Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
...kama ushamjua ni muongo si umpotezee tu?..au ukiona jina tu kuna vitu vinakunyevua...Muongo tu huyo hana lolote.
Kuna siku alikuja na picha humuhumu JF akidanganya kuwa kaipiga yeye hapo njia ya kwenda Ikulu, kumbe ile picha ipo kwenye mitandao kwa miaka kadhaa, nikamuumbuwa uongo wake kwa kuileta source nyingine kabisa ya ile picha, basi toka siku hiyo kajenga chuki kwangu.
Huu anaoleta humu ni uongo tu hajuwi lolote huyo.
Wajinga Ndiyo Waliwao.
..kama vipi mtunuku akuchape nao akusuuze,muwasho utaisha!
.wajipa tabu ya nini
