Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Kazi ipo!! huo ni woga andthis time lazima tumtoe. dont Joke
Hakufika chini, aliweza kukabiliana na hali. si unajua ni mjeshi?
Rais ana majukumu mengi huwezi kumfananisha na mfunga saumu yoyote mahali popote. Ni sawa na kuuliza mbona binadamu wote tunaumwa na mbu lakini hatugui kwa pamoja.Unaweza kuumwa na mbu kumi na mwingine akaumwa na mbu wawili tu lakini wa mbu kumi asiugue malaria yule wa wawili akaugua.
mkuu hakuna mwenye kumtakia shari.......
swali ni kwanini ukweli hausemwi????????????!!!!!!!!!!
Tabia ya kutojua wapi kuwe na siasa wapi kuwe na ushauri wa kitaalamu kutamponza Jk. Jk anasahau kuwa mgomeba wa uraisi ni kubeba mizigo ya chama. Waliombebesha wengi wanataka aendelee kuibeba kwa faida yake na zaidi wao. Kama afya hairuhusu kwa nini asiwe mkweli akajipanga kulingana na uwezo wake kwa sasa? Nasubiri hotuba ya daktari wa raisi itakayotolewa. Tukicheza mpaka uchaguzi ufike tutapokea hotuba kibao za daktari wa rais
Wewe unajua maana ya rest in peace si lazima kuambiwa mtu aliyekufa usichukulie mazoea yakawa ndiyo kweli.yamkini ndani ya jamiiforums kuna washirikina wasio na utu kama Roza kusema Rest in peace (RIP) kwa Rais kabla hajafa hiyo ni dhambi huna dini?
Kuanguka sio yeye tu kumbuka Dr Slaa aliaguka majuzi bafuni Mwanza na kuvunjika mkono,ile ni ajali kama ajali nyingine
Pole Jk, sijui unatatizo gani jamani, mbona kila mara jangwani kwenye uzinduzi waanguka.
Tujadili kwa unyenyekevu kwani huyu ni rais wetu kwa sasa