Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .
Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .
Kazi imekwisha ....
lowassa ndiye rais wetu wa JMT !!!Udhaifu wa Kikwete huo ...ndio maana CCM wanapita ktk hali hii .....lakini udhaifu wa Kikwete haubadili ukweli juu ya Lowasa kuwa hafai kuwa mkuu wa nchi ....
Udhaifu wa Kikwete huo ...ndio maana CCM wanapita ktk hali hii .....lakini udhaifu wa Kikwete haubadili ukweli juu ya Lowasa kuwa hafai kuwa mkuu wa nchi ....
Za mbayuwayu......
Tuondoleen upumbavu wenu hapa. Aliyekuw amkuu wa nchi ni Lowasa au Kikwete? Nani alikuwa juu ya mwingine?
Baada ya kubaini kwamba Lowasa ndiye tatizo, bungeni aliwajibika, serikai ya kikwete ilifanya nini ili kumfikisha kwenye vyombo vya sheria?
Kikwete aache uanafiki. Tabia hizi hatutaki kuziona tena kwenye ikulu yetu.
Kikwete alipaswa kuhakikisha uchunguzi unafanyika na ingebainika Lowasa ana kesi ya kujibu, alitakiwa kufikishwa mahakamani na serikali ili haki kwa taifa itendeke. Alifanya hili?
Kikwete huyu huyu ndiye aliyekwenda kumnadi Lowasa Mondulikwamba ni jembe yaliyomkuta ni ajali ya kisiasa. Alipokuwa nasema haya alikuwa kwenye ulimwengu na mwili gani huyu?
Aliulizwa mhusika wa Richmond akaasema hamjui. Leo huu ujinga anataka kumwambia nani atakayemwondoa yeye kwenye huu ufisadi?
Miaka nana imepita lowaa akisifiwa kila mara na kikwete na chama chake. Hadi anapewa na form za kugombea uraisi. Hii biashara ninadhani inatosha kwa hao watoto wa shule mnaowasomba na malori kujaza viwanja. Watu wazima hapa.
Ninaomba kikwete aishie zake kwa namna anavyostahili. Narudia maneno ya Kingunge. Akitaka kuondoka kistaarabu, akabidhi nchi kwa atakayeshinda. Haya mngine anajifedhehesha na kujimalizia hata kaheshima kake alikosalia nako kama kapo.
Tumechoka. Tunahitaji Tanzania sahihi, siyo hii ya rasi wa ajabu ajabu.
Anajua watanzania tulio wengi wapumbafu ndio maana anajaribu kutumia njia hii kuongea kabla watu hawajajua ukweli tayari uchaguzi umeisha. Msidanganyike. Kama unapenda ukawa piga kura ukawa kama unataka ccm then sikiliza
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .
Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .
Mswahili katika ubora,hata aibu hana.rais mzima unakuwa mwongo namna hii.na kwa ujasiri kabisa anajivua nguo