Kijaluo ni lugha moja nzuri sana

Kijaluo ni lugha moja nzuri sana

Sio wote lakini, Mimi nimesoma Sota Primary hapo Shirati, na tulikuwa tunaoga ziwani, wengi siku hizi wame tahiriwa.
kadri muda unavyokwenda watu hubadilika,angalia wakati ule wa jaramogi odinga na sasa mambo yamebadilika
 
kadri muda unavyokwenda watu hubadilika,angalia wakati ule wa jaramogi odinga na sasa mambo yamebadilika
Lakini hii ilikuwa zamani sana nilipokuwa shirati sio juzi ndio maana nikasema hivyo.

Enzi za kina mwalimu Dibogo hapo Sota, tulikuwa tunaogelea darajani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom