Luiza Gama
Senior Member
- Aug 21, 2010
- 104
- 25
jamani mwenye hii clip airushe.....
sio jambo jema kuweka clip ya jangwani hapa kisha ukiiona itakusaidia nini? baba yao akikaa uchi na ikawekwa clip hapa utafurahi?
jamani mwenye hii clip airushe.....
au kuna jini pale...
Unataka kusema kina Makamba. mzee karume. mzee mwinyi, Balali na wengine woooooooooote hawajafunga? Hapa inabidi watu tuelezwe nini tatizo na Raisi wetu? Maana kuona Raisi anadondoka mpaka anashindwa malizia hotuba yake, ni hatari kwa nchi hii. Bila kuangalia siasa wala nini. Ukizungumzia Tanzania moja kwa moja unaongelea ofisi ya Raisi ambayo yeye ndio Kiongozi. Tanzania bila raisi haipo. Tutakuwa na vikabila vingi tuuu. Kwa hiyo swala sio kwamba Kikwete hapana, Bali Raisi wa nchi hii kuanguka anguka bila sababu ya maana kwa wananchi ni sooo.Inawezekana ikawa ni saumu kutokana na mazingira yaliyopo. Bila shaka tangu asubuhi alikuwa na kazi nzito za kichama katika kuhakikisha maandalizi yanaenda vizuri. Pole yake.
..maelezo yatakuwa Raisi alikuwa amezidiwa na swaumu.
..nadhani hii ni calculated move kutafuta kura za huruma za Waislamu.
..nashauri Slaa,Lipumba,..na wagombea wote wa Uraisi wajibwage kwenye majukwaa na kusingizia swaumu.
unalinganisha CHADEMA na CCM ambao bajeti yao ya ushindi tu tuliyopewa tuifungie mkanda ni bilioni 50????.sintashangaa kusikia mgombea wa upinzani analala guest au anakula gengeni ..serikali lazima iwape huduma nzuri maana wakipata madhara tutafanya uchaguzi wa marudio....mwaka 2005 walitumia karibu bilioni 150!!
Nilichokiona mimi ni alifikia hatua ya kukaa chini kabisa lakini hakulala,sababu jamaambona kuna mtu kaandika alilamba mchanga? Na wasaidizi hawakufanya kitu?.......tuelezeeni katika hali ya uwazi na ukweli.........!
Hakika kama angekuwa mtu wa kusoma nyakati angeanza kusoma wakati alipodondoka jangwani kipindi kile lakini kwa kuwa madara ka ya nchii hii mengi ni kupitia mapepo na waganga anakuwa amefichwa ufahamu ...bila kujua kuna waliomzidi kwenye mambo haya yanamkuta yaliomkuta leo ....huu ni ujumbe tu kwa walio karibu na rais msihangaike kwenda bagamoyo kutafuta mchawi wachawi ni nyie wenyewe tunaomba mumpeleke RAIS wetu akaombewe yamtoke hayo madumizi yanayomwangusha mara kwa mara kwa nini asianguke marekani kila siku yuko huko na mbele ya wazungu wenye akili zao akaangukie jangwani kuna nini
Mleteni ufufuo na uzima anaitaji toba ya kweli ili afunikwe na damu ya yesu aachwe kudanganywa na watu wanaompeleka peponi matokeo yake anakumbana na aibu hadharani
Dear Presida
Kwa upendo nilio nao kwako elekea kati ya hivi vituo vya deliverance
UFUFU O NA UZIMA
FULL GOSPEL CHURCH
KANISA LA MAMA RWAKATARE
EFATHA
VICTORY FAITH CHURCH
Na kanisa lolote lililo karibu na wewe uapate kusafishwa na DAMU ya YESU
Mungu akubariki presidaa una megi mbeleni mwako na wabaya wako na wewe nyuma yako we unaona marafiki zako
Wala si mtoto.inaonyesha wewe ulivyo na mawazo ya kitoto.Hata kupambanua lipi lakusema huwezi. Aibuuuuuhakuna kinachojulikana lakini nadhani ni mtoto mdogo hajakomaa hata 2005 mambo yalikuwa hivihivi
CCM totoroooooooooooooo na mgombea wakeNadhani sasa hivi anajua tu kwamba lazima mijamaa ya kule JF inammwagia sumu kali!.
Wakristo hawaugui wala hawafi?
sio jambo jema kuweka clip ya jangwani hapa kisha ukiiona itakusaidia nini? baba yao akikaa uchi na ikawekwa clip hapa utafurahi?
Mchawi ni wewe ndiyo maana unaweza kuwatambua wachawi wenzako.RIP JK,
Nadhani ndo ule utabiri wa Mchawi wao, Sheikh Yahaya.
hata wakiugua wanapona, na hata wasipo pona mungu wao huwatwaa,
na wakitwaliwa hawakamuliwi ngama lol!!
hana cha utu uzima we ndiyo unaona hivyo kuwa hawezi kujiangusha, mbona anapoimba taarabu hamsemi kuwa ni mtu mzima????Hebu wacheni unafiki jamani mtu mzima ajiangushe uwanjani kwa kutaka kura?
hata wakiugua wanapona, na hata wasipo pona Mungu wao huwatwaa,
na wakitwaliwa hawakamuliwi ngama lol!!
Kwani Mh. Kikwete alikaa uchi??!sio jambo jema kuweka clip ya jangwani hapa kisha ukiiona itakusaidia nini? baba yao akikaa uchi na ikawekwa clip hapa utafurahi?