NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,861
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
 
naunga mkono hoja, ila mengi yanahitajika hili ni mojawapo.
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
 
Bro,tatizo la nchi hii ni hatuna ”tume huru ya uchaguzi”,tume ambayo mwenyekiti wake hawajibiki au hatokani kwa namna yoyote na utashi wa viongozi wa kisiasa.

Tutazunguka kote lakini point ya msingi ni kupata uhuru wa tume nje ya hapo uchaguzi hata wasimamie Masheikh na wachungaji still matokeo yatatengenezwa tu.
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Kwanza kilichowafanya wasikubali matokeo ya Rais kuhojiwa mahakamani wanakijua, na wanataka ibakie hivyo, Sasa ukitoa wazo la CCTV camera si ndio unawatia kidole machoni, watakubali? Chama kilichonufaika na wizi dawa yake ni nyundo (shinikizo kubwa la nguvu za Wananchi) kulazimisha mabadiliko, hiyo katiba mpya yenyewe wanalazimisha watu wapewe elimu ya miaka 3 ili lengo la wizi wa kura litimie kwanza!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Hii watakuwambia budget ni kubwa sana bora kutumia polisi🤣
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
mashetani kama CCM they will disable them!
 
Haitosaidia kama ITV ilirusha live box lenye kura fake likiingizwa kwa ulinzi wa police kisha ITV wakaomba radhi unadhani cctv cameras zitasaidia ikiwa dhamira si safi?
Na Makonda alionyeshwa na CCTV camera akivamia Clouds na bunduki, na hakuna kilichotokea, Waziri Nape akajaribu kuchukua hatua, akawekewa bastola mchan kweupe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watuletee rekodi kwanza CCTV za tukio la kupigwa risasi Lissu 2017.

Na kutwekwa kwa Mohamed Dewji hotelini 2018.

Ndio nitawaamini .
CCTV ya modewji si mbona iliwekwa wazi...

Hiyo ya Tundu Lissu nayo wahusika hawakuonwa kwa sura....

Lakini hii ya uchaguzi lazima uingie kwenye chumba ukiwa unaonekana, hivyo ni rahisi kumtambua mtu endapo akifanya ujinga.
 
Bro,tatizo la nchi hii ni hatuna ”tume huru ya uchaguzi”,tume ambayo mwenyekiti wake hawajibiki au hatokani kwa namna yoyote na utashi wa viongozi wa kisiasa.

Tutazunguka kote lakini point ya msingi ni kupata uhuru wa tume nje ya hapo uchaguzi hata wasimamie Masheikh na wachungaji still matokeo yatatengenezwa tu.
Teknolojia nayo ikitumika vizuri, inakuwa suluhisho... Mfano makazini wanaweka mfumo wa kusaini umeingia kazini kwa fingerprint inakuwa ni ngumu mtu kufoji, lakini waliokuwa wanasaini kwenye makaratasi wengi walikuwa wanafoji na kuandika kafika mapema kumbe kachelewa.

Teknolojia siku zote ni mwarubaini wa makosa yanayofanywa kianalojia
 
Haitosaidia kama ITV ilirusha live box lenye kura fake likiingizwa kwa ulinzi wa police kisha ITV wakaomba radhi unadhani cctv cameras zitasaidia ikiwa dhamira si safi?
Sasa kumbuka hizi CCTV ni zinatizamwa na wasimamizi wa Chadema na wa vyama vingine kipindi mchakato wa kura unaendelea... Kunakuwa na watu wa kila chama wakiwa maalumu kwa ajili ya kukaa kwenye vyumba vya CCTV kutizama mchakato mzima... Endapo ikitokea dosari wanashughulika nayo hapo hapo huku wanatumia CCTV footage kama evidence.

Ni tofauti na TV ikionesha tukio, maana wanaweza kuambiwa wametunga au kutengeneza video, au chochote hili kujitetea.... Kumbuka CCTV inarekodi muda, tarehe na eneo husika
 
Na Makonda alionyeshwa na CCTV camera akivamia Clouds na bunduki, na hakuna kilichotokea, Waziri Nape akajaribu kuchukua hatua, akawekewa bastola mchan kweupe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huu ni uchaguzi ni tofauti na kesi ya Makonda na Clouds....

Kwenye uchaguzi kisheria Kiongozi haruhusiwi kukaa eneo la kupigia kura, anaruhusiwa kupiga Kura na kuondoka.... Uwezi kuleta pigo za Makonda kwenye kituo cha kupigia kura unless unataka wananchi wakuvae. Uchaguzi ni swala la wananchi, Clouds ni swala Binafsi la wao kwa wao
 
Back
Top Bottom