Kile kipindi ambacho nilipotea

Kile kipindi ambacho nilipotea

Wapuuzi huwa hawajibiwi umefanya kosa kubwa kumjibu...mpumbavu huachwa na upumbavu wake! Hiyo ndio tiba


Wacha porojo wewe, utadanganya manyumbu tu humu. Nilishakubamba uongo wako siku nyingi sana.

Nyie ndiyo mara mnatangaza "Mimi nabii" na misukule wamo wanawafata tu.
 
Hadithi za kuona watu wanatembea kwenye matope hawadidimii ni uongo tu.

Atawadanganya mliosomea ujinga shuleni.
Hivi unatambua kuhusu existence ya ulimwengu wa giza? unaelewa kuhusu supernatural powers? hayo maruhani yako yanayo kufanya uropoke ovyo hapa bila staha yana tofauti gani na anachokielezea mshana jr?
 
Hivi unatambua kuhusu existence ya ulimwengu wa giza? unaelewa kuhusu supernatural powers? hayo maruhani yako yanayo kufanya uropoke ovyo hapa bila staha yana tofauti gani na anachokielezea mshana jr?


Muongo tu huyo hana lolote.

Kuna siku alikuja na picha humuhumu JF akidanganya kuwa kaipiga yeye hapo njia ya kwenda Ikulu, kumbe ile picha ipo kwenye mitandao kwa miaka kadhaa, nikamuumbuwa uongo wake kwa kuileta source nyingine kabisa ya ile picha, basi toka siku hiyo kajenga chuki kwangu.

Huu anaoleta humu ni uongo tu hajuwi lolote huyo.

Wajinga Ndiyo Waliwao.
 
Muongo tu huyo hana lolote.

Kuna siku alikuja na picha humuhumu JF akidanganya kuwa kaipiga yeye hapo njia ya kwenda Ikulu, kumbe ile picha ipo kwenye mitandao kwa miaka kadhaa, nikamuumbuwa uongo wake kwa kuileta source nyingine kabisa ya ile picha, basi toka siku hiyo kajenga chuki kwangu.

Huu anaoleta humu ni uongo tu hajuwi lolote huyo.

Wajinga Ndiyo Waliwao.
Na wewe huoni kama hizi kauli zako zinaashiria chuki dhidi yake?
 
Nimetamani kusimulia hiki kisa muda sasa lakini waungwana walikuwa hawajatoa ruhusa bado.

Nilipotea kwa vipindi viwili vyenye jumla ya siku 23, kati ya siku hizo ni siku chache sana nilikuwa nje ya Tanzania, nyingine zote nilikuwa hapa hapa ila kwenye dunia isiyoaminika na wengi, dunia ya ushirikina na uchawi katika uhalisia wake.

Nitangulie kuomba radhi sitaandika kila kitu bali yale ya muhimu tu nitakayoona ni muhimu kuandika.

Nilitoka Dar kwa dharura kuelekea sehemu ambako nitapata kile kinachonipeleka huko, safari yangu ikanipeleka mpaka Nyamisati, nikalala pale.

Siku ya pili asubuhi nikadamkia bandari bubu iitwayo gezani.... vituko vilianzia hapo.
Kuna jamaa anamsumbua mke wangu nisaidie nataka akojoe vidagaa
 
Kaka mshana,..naamini masharti yamekubana,ila stori ni nzuri sana,japo ungeiweka kwa kina kwa vipengele vile visivokuwa na masharti ingetusaidia sana,.....nimeipenda sana,...thanx
 
Back
Top Bottom