GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

sio jambo jema kuweka clip ya jangwani hapa kisha ukiiona itakusaidia nini? baba yao akikaa uchi na ikawekwa clip hapa utafurahi?

Mkuu Luiza Gama hakuna ubaya kama unavyofikiri wewe ...we dare... hapa JF. Zimeweka picha za mtu amechomwa Kimara, zina maelezo yanayotoa mwongozo kuwa si nzuri na hakuana aliyesema zitolewe. What is so special being a human-president and a humanbeing? Kwa aliyeona ameona na huwezi kufuta historia...anyway karibu sniffer!
 
Hata hivyo hakulamba mchanga. Msijali hali yake itakuwa salama soon.
 
CCM kutumia helikopta ktk kampeni ni just a mere coincidence na mkulu kuanguka jukwaani?
 
Last edited by a moderator:
Rais kikweete aliporejea amesema amefungulia na hii ni kutokana na uchovu wa swaumu ...hee jamani mbona wakristo wengi hasa wachungaji wanaubiri toka asb mpaka jioni awaanguki wakiwa kwenye swaumu ...hizi za wenzetu zina nini zinawadondosha??
 
.

mbona jibu unalo kwamba ana uchungu na nchi yake ameshauriwa apumzike hataki ili kuwatumikia watanzania basi ndiye Rais bora. Kwa sisi tulio mtaani tunathibitisha kwamba KIKWETE anafanya sana kazi kwa kuangalia shughuli zake kwenye vyombo vya habari mbali na kazi ambazo haziko kwenye vyombo vya habari. Kwa hakika huwezi kujui kikwete analala na kupumzika saa ngapi.

Kuna mzee wa chama nimempigia simu kuuliza vipi Rais ameishiwa nguvu tena? kasema usiku wa kuamkia leo Rais kalala masaa mawili tu akiwa na timu ya wataalamu kupitia ratiba ya kampeni na kuifanyia marekebisho kadhaa.

Bado sio sababu... tafuta kisingizio kingine...
 
Huyu jamaa simuelewi kabisa, Kama anaumwa Ukimwi si atuambie tu. Ukosefu wa kings mwilini si ugonjwa wa ajabu sana, hivyo Kama tatizo ni Hilo sie tutamuewa ila asijiangaishe sana maana kwake ni INATOSHA. Kikwete Mimi mtoka mbali nimekuchoka nenda kapumzike.
 
Nafikiri rais wetu ana matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri.

Nikirejea kauli zake mbalimbali ndani ya mwaka huu napata mashaka rais ni mgonjwa kwelikweli.

JK siku hizi ana kauli za ajabu ajabu. Fikiri mtu kaanguka then akizinduka anarudi kuhutubia watu, unafikiri ana kumbukumbu za kutosha kwa aliyokuwa anazungumza awali?

CCM ndio wenye matatizo, washauri kina Hiza, Makamba. Mnategemea nini?

Yasitokee ya Ya'radua wa Nigeria hapa Tz.

Kwanini tulazimishe mgonjwa uongozi.

Nashauri apunzike mwingine achukue nafasi yake. CCM inawatu wengi.
 
quote_icon.png
Originally Posted by Luiza Gama
.

mbona jibu unalo kwamba ana uchungu na nchi yake ameshauriwa apumzike hataki ili kuwatumikia watanzania basi ndiye Rais bora. Kwa sisi tulio mtaani tunathibitisha kwamba KIKWETE anafanya sana kazi kwa kuangalia shughuli zake kwenye vyombo vya habari mbali na kazi ambazo haziko kwenye vyombo vya habari. Kwa hakika huwezi kujui kikwete analala na kupumzika saa ngapi.

Kuna mzee wa chama nimempigia simu kuuliza vipi Rais ameishiwa nguvu tena? kasema usiku wa kuamkia leo Rais kalala masaa mawili tu akiwa na timu ya wataalamu kupitia ratiba ya kampeni na kuifanyia marekebisho kadhaa.

Yaani huyu jamaa anataka rais wa nchi awe analala 10 hrs?.
 
Kwa mtazamo wangu hizo ni dalili ya dhambi ya oungo na dhuluma. Haiwezekani mtu moja tu akae akiudanganya umati hivihivi...
Kwanini mwaka 2005 wakati wa kampeni hakuwaambia watu ukweli kama atatumia miaka miwili kujifunza urais na hali alijua kuwa hana uwezo??... Na ataanguka sana kudhihirisha udhaifu wake.....
 
Nafikiri rais wetu ana matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri.

Nikirejea kauli zake mbalimbali ndani ya mwaka huu napata mashaka rais ni mgonjwa kwelikweli.

JK siku hizi ana kauli za ajabu ajabu. Fikiri mtu kaanguka then akizinduka anarudi kuhutubia watu, unafikiri ana kumbukumbu za kutosha kwa aliyokuwa anazungumza awali?

CCM ndio wenye matatizo, washauri kina Hiza, Makamba. Mnategemea nini?

Yasitokee ya Ya'radua wa Nigeria hapa Tz.

Kwanini tulazimishe mgonjwa uongozi.

Nashauri apunzike mwingine achukue nafasi yake. CCM inawatu wengi.
Tambwe hiza, skul of madrassatul,
Yusufu Makamba, skul of madrassatul,
tutegemee ushauri wa kitaalamu hapo kweli.............samahani lakini!!
 
kumbe haupo nchini???

blah blah blah
eti huyu naye anajiita great thinker, unafikiri watu wote walikuwa jangwani au kwako Tanzania nia Dar tu ukiwa Morogoro ni nje ya nchi. Nashauri siku JK akiwa anaenda kupimwa akili uongozane naye naona una matatizo makubwa kuliko hata yake.
 
Back
Top Bottom