Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #81
Huu uzi umekuwa mwiba mkali kwa magamba.....Baada ya kuona mbinu zao zimewekwa hadharani kila mtu anakuja kwa machale...
Wataumbuka sana mwaka huu, walipo nasi ndipo tulipo.