macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,225
- 56,838
Binadamu wanatembea kimbele mbele wewe unarudi kinyuma nyuma
Binadamu wanatembea kimbele mbele wewe unarudi kinyuma nyuma
mara ya kwanza alianguka akiashiria kuwa hali ya maisha ya watanzania itaanguka vibaya mno!! Kama tulivyoona,,
anguko hili la pili shemu moja linaashiria kuwa kutakuwa na hali mbaya zaidi endapo watamchagua tena,
Dr. Slaa amemtumia pole na kumtakia afueni.
Kwa idhini ya ICHONDI
Source: JF: Uchaguzi Tanzania 2010: Thread: Kikwete aanguka ghafla Jangwani 😛ost no.190.
unaleta udini hapa. kila mtanzania na dini yake. acha kulinganisha vitu visivyofanana
Dr Slaa ni mstaarabu na ndio maana katuma salaam za pole lakini wafuasi wake hawajui kwamba kwa kushindwa kutoa pole kwa kikwete ni ishara ya vita. Kete hii sio ya ushindi.
039898]mara ya kwanza alianguka akiashiria kuwa hali ya maisha ya watanzania itaanguka vibaya mno!! kama tulivyoona,,
anguko hili la pili shemu moja linaashiria kuwa kutakuwa na hali mbaya zaidi endapo watamchagua tena,
Dr. Slaa amemtumia pole na kumtakia afueni.
niliomba mods wasimamishe new membrs for a week tuone mamboWelcome, leo JF itapata wageni wengi sana, Invisible vipi sever yetu iko imara.
Luiza Gama
Junior Member![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Join Date Sat Aug 2010
Posts 1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power 0
Tambwe hiza, skul of madrassatul,
Yusufu Makamba, skul of madrassatul,
tutegemee ushauri wa kitaalamu hapo kweli.............samahani lakini!!
Halafu wanajiita wana busara. Mwee!sijui huwa mnalipwa shilling ngapi,kuneutralize mambo hapa...?
JF kuanguka ni dhahiri,ana matunguri :becky::becky::becky::becky::becky: aibu!
usijihangaishe mie sio chadema wala ccm..:becky:😛layball:😛layball:
Ebana eeeh huyu jamaa si mzima huyu. Nimeona clip ya jinsi alivyoishiwa nguvu na kuanza kuanguka....something is seriously not right with him...
YouTube - down
Epusha mijadala ya kidini mara zote hakuna mshindi?