mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
Nampa pole sana kijana huyo najua hakipendi chama bali njaa ndiyo iliyomsababishia kuwabandikia matangazo, haya yote wa kulaumiwa ni Rostam, na kama anampigia kampeni mgombea wa SISIEMU basi akishinda ajiandae kutumiwa na Rostam kusolidify gamba lake na kuwa SEDIMENTARY ROCK