hii ni Kero kubwa sana kwa wakazi tuishio maeneo ya kusini mwa Dar es salaam, kama hamna pesa si mngesubiri? Tunaomba serikali iliangalie suala hili kwa makini.

IMG_20150221_174636.jpg

Kilwa road.JPG

IMG_20150221_175802.jpg
IMG_20150221_175808.jpg
 
Ni kero kubwa sana maana kuna vumbi ile mfano wa kiwanda cha sementi, maji yenyewe wanamwaga baada ya siku mbili na ni kidogo mno kiasi ya kwamba nusu saa baada ya kumwaga maji vumbi ni la kutisha
pia huwa najiuliza kwanini walibomoa kama uwezo wa kuijenga hawana?
na hawa wa mazingira sijui kama hii barabara wanaipita kwa kweli.
 
Ni kero kubwa sana maana kuna vumbi ile mfano wa kiwanda cha sementi, maji yenyewe wanamwaga baada ya siku mbili na ni kidogo mno kiasi ya kwamba nusu saa baada ya kumwaga maji vumbi ni la kutisha
pia huwa najiuliza kwanini walibomoa kama uwezo wa kuijenga hawana?
na hawa wa mazingira sijui kama hii barabara wanaipita kwa kweli.
Viongozi wengi wanaishi kigamboni na wanapita hii barabara, hapa kuna kuogopana
 
Endeleeni kukereka tu

Wao wanaishi mbezi beach, masaki
Hizo kero haziwahusu.....

Kuna wenzenu huko barabara imefungwa hii wiki ya 3 au ya 4 wametulia tu

Kwa hiyo na nyie kuweni wapole
 
Endeleeni kukereka tu

Wao wanaishi mbezi beach, masaki
Hizo kero haziwahusu.....

Kuna wenzenu huko barabara imefungwa hii wiki ya 3 au ya 4 wametulia tu

Kwa hiyo na nyie kuweni wapole

Hahahaaa:eek::D umenifurahisha, kwa hiyo sisi ni cha mtoto?
 
Back
Top Bottom