Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,180
- 24,798
Hii ni open forum, nafatilia na kama kuna uongo nasema kama ulivyoona juu huko.
=nafuatilia
Ulienda kujifunza upumbavu shuleni?
Hii ni open forum, nafatilia na kama kuna uongo nasema kama ulivyoona juu huko.
=nafuatilia
Ulienda kujifunza upumbavu shuleni?
Kiswahili sikujifunza ni lugha mama kwangu, huwa sikisii, kumbuka hilo.
Kama ni uongo si ukae kimya? Kwani mangapi tunaongopewa na tunakaa kimya? Kama ni muongo si yeye na Uzi wake? Au alikupiga chini nini! Maana sio kwa kupanic hukoUnataka nimrembe muongo?

Kama ni uongo si ukae kimya? Kwani mangapi tunaongopewa na tunakaa kimya? Kama ni muongo si yeye na Uzi wake? Au alikupiga chini nini! Maana sio kwa kupanic huko![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Heshima ni kitu cha bure.
Kwahiyo kumbe unaweza ukatupa ukweli wa hiyo stori unayoiita ya uongo!!!Wewe kaa kimya, sisi hatupendi uongo.
Bora ukae kimya. Amna mtu asiejua chuki zako juu ya Mshana Jr.Naam, na kwa kuwa tunawaheshimu sana vijana hatupendi kuona mtu akiwadanganya.
Kuamini ya huyu mwishowe ni kutapeliwa tu.
Kwahiyo kumbe unaweza ukatupa ukweli wa hiyo stori unayoiita ya uongo!!!
Bora ukae kimya. Amna mtu asiejua chuki zako juu ya Mshana Jr.
Umejuaje kuwa ni uongo ulikuwa nae..?Hii ni open forum, nafatilia na kama kuna uongo nasema kama ulivyoona juu huko.
Umejuaje kuwa ni uongo ulikuwa nae..?
au wewe ndio unayeijua hiyo story,.. funguka basi tukuelewe...
Mshana bila wewe sioni raha ya JF...
SawaWajinga Ndiyo Waliwao
Hii ni open forum, nafatilia na kama kuna uongo nasema kama ulivyoona juu huko.