Kijana tafuta pesa upate mapenzi ya kweli

Kijana tafuta pesa upate mapenzi ya kweli

Ukiishiwa pesa tunamdaka tunamtia muhogo kibabe afu tunatoroka tunapotelea gizani
Hela isivyo na adabu kuna mda inakataga ghafla sasa ndio hapo utajua hujui maana malaya anataka bill ziendelee kulipwa vile vile kama wakati una hela!

Kuna mwamba mmoja yuko Mbeya hapo alioa kwa mbwembwe mtoto mmoja wa kidaslam akaenda naye Mbeya kuishi. Alikuwa anapiga kazi hotel moja ya hadhi ya kitalii hapo jijini basi show za dollar 100/200/300 zikawa hazimpigi chenga!

Malaya kapagawa na ma Vacation ilikuwa apelekwe marekani na ndugu zake si akawakataa anataka kuolewa haelewi anamuona mwamba Ginimbi 😅😅😅 mabalaa yakaanzia jamaa hakumaliza miezi 6 si akapigwa chini pale kitengo!

Kilichoendelea mzee hebu wacha niweke simu chaji ntamalizia baadae....
 
Pesa haichoshi bwana
Huna ndio maana unasema haichoshi walioizoea ndio hao mnawaonaga hawana mbwembwe 😅😅😅 ila nina hakika ukikamata mzunguko wa ghafla 100M plus kila mwezi vituko utavyofanya lazma tutastaajabu!

Pengine hata huyo baba naniliu ukawa umetengana nae ndani ya muda wa miezi 6 tu! Sababu utaona anakubana bana.
 
Kupata mwanamke kila ukitaka sio lazima uwe na pesa! Siasa tu inaweza kukupa madem tani yako uwe tu na ujanja wa kuwa treat vizuri kihisia!
Amini nakwambia kuna vijana wanateseka na mapenzi dem gani utampata kwa siasa now days yani avue chup bila hela
 
Amini nakwambia kuna vijana wanateseka na mapenzi dem gani utampata kwa siasa now days yani avue chup bila hela
Hao mnaohangaika nao ni malaya mkuu! Malaya ametumia gharama kujiremba huwezi mtia bure mzee ila wanawake wapo mbona mzee!

Tunaishi nao vyema tu, we wanawake kama unawaokotea Tipsy au Samaki samaki pande zile ni madanguro yaliochangamka endelea kugawa hela tu kaka. Maofisini tu mbali mbali mademu wapo unaokota namba zao na unapiga sound na kuwala freshi tu mbona! Masokoni, supermarket, vituo vya daladala, mabenki wanawake wapo wengi sana mkuu!

Ukitaka wanawake wa shortcut bila kutumia akili unawavizia hao wa kumbi za starehe unawahonga bia unaenda kuwala! Ukiwa real hutumii gharama ila ukitaka kuvimba unapigwa hela vizuri tu mbona 😅😅😅
 
Huna ndio maana unasema haichoshi walioizoea ndio hao mnawaonaga hawana mbwembwe [emoji28][emoji28][emoji28] ila nina hakika ukikamata mzunguko wa ghafla 100M plus kila mwezi vituko utavyofanya lazma tutastaajabu!

Pengine hata huyo baba naniliu ukawa umetengana nae ndani ya muda wa miezi 6 tu! Sababu utaona anakubana bana.
Hapa naona ni lugha gongana mkuu, uwe na jioni njema
 
kwani biligeti hana hela?![emoji28][emoji28]
na yule tajiri wa mtandao mkubwa kuuza na kukua bidhaa mtandaoni hana hela?[emoji28][emoji28]
.
for me pesa sio mapenzi...
.
nilichogundua wanaume wenge hawajui kuishi na wanawake na ndio maan wanaume wengi wanaburuzwa kwenye mahusiano yao...
una uhakika wanawake zao ndio walioamua kuwaacha na sio wanaume kuamua kuachana na wake zao
 
Kunywa Pepsi Big! You are well experienced bila shaka,,, kuna watu wanaishi kwa assumptions halafu kuna watu wanaishi na real situations. Wangapi wamewapa mahela wanawake na still wametombewa halafu mtu anasema mwanamke umpe hela tu upate real love ni uwakii!

Treating a woman well does assure love more that dime dependency syndrome! Unaweza usimpe hela ila ukampa treatment akakupenda vibaya mno na akakimbia anakopewa hela for impression. Thats where thugs win the game!
Am this kind of woman mpaka na utu uzima wangu usipo nipa treatment nzuri usitegemee nikae nawewe eti una pesa! NEVER.
 
"msema kweri mpenzi wa Mungu"
Mapenzi na pesa ni vitu pacha ni sawa kabisa maana mapenzi unaweza kununua ila upendo huwezi kununua ni kitu natural pesa siyo kigezo. Upendo ni gift from God thamani yake ni kubwa kuliko chochote .Usichanganye Upendo na Mapenzi ni vitu tofauti sana sana , Upendo msingi wake ni Mungu mwenyewe, Mapenzi msingi wake ni nipe nikupe yananunulika kama bidhaa ndiyo maana yana soko ukitaka unakwenda sokoni kununua kunaitwa kufanya mapenzi au ngono
 
Mapenzi na pesa ni vitu pacha ni sawa kabisa maana mapenzi unaweza kununua ila upendo huwezi kununua ni kitu natural pesa siyo kigezo. Upendo ni gift from God thamani yake ni kubwa kuliko chochote .Usichanganye Upendo na Mapenzi ni vitu tofauti sana sana , Upendo msingi wake ni Mungu mwenyewe, Mapenzi msingi wake ni nipe nikupe yananunulika kama bidhaa ndiyo maana yana soko ukitaka unakwenda sokoni kununua kunaitwa kufanya mapenzi au ngono
Unachozungumzia ni ngono zembe (sex) ila unaiita mapenzi, stop icing that eiishhh sema tu ngono inanunulika and it has a bare price tag!

Upendo uko natural yeah...can’t buy that ila kwa kuwa sex is cheap and the main deal katika mazingira ya kingono people choose to call it love! Watu wanachanganya sex na upendo kwa kuwa upendo ndio ufunguo wa mahusiano 😅😅😅

Sahizi hii impression inajulikana wazi ukisema unampenda mwanamke anaelewa you wanna get into her pants ilihali humaanishi usemacho. Na wao wameona thats the easy way to get into a mans pocket sababu anachokitaka ni kusaini daftari la mahudhurio tu kisha apite na mia 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom