Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Status
Not open for further replies.
Nimemsikiliza kikwete nikagundua ni rais wa hovyo ambae ataingia kwenye historia ya tz

Najisikia raha sababu awamu zote mbili sikumpigia kura. Waliompigia kura watubu dhambi
 
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..



RAIS amesema mchakato wote wa kutatua tatizo la Umeme alishiriki 100%, unadhani kwa kakichwa kako mtu kusema ameshiriki hatua zote unawaza anaishia wapi?? Point ya Raisi anayoijenga pale ni kwamba Richmond haikuwa Jukumu lake kuifahamu. Lakini alijua. Hatumteti mtu hapa usilete ushabiki kwanza
Acha ujinga wewe,Lowasa ndo aliitafuta RICHMOND,NA LOWASA NDO MUHUSIKA MKUU
 
Wewe ni mnafiki, muongo na Li Fisadi li Jinga kabisa. Eti unatokwa na machozi kwa uzuri na ulafi wa Lowassa. MTU kama wewe inaonyesha hujawahi kuwasifia wakazi wako waliokuzaa kama unavyo Lisifia hili Li Fisadi Lowassa.

Wewe unaweza uza mwanao kwa sababu ya pesa.
 
Kikwete Aache kutuzingua alikua wapi siku zote kategea kampeni ya mwisho ili wasimjibu
 
Afadhal kikwete kuliweka wazi,yani watu wote waliokuwa wakisikiliza hutuba hakiyanani wameapa kwamba kumbe lowasa kanyanyaswa hivi, wamesema wote kesho lowasa tunamsimika kuwa raisi wetu
 
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..

Muongooooooo wewe. Hakusema hivyo kabisaaaa. Amesema huyo Edo wako ndiye aliyepindisha taratibu za manunuzi. Badala ya kuwatumia Tanesco yeye akatengeza kamati yake ya makatibu wakuu ambao aliwaagiza waripoti kwake yeye Edo. Edo akageuka kiranja wa kupokea mapendekezo ya kamati yake mwenyewe kitu ambacho ni kinyume na taratibu za kisheria za manunuzi.

Sasa kama aliunde chombo chake akakisimamia yeye na akaridhika na utendaji wake halafu wakanunua umeme hewa kwa akili yako vipi asiwe mkosefu? Kwa nini asijiuzulu? Kwa nini alipindisha kazi hiyo isifanywe na tanesco?

Tatizo lake ni uchu wa kufanya na wasio na uwezo ili awaamrishe amrishe wafuate anavyotaka yeye. Ubabe ubabe tuuu. Halafu na wewe eti unataka kutudanganya hapa. Go to hell.
 
Wewe ni mnafiki, muongo na Li Fisadi li Jinga kabisa. Eti unatokwa na machozi kwa uzuri na ulafi wa Lowassa. MTU kama wewe inaonyesha hujawahi kuwasifia wakazi wako waliokuzaa kama unavyo Lisifia hili Li Fisadi Lowassa.

Wewe unaweza uza mwanao kwa sababu ya pesa.

Mbona unaonekana una jazba sana mkuu yaelekea angekua karibu yako ungemlamba vibao
 
Anasema leo. Kwa nini asingesema kipindi kile. Na wenye kiwira na amben ni nani?? Msidanganyike na hivi habari. Kama rais alitakiwa kuongea miaka hiyo.

Taifa la wanafiki wanaongozwa na viongozi wanafiki na vigeugeu kutoka ajari ya kisiasa mpaka riwaya za leo ni hatari sana 😎😎😎😎
 
Kweli wewe Chizi


Kikwete kasema mwenye richmond alimuwajibisha,alimwambia JIUZULU

Wewe ndiyo Chizi la kutupwa,

Unajua maana ya kumwajibisha mtu au unaropoka?

Kiwete wako hakumwajinisha Lowassa hata mara moja. Rejea kwenye Hansard za Bunge alichosema Lowassa.
Yeye alimwomba Kiwete kwa hiari yake mwenye ajiuzulu kama laivyofanyaga Mzee Mwinyi enzi za Mwalimu, hakuna tofauti na hili ili kuinusuru Serikali ya Kiwete.

Kama ni kumwajibisha kiukweli alipaswa KUMFUKUZA KAZI YA UWAZIRI MKUU na KUMFUNGULIA MASHTAKA kama ingelikuwa kweli. Ndiyo maana Kiwete siku zote amekuwa akichekacheka tu na kurudia maneno ya kuwa Rafiki yake Lowassa alipata ati 'ajali ya kisiasa!'

Hivo usitake kupotosha umma, kwani tunajua kila kitu.
 
Nilikuwa nikujua kuwa rais wa nchi ndo top katika kila kitu. Kumbe kuna mambo mengine yanaweza kufanyika na yakasumbua nchi kwa kiwango kikubwa bila rais kusema chochote
 
Mtu asiyefuata taratibu za kisheria akajifanya kuea walio weka sheria hizo ni wajinga basi asimamie asikosee na atakapokosea awajibishwe tuuuuu no way out
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom