Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Status
Not open for further replies.
Mbona ilijulikana tu kua ataenda sema hivyo na mbona kuna Eppa madawa ya kulevya .Escrows ni Lowasa pia .?
 
Wewe ndiyo Chizi la kutupwa,

Unajua maana ya kumwajibisha mtu au unaropoka?

Kiwete wako hakumwajinisha Lowassa hata mara moja. Rejea kwenye Hansard za Bunge alichosema Lowassa.
Yeye alimwomba Kiwete kwa hiari yake mwenye ajiuzulu kama laivyofanyaga Mzee Mwinyi enzi za Mwalimu, hakuna tofauti na hili ili kuinusuru Serikali ya Kiwete.

Kama ni kumwajibisha kiukweli alipaswa KUMFUKUZA KAZI YA UWAZIRI MKUU na KUMFUNGULIA MASHTAKA kama ingelikuwa kweli. Ndiyo maana Kiwete siku zote amekuwa akichekacheka tu na kurudia maneno ya kuwa Rafiki yake Lowassa alipata ati 'ajali ya kisiasa!'

Hivo usitake kupotosha umma, kwani tunajua kila kitu.

Wewe ndo chizi
 
Kikwete alikua wapi miaka nane yote, inamaana lowasa asingetoka CCM tusingeyajua haya. HUU NI UNAFIKI WA HALI YA JUU SANAAA. Sidhani kama ataiona mbingu.
 
1.Television ya taifa na zingine washirika kumuonesha mwalimu Nyerere mara nyingi zaidi ya siku za nyuma wakiweka hotuba zisizoponda chama tawala lakini zikikaa mrengo wa kukitetea haya yatafanyika kuelekea 14 October kwenye kumbukumbu ya mwalimu

2. Umeme kuwepo siku nzima na nchi nzima siku zifuatazo siku CCM itakapoenda Mwanza na mikoa mingine mikubwa ili watu waweze kuona na kusikia mikutano yao live nchi nzima lakini mgao utaendelea siku wapinzani wap wangu wakipita mikoa hiyo hiyo either wakiwa wametangulia au baadaye.

3. Kukamatwa kwa kiongozi mkubwa wa chama kimoja kwa kosa lililompeleka mbasha au babu seya kortini na kutangazwa sana na vyombo vya habari ikiwemo kuwaweka wazi waathirika wa tukio hilo litapotokea kesi itaisha baadae baada ya uchaguzi.

4. Kulazimishwa kwa kuombwa sana kwa mke wa kiongozi wa kitaifa anayeheshimika kutoa tamko siku ya kilele cha maadhimisho ya marehemu mumewe kwa hotuba fupi itakayoandaliwa au mahojiano yatakayoandaliwa kuonesha kwamba fulani sio chaguo na mengineyo.

5. Kukamatwa kwa watu watakaokuwa na Silaha za kivita wakiitwa"magaidi wenye mafunzo ya kikomandoo"ambao watasema wameletwa na chama kimoja cha siasa kwa shughuli maalumu .kumbuka hawatakuwa watanzania watatoka nchi inayosifika kwa magaidi afrika .

7. Kujitoa au kushawishiwa kujitoa kwa chama kimoja au kiongozi wake mkuu kwa madai ya kutotendewa haki na muungano wao.

8.Wagombea urais wawili au watatu kutangaza kumuunga mkoani mgombea wa chama kingine na Hii wataifanya hadharani siku ya kufunga kampeni kwa hicho chama.

9.Siku ya ufungaji wa kampeni tutashuhudia mwenyekiti wa chama kimoja wenye mamlaka ki nchi akimtuhumu waziwazi na kumtaja jina mgombea wa chama pinzani na washirika wake wakuu kuhusika na ufisadi uliotajwa sana tukio hilo litafanyika na kuoneshwa live na TV na redio nchi nzima na kupewa uzito kwenye magazeti yote kesho yake.

Lakini siku inayofuata ambayo chama tuhumiwa kitataka kujibu mapigo umeme utakatika nchi nzima so hawatakuwa live zaidi ya uwanjani pia magazeti ya siku ya uchaguzi yatawekewa oda ya jumla na tutayapata jioni au tusipate kabisa yatakuwa yameandika habari hizo za kufunga kampeni na majibu ya tuhuma kwa uwazi na vielelezo lakini itakuwa too late.

10. Uchaguzi utagubikwa na fujo kwa karatasi kuchelewa Vituoni, polisi kutumia nguvu kubwa,watu kuvaa tishet za vyama wasivyoshabikia na kufanya vurugu ila tishet hzo ni mpyaaaa.

Baadhi ya vituo watu hawatapiga kura uhesabu wa kura kielectonic utaleta utata mkubwa kwa kutofautiana na uhalisia wa jumla ya kura zote.
Kurudiwa kura sehemu mbalimbali kwa sababu mbalimbali.

Kukamatwa kwa wapiga kura mamluki au wanaotaka kutumika kupigia

MENGINE NITALETA BAADAYE USINIBISHIE KAA UTICK KILA KITAKACHOTOKEA KUTOKANA NA MUDA KAMA NI MDAU CHUKUA TAHADHARI
 
Na ukweli wa Lowassa kutofaa kuwa mkuu wa nchi haubadili ukweli wa CCM kutofaa kuendelea kuwa chama tawala baada ya kushindwa kabisa kutawala kwa zaidi ya nusu karne.

Ukisema Lowassa hafai kuwa mkuu wa nchi na ukasema CCM nayo haifai kuendelea kutawala, basi hapo tutakuwa kwenye ukurasa mmoja.

Lakini usije na habari za eti Lowassa hafai halafu CCM wanafaa kuendelea kutawala kwa miaka mingine 5!

Nitakuona mwendawazimu!!

Naichukia CCM kwa dhati ....Nachukia na makandokando yake yote ....lakini siamini kwamba kumchagua Lowasa naichagua Chadema naitoa CCM ....zaidi ni uchaguzi wa kuamua nani aongoze na si vyama kwa nature ya wagombea wote .....nitakuwa kichaa nikiona Lowasa ni bora kwa magufuli ....
 
Yeye kama rais alichukua uamuzi gani?je kama sio bunge kukomaa tungelijua hayo?
 
Kikwete alikua wapi miaka nane yote, inamaana lowasa asingetoka CCM tusingeyajua haya. HUU NI UNAFIKI WA HALI YA JUU SANAAA. Sidhani kama ataiona mbingu.

Unajitia fahamu tu alijiuzulu kwanini uwaziri mkuu kikwete anarudia tu
 
Tunashukuru kwa kuwa yeye na Serikali yake wameshindwa kumchukulia hatua na kuamua kumshitaki kwetu, KESHO tunamuhakikishia Kikwete kwamba wananchi tumechukia na tutamuadhibu Lowasa kwa kumfunga miaka mitano Ikulu ili atutumikie wananchi.
 
Leo ndo kajibu ili apate kuraa...!??atuambie kule monduli kauli yake ya ajali ya kisiasa alimanisha nn..dah watanzania tunaonekana kama hatuna akili walah

Kama hiyo kauli ya mkuu inakustaajabisha, vipi ya Viongozi wote wa CHADEMA waliomtangaza Lowasa fisadi kisha wakamkumbatia, wakavunja misingi yao ya demokrasia (kwa jina la chama) kwa kumweka kama mgombea wao wa Urais katika muda mfupi na kura ya mwenyekiti tu. Ukistaajabu ya Musa ...

TAFAKARI CHUKUA HATUA.
 
Hongera jakaya,ulikua unasubiri wakati sahihi umkate nyoka kichwa.kazi imekwisha
 
Naichukia CCM kwa dhati ....Nachukia na makandokando yake yote ....lakini siamini kwamba kumchagua Lowasa naichagua Chadema naitoa CCM ....zaidi ni uchaguzi wa kuamua nani aongoze na si vyama kwa nature ya wagombea wote .....nitakuwa kichaa nikiona Lowasa ni bora kwa magufuli ....

Acha basi kumung'unya maneno.

Jibu hili swali, sawa?

Kwa hiyo kesho wewe unaipigia kura CCM na Magufuli, siyo?
 
...kweli Kikwete na serikali yake wamekua legelege mnooo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom