Kevzy
JF-Expert Member
- May 23, 2026
- 720
- 1,167
Hbari
Sio mishangazi, , Kuna Ile unakuwa na mahusiano na mwanamke wa makamo Yako then ikatokea ukamuazima pesa alishawahi kukupa laki na kuendelea je hakukudai hiyo pesa au ajakusimanga Kwa namna yeyote Ile
Au rafiki Yako wa kike ameshawahi kukusave swala la pesa laki na kuendelea, kukusaidia tu na hajawahi hata kuiongelea kwamba aliwahi kukupa pesa
Kwa sisi wanaume ni kawaida sana unakuta ke hata sio rafiki Yako au hata sio mpenzi wako , akakuomba pesa na ukamsaidia na usisimulie popote palee, na hata haumtaki useme Nampa labda Kuna siku nimtongoze hapana.
Kwa Nini? Wanawake na pesa ni baba mmoja mama mmoja , hata ikitokea akakupa pesa na ni ndogo kiasi Gani! Ipo siku atakukumbushia tu ni kwann? Au ndio wameumbwa kupokea tu na sio kutoa
Na miaka hii wanatunzana kwenye mashughuli Sasa nasikia akutunze alaf na yeye akapata shughuli haujaenda kumtunza nasikia anakuja kudai vitu vyake, yaani wao hawakubali kutoa tu bila kupokea , hii ni mbaya
Sio mishangazi, , Kuna Ile unakuwa na mahusiano na mwanamke wa makamo Yako then ikatokea ukamuazima pesa alishawahi kukupa laki na kuendelea je hakukudai hiyo pesa au ajakusimanga Kwa namna yeyote Ile
Au rafiki Yako wa kike ameshawahi kukusave swala la pesa laki na kuendelea, kukusaidia tu na hajawahi hata kuiongelea kwamba aliwahi kukupa pesa
Kwa sisi wanaume ni kawaida sana unakuta ke hata sio rafiki Yako au hata sio mpenzi wako , akakuomba pesa na ukamsaidia na usisimulie popote palee, na hata haumtaki useme Nampa labda Kuna siku nimtongoze hapana.
Kwa Nini? Wanawake na pesa ni baba mmoja mama mmoja , hata ikitokea akakupa pesa na ni ndogo kiasi Gani! Ipo siku atakukumbushia tu ni kwann? Au ndio wameumbwa kupokea tu na sio kutoa
Na miaka hii wanatunzana kwenye mashughuli Sasa nasikia akutunze alaf na yeye akapata shughuli haujaenda kumtunza nasikia anakuja kudai vitu vyake, yaani wao hawakubali kutoa tu bila kupokea , hii ni mbaya