Kile kipindi ambacho nilipotea

Kile kipindi ambacho nilipotea

Kwahiyo kumbe unaweza ukatupa ukweli wa hiyo stori unayoiita ya uongo!!!

Ukweli ni kuwa hakuna vitu kama hivyo ni uongo tu.

Huyo mtu anakila dalili za kuja kutapeli watu na wengine kuna siku mtakuja kulalamika humu.

Asiyesikia la mkuu...
 
Umejuaje kuwa ni uongo ulikuwa nae..?
au wewe ndio unayeijua hiyo story,.. funguka basi tukuelewe...

Si Kishadanganya sana humu JF nikambamba kwa ushahidi kamili, pitia juu huko nimekieleza kituko chake cha uongo nilichombamba.
 
Back
Top Bottom