Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
Haters wanapata vipele vya husuda wakiona reply kama hii,![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
achana vipele viwatoke,nitawakuna tu
Haters wanapata vipele vya husuda wakiona reply kama hii,![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
achana vipele viwatoke,nitawakuna tuHaters wanapata vipele vya husuda wakiona reply kama hii,![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umeitika Kwa unyonge
nimekubali bora yaishe maana ligi zake siziweziSasa si ungenipigia simu nije kuku chukua ulale kwangu????Inaendelea
Kiukweli ni kwamba nilisizi, Lakini Sikuwa pekeyangu karibia wapangaji kama wane hivi walitoka vyumbani mwao
Mimi sikurudi tena kulala mule ndani nilichukua kibegi changu na kwenda kukesha Ibiza mpaka alfajiri nilipotimkia bandarini
Tukiwa kwenye boat kurejea Nyamisati story zilikuwa za ile gesti na vituko walivyokumbana navyo usiku mzima, hasa ile harufu ya udongo mbichi na mchele, kuna baadhi walijiapiza kuwa hawatakaa warudi Mafia
Tulifika Nyamisati saa tatu hivi asubuhi bila kituko chochote....nilipumzika mpaka mchana tulipokodi fiber boat kwenda kwenye visiwa vilivyo karibu na hapo Nyamisati

Hivi mko wangapi? Mbona wengine hatuwaoni? Tuwekee hiyo post unayodai kadanganya ambayo kila siku ndio reference yako! Hivi huna haya mwanaizaya uso na haya weye?Naam, uongo tuna u hate kwelikweli.
Aisee noma sana hiiBaaDa ya ya kufika gambosi aka gamboshi wengi muiitavyo, nilikutana na dunia nyingine kabisa! Ambayo iko ndani ya huu ulimwengu tunaoishi!, picha linaanza sehemu ya kulala, naambiwa fuatana na Huyo jogoo mwekundu! Atakapolala na wewe utalala hapohapo! Na kweli ikawa hivyo! Jogoo alikuwa na hirizi kubwa shingoni, njiani tukakutana na na mlevi mmoja akanitukana mno! Nikataka kumvagaa! Jogoo akanirukia akanikaba shingoni!.... Inaendelea!..............
Ana dalili za utapeli? Tangu lini umekuwa mtabiri? Boring old rugUkweli ni kuwa hakuna vitu kama hivyo ni uongo tu.
Huyo mtu anakila dalili za kuja kutapeli watu na wengine kuna siku mtakuja kulalamika humu.
Asiyesikia la mkuu...
Haha basi naacha,sitaki maradhi mieUtapata maambukizi hasa ya kwenye kucha
Kumbe weye ndo ulipotea kwenye ile ziara ya waziri mkuu?Utapata maambukizi hasa ya kwenye kucha
Mmmmh......Huko visiwa vya mafia ndio nasikia Mchana watu ni wachache ila Usiku watu huongezeka na kuwa wengi...
Tueleze zaidi Bro.
Naam, hakuna utapeli rahisi na unaowaingiza watu mkenge kwa haraka zaidi kama kujifanya unajuwa "nguvu za kiza".Ana dalili za utapeli? Tangu lini umekuwa mtabiri? Boring old rug
Ukweli umemuingia.umeitika Kwa unyonge