Lowassa ni FISADI. Period.
Utaomba poo. Tumejipanga na raisi ni lowassa
Lowassa ni FISADI. Period.
aya mkuu ila kesho kura ni kwa magufuli tu
Kwa hiyo yeye kama Rais alichukua uamuzi gani. Miaka 8 imepita ndio anasema leo?
Kwa hiyo yeye kama Rais alichukua uamuzi gani. Miaka 8 imepita ndio anasema leo?
Kwa nini aseme leo lala salama, ambapo anajua EL hawezi kumjibu kwa lolote? Hatudanganyiki tumeishafanya maamuzi. VIVA UKAWA.
Acha uongo, umeangalia tv ya mabua nini? Kasema yeye alishiriki ktk kuwaambia watafute kampuni ya kuzalisha umeme na akawapa masharti kwa aliowapa jukumu wafuate masharti na taratibu kama inavyotakiwa.
Na kasema lowassa ndiye muhusika ma WALIMWAMBIA AJIUZULU. Changanya na zako na pia maelezo ya aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge, kamati ya Mwakyembe.
Hivyo lowassa hakujiuzulu kwa hiari.
Afadhal kikwete kuliweka wazi,yani watu wote waliokuwa wakisikiliza hutuba hakiyanani wameapa kwamba kumbe lowasa kanyanyaswa hivi, wamesema wote kesho lowasa tunamsimika kuwa raisi wetu