Good msoka
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 198
- 23
Shardcole twiga atasisi tunawataka
Practically hiyo njia haiwezekani hata kidogo. Yericko Nyerere acha uzushi na umbea mtoto wa kiume.
Mawakala tulioko hapa Kalenga tuna uzoefu mkubwa sana, hata janja yao ya kutaka kusababisha vurugu wakati zoezi la kupiga kura linaendelea tumeshabaini na tuko tayari kudhibiti hali chafu yoyote. Tunamaanisha hivyo, na tumejipanga vilivyo..
Khaa!! Kila siku inavyopita ndivyo Yericko ulevi unamzidi. Siku si haba atakuwa teja
Kabla sijafungua huu uzi Nilijua tu mleta uzi ni yuleyule mtunga hekaya wa cdm aliyetukuka kwa uwongo,
Chadema huwa wanaiba kura arusha na kwingineko kote wanakoshinda..kama uchaguzi ni kuiba kura..tafsiri ninayoipata..
Kuna kitu cha kijinga na upumbavu ambacho CCM wanashindwa kukifanya Tanzania?
wee utakuwa mgeni wa nchi hii!
Mimi nalaumiwa kwa lipi kijana? Ilaumu ccm kwa mbinu yao ya kijinga
umbea ndio unaomuweka mjini
Nakulaumu kwa kuleta uzushi hapa ambao hata mtoto mdogo anajua kabisa huwezi ficha karatasi za kura mfukoni halafu ukaingia nazo kituo cha kupigia kura na zote ukazitumbukiza kwenye sanduku la kura bila kukamatwa.