Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,072
- 136,485
Come to think of it, sasa naona ni vyema ametolea nje mdahalo maana kama mambo yenyewe ndio haya sidhani kama angeweza kuhimili mashuti ya Slaa na Lipumba.....
nyumba zetu nyingi zina Tiles mbona hatudondoki kama Dr Slaa. Mgombea Urais atalalaje Guest house????????? maaana ya Guest house unaijua????????? Mwanza kuna Hotel kabao za hadhi ya Rais mtarajiwa
Halafu mbona maraisi wetu hawazeeki haraka wakiwa madarakani? Obama sasa hivi ukimwona keshaanza kuwa kibabu. Lakini hawa wa kwetu ndio kwanza wanazidi kuwiva. Hawafanyi kazi hawa....
.Tofautisha kuanguka kwa Slaa na Kikwete, huwezi kusema kuanguka kwa Kikwete ni bahati mbaya mara ngapi anashauriwa apumuzike hataki, tatizo la JK ni ugonjwa ambao unafichwa tofauti na kuanguka kwa Slaa huwezi kusema kuteleza kwa Slaa kulisababishwa na ugonjwa.
Afterall huwezi kutegemea kila siku Slaa ateleze bafuni na kuvunjika mkono lakini hii ya JK ya kuanguka unaweza ukapredict kutokana na record ya afya yake.
Hahaha hahaha mkuu u made my day, maraisi wetu ni kunenepa matumbo tu! Lakini hii kwa kweli ni kali and strange...................... Hata wakispin vipi bado voters watakonkludi jamaa nni mgonjwa tuj which is a fact.
Ebana eeh naona kuna surge ya wanachama wapya mwezi huu....
....aa mbona JF wanaisoma sana ...siummsikia Jk akichonga kuhusu mtandao[JF]....Akasema ..mtandaoni wanachonga sana lakini watanzania hawadanganyiki.....nadhani anajuwa kuwa watanzania wengi hawasomi...!!
Ipo siku huyu jamaa ataanguka akiwa kwenye zile roundtable/ panel discussions za Davos......nyi subirini tu
Au kufia (perish the thought) jukwaani kabisa....
mbona kuna mtu kaandika alilamba mchanga? Na wasaidizi hawakufanya kitu?.......tuelezeeni katika hali ya uwazi na ukweli.........!nilikuwa naangalia star tv,wakati tukio linatokea,kama binadam nilishtuka sana,rais alianguka lakini alidakwa na mpambe wake kabla hajafika chini.nilichokinotice tafauti ya 2005 na leo,viongozi wengi(kama sio wote)waliokuwa wamekaa jukwaa kuu hawakuonekana kupanic kama 2005,inaonekana wameshamjua na wameshalizoea hilo tatizo,kilichowatatiza ni jinsi ya kudili na wananchi ambao walionekana wamepigwa na butwaa.cha msingi kwa sasa ni mheshimiwa rais kuachana na pilikapilika za kisiasa na kupumzika na familia yake,sababu nilichokiona kwenye nyuso za viongozi kana dk.sheini,mkapa,makamba ni aibu.
Humu watu wanachangia kwa ushabiki. Ugonjwa ni jamabo la kawaida na inaweza kutokea muda wowote ule,hivyo isionekane kudondoka au kuishiwa nguvu kwa president ni jamabo la ajabu saana as if hamana watu amabao huwa wanadondoka.
Aisee, mimi nashauri wakati wa kuchangia-tuchangie kwa kutumia busara zaidi.Acheni matusi kwa viongozi, tunachotakiwa kufanya hapa ni kurekebisha. Mimi namuombea apone haraka aendelee na kampeni zake kama kawaida.
Humu watu wanachangia kwa ushabiki. Ugonjwa ni jamabo la kawaida na inaweza kutokea muda wowote ule,hivyo isionekane kudondoka au kuishiwa nguvu kwa president ni jamabo la ajabu saana as if hamana watu amabao huwa wanadondoka.
Changieni kwa kujenga zaidi. Angekuwa ni baba yako mzazi amedondoka ungechangiaje? Habari ya kuambiwa ugonjwa haituhusu-maana hata ukiambiwa utatoa msaada gani? Huu ni umbea wa kutaka kujua internal matters za watu.
He, jukwa la wakubwa ndiyo living room yake? Nitaanza na mimi kuvinjari huko.Oh yeah...na wala sitashangaa kama na yeye ni mwanachama humu na hupenda kuchangia hasa kwenye lile jukwaa la wakubwa....