Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 751
- 3
Mkapa na u-obese wake wote ule sikuwahi kusikia kaangauka hata mara moja...labda awe alikuwa anaangukia ndani na habari hazitoki
Mkuu hata Mwinyi ambaye naamini pia alikuwa anafunga sana tu, sina taarifa kama aliwahi kuanguka. Nakumbuka pamoja na kuzabwa kibao na yule dogo, bado alikuwa imara tu na kuendelea na mitikasi kama kawa