Kiswahili ni lugha yenye vikwazo sana

Kiswahili ni lugha yenye vikwazo sana

Chigurh

Member
Joined
Apr 2, 2025
Posts
23
Reaction score
86
Najua wengi wenu hapa ni wazalendo hivyo itakua ngumu kwenu kukubali hili ntakalosema.

Kiswahili ni lugha limiting sana. Ndio, katika maisha yakawaida ya kila siku, haina shida. Leta maji, leta kikombe, nenda pale, nipe hiyo. Hapo hakuna shida, na ni vizuri nchi nzima inaongea kwa kiswahili.

ila ikija kwenye mambo ya ki-intellectual, hakuna kitu. Kila nnapojaribu kuandika mada ya maana ya kiakili kwa kutumia kiswahili, napata shida. Maneno hakuna. Tofautisha na lugha kama English ambayo ina maneno ya kuelezea chochote kile kwa kutumia maneno ambayo yanafahamika na kutumika katika maisha ya kawaida.

Huwezi ukafundisha sayansi, computer, au topic yoyote ya maana kwa kiswahili. Hata utafsiri kila kitu.

Naamini hii imechangia sana kwa Tanzania kua nyuma katika mambo ya kielimu, teknolojia, na sayansi. Angalia majirani zetu Kenya. English wanajua kwa ufasaha zaidi. Na kweli ukiangalia, wakenya wengi wapo nje katika vyuo vya maana, taasisisi za maana, profession za maana, na wanashinda tuzo mbali mbali za kielimu, teknolojia, na sayansi. Hata innovation pia wako mstari wa mbele. Ukienda wall street, utakuta wakenya.

Sasa sisi tumebaki hapa tunasema kiswahili ni uzalendo. Ni lugha nzuri kweli sikatai, ila intellectual value yake ni almost zero.

Hii post yenyewe imenitumia muda kuandika nikisaka maneno. Na mimi ni mtanzania asili, sasa sijui wakuhamia itakuaje.

Ukitaka ujue, angalia viongozi wetu, ma manager, na watu mbali mbali wanaoheshimika. Wakihutubia kwa kiswahili, wanazunguka mbuyu, wanasaka maneno ya kuelezea jambo ambalo kwa lugha nyingine, sentensi moja ingetoshea. Na mwisho wa siku, hua hawafanikiwi.

kwa wale walioelimika na wenye akili pana. Hebu jaribu kutafsiri topic ya sayansi, teknolojia, au philosophy kwa ajili ya ufundishaji, uone uzito wake.
 
Nakushauri usome ujumbe wako kwa makini halafu uamue kama bado unafaa. Umeanza kwa kutaka kujenga hypothesis lakini ukaiharibu kwa kutoa jibu.
 
Huwezi ukafundisha sayansi, computer, au topic yoyote ya maana kwa kiswahili. Hata utafsiri kila kitu.
Huu ugumu unasababishwa na serikali kushindwa kurasimisha kiswahili kama lugha ya kufundisha ila haimaanishi hakuna maneno hayo.

Kila kitu kina wataalamu wake, haiwezekani ukaamka tu unataka kufundisha sayansi kwa kiswahili bila wewe kujua lugha ya kufundisha sayansi au computer

Kumbuka lugha ya kawaida ya kuongea ni tofauti na lugha ya taaluma fulani na hii ni hata katika kiingereza chenyewe mfano ukisema 'superwoman' katika lugha ya kawaida ni mwanamke shupavu lakini kwenye medical field ni mwanamke mwenye extra x chromosome ambazo zinaleta changamoto kwenye uzazi wake.
Au ukisema link kwenye Internet mtu anajua atakutana na https nk lakini link kwenye mechanic ni kifaa fulani chini ya gari kwenye tairi huko kwahio usichanganye mambo.

Kama unataka kufundisha somo mahsusi kwa Kiswahili tafuta maarifa kwanza na ukiweza wasiliana na BAKITA au BAKIZA au tumia kamusi.

Kiswahili ni tajiri sana labda wewe tu huna istilahi za kutosha kwahio ulizia kwanza kwa mfano kwenye computer:
Computer-Tarakilishi
Keybord-baobonye au charazio
Password-Nywila
Browse-Rambaza
Softcopy-nakala tepe
Link-kiunganishi
Screen-kiwambo
Mouse-Kiteuzi/kipanya
CPU-Kitengo kikuu cha uchakataji(KIU)au Kichakati
Cursor-kishale elekezi

Kwenye simu:
Sms-Arafa

Missed call- simu fifi
Nk.




Maneno hakuna
Maneno yapo, misamiati ipo istilahi zipo pia tafuta au uliza.

Subalaheri.
 
kwangu hauna tofauti na mtoto aliyeshindwa maisha na kumlaumu baba yake kwa kila kitu, i mean, kwa nini utafsiri kila kitu? kwa taarifa yako tu >60% ya maneno ya hicho kiingereza unachokisifia siyo ya kiingereza bali ya ni kifaransa, sasa mbona wao english people hawakutafsiri kila kitu bali waliyachukua maneno ya kifaransa kama yalivyo na kuyatumia? ...
 
English ingewekwa tu kuwa lugha ya taifa sema tumesha chelewa sana.
Kwenye hizi fursa za kimataifa watanzania tuna dhalilika sana. Uwezo upo lakini lugha inakuwa kikwazo.
Mbaya zaidi ni kenya tu ndio tunaweza kujumuika nayo mataifa yote Africa yaliyobaki Hawajui kabisa kuongea kiswahili.
 
kwangu hauna tofauti na mtoto aliyeshindwa maisha na kumlaumu baba yake kwa kila kitu, i mean, kwa nini utafsiri kila kitu? kwa taarifa yako tu >60% ya maneno ya hicho kiingereza unachokisifia siyo ya kiingereza bali ya ni kifaransa, sasa mbona wao english people hawakutafsiri kila kitu bali waliyachukua maneno ya kifaransa kama yalivyo na kuyatumia? ...
Jamaa anarahisisha sana mambo, humohumo ndani kwake kuna vitu vingi tu anaweza akawa hajui kwa kiswahili
 
Najua wengi wenu hapa ni wazalendo hivyo itakua ngumu kwenu kukubali hili ntakalosema.

Kiswahili ni lugha limiting sana. Ndio, katika maisha yakawaida ya kila siku, haina shida. Leta maji, leta kikombe, nenda pale, nipe hiyo. Hapo hakuna shida, na ni vizuri nchi nzima inaongea kwa kiswahili.

ila ikija kwenye mambo ya ki-intellectual, hakuna kitu. Kila nnapojaribu kuandika mada ya maana ya kiakili kwa kutumia kiswahili, napata shida. Maneno hakuna. Tofautisha na lugha kama English ambayo ina maneno ya kuelezea chochote kile kwa kutumia maneno ambayo yanafahamika na kutumika katika maisha ya kawaida.

Huwezi ukafundisha sayansi, computer, au topic yoyote ya maana kwa kiswahili. Hata utafsiri kila kitu.

Naamini hii imechangia sana kwa Tanzania kua nyuma katika mambo ya kielimu, teknolojia, na sayansi. Angalia majirani zetu Kenya. English wanajua kwa ufasaha zaidi. Na kweli ukiangalia, wakenya wengi wapo nje katika vyuo vya maana, taasisisi za maana, profession za maana, na wanashinda tuzo mbali mbali za kielimu, teknolojia, na sayansi. Hata innovation pia wako mstari wa mbele. Ukienda wall street, utakuta wakenya.

Sasa sisi tumebaki hapa tunasema kiswahili ni uzalendo. Ni lugha nzuri kweli sikatai, ila intellectual value yake ni almost zero.

Hii post yenyewe imenitumia muda kuandika nikisaka maneno. Na mimi ni mtanzania asili, sasa sijui wakuhamia itakuaje.

Ukitaka ujue, angalia viongozi wetu, ma manager, na watu mbali mbali wanaoheshimika. Wakihutubia kwa kiswahili, wanazunguka mbuyu, wanasaka maneno ya kuelezea jambo ambalo kwa lugha nyingine, sentensi moja ingetoshea. Na mwisho wa siku, hua hawafanikiwi.

kwa wale walioelimika na wenye akili pana. Hebu jaribu kutafsiri topic ya sayansi, teknolojia, au philosophy kwa ajili ya ufundishaji, uone uzito wake.
Uko sahihi wala hujakosea. Kiswahili ni lugha ya porojo nyingi.
 
Huu ugumu unasababishwa na serikali kushindwa kurasimisha kiswahili kama lugha ya kufundisha ila haimaanishi hakuna maneno hayo.

Kila kitu kina wataalamu wake, haiwezekani ukaamka tu unataka kufundisha sayansi kwa kiswahili bila wewe kujua lugha ya kufundisha sayansi au computer

Kumbuka lugha ya kawaida ya kuongea ni tofauti na lugha ya taaluma fulani na hii ni hata katika kiingereza chenyewe mfano ukisema 'superwoman' katika lugha ya kawaida ni mwanamke shupavu lakini kwenye medical field ni mwanamke mwenye extra x chromosome ambazo zinaleta changamoto kwenye uzazi wake.
Au ukisema link kwenye Internet mtu anajua atakutana na https nk lakini link kwenye mechanic ni kifaa fulani chini ya gari kwenye tairi huko kwahio usichanganye mambo.

Kama unataka kufundisha somo mahsusi kwa Kiswahili tafuta maarifa kwanza na ukiweza wasiliana na BAKITA au BAKIZA au tumia kamusi.

Kiswahili ni tajiri sana labda wewe tu huna istilahi za kutosha kwahio ulizia kwanza kwa mfano kwenye computer:
Computer-Tarakilishi
Keybord-baobonye au charazio
Password-Nywila
Browse-Rambaza
Softcopy-nakala tepe
Link-kiunganishi
Screen-kiwambo
Mouse-Kiteuzi/kipanya
CPU-Kitengo kikuu cha uchakataji(KIU)au Kichakati
Cursor-kishale elekezi

Kwenye simu:
Sms-Arafa

Missed call- simu fifi
Nk.





Maneno yapo, misamiati ipo istilahi zipo pia tafuta au uliza.

Subalaheri.
Nimekuelewa unachosema. Hata mimi nafahamu haya maneno yapo, ni kwamba tu siyajui.

ila wewe kitu unashindwa kuelewa ni kwamba, haya maneno hayafahamiki karibu na kila mtu. Ndo maana nkasema, English ina advantage ya kwamba, maneno technical na complex, yako integrated katika lugha ya kila siku.

wewe ni wangapi tanzania hii utawaambia "kitengo kikuu cha uchakataji" au "kiwambo", alafu wakakuelewa? Hapo ndo failure ilipo. Maana point ya language ni kuwasiliana na watu wengi, sio mmoja au wawilli, inabidi kila mtu akuelewe.

Alafu angalia sasa, ikija kwenye fursa za nje, ambapo sayansi, teknolojia, na elimu ndo wanaongoza, kiswahili hakitumiki. Na ndo nkakupa mfano wa wakenya ambao wengi huenda nje na kuadapt kirahisi kutokana na lugha, na pia hua wanachangia kwa kiasi kikubwa. Tofautisha na watanzania, ni mmoja mmoja sana.

hata ukafahamu perfect swahili ukawa na neno la kila kitu. Ni wangapi watakuelewa hapa hapa Tanzania? je Huko nje ambapo mitambo halisi ndo ipo?

Hio ndo intellectual failure ya lugha.
 
English ingewekwa tu kuwa lugha ya taifa sema tumesha chelewa sana.
Kwenye hizi fursa za kimataifa watanzania tuna dhalilika sana. Uwezo upo lakini lugha inakuwa kikwazo.
Mbaya zaidi ni kenya tu ndio tunaweza kujumuika nayo mataifa yote Africa yaliyobaki Hawajui kabisa kuongea kiswahili.
Ni kituko, hua tunachekwa sana, na achievements huko nje ni za kuhesabu na mkono mmoja
 
Huu ugumu unasababishwa na serikali kushindwa kurasimisha kiswahili kama lugha ya kufundisha ila haimaanishi hakuna maneno hayo.

Kila kitu kina wataalamu wake, haiwezekani ukaamka tu unataka kufundisha sayansi kwa kiswahili bila wewe kujua lugha ya kufundisha sayansi au computer

Kumbuka lugha ya kawaida ya kuongea ni tofauti na lugha ya taaluma fulani na hii ni hata katika kiingereza chenyewe mfano ukisema 'superwoman' katika lugha ya kawaida ni mwanamke shupavu lakini kwenye medical field ni mwanamke mwenye extra x chromosome ambazo zinaleta changamoto kwenye uzazi wake.
Au ukisema link kwenye Internet mtu anajua atakutana na https nk lakini link kwenye mechanic ni kifaa fulani chini ya gari kwenye tairi huko kwahio usichanganye mambo.

Kama unataka kufundisha somo mahsusi kwa Kiswahili tafuta maarifa kwanza na ukiweza wasiliana na BAKITA au BAKIZA au tumia kamusi.

Kiswahili ni tajiri sana labda wewe tu huna istilahi za kutosha kwahio ulizia kwanza kwa mfano kwenye computer:
Computer-Tarakilishi
Keybord-baobonye au charazio
Password-Nywila
Browse-Rambaza
Softcopy-nakala tepe
Link-kiunganishi
Screen-kiwambo
Mouse-Kiteuzi/kipanya
CPU-Kitengo kikuu cha uchakataji(KIU)au Kichakati
Cursor-kishale elekezi

Kwenye simu:
Sms-Arafa

Missed call- simu fifi
Nk.





Maneno yapo, misamiati ipo istilahi zipo pia tafuta au uliza.

Subalaheri.
Mzee kwa stahili hii bora kuendelea na kiingereza tu.Kwa nini tusitengeneze au kutohoa maneno kutoka English yakawa tu kiswahili mfano badala ya kusema Nywila kwa nini tusiseme tu PASIWADI....
Hayo maneno yanakuwa magumu bora kutumia English tu sasa
 
Na hii ndiyo shida ya wabongo, yaani kitu akishindwa yeye tayari kitu hicho hakifai

Uandishi wako tu unaonesha jinsi ulivyo mtupu katika lugha hata umeleta maneno zunguka mbuyu kwenye sehemu pasipo mahala pake

Guy, endelea kukokotoa mahesabu tu lugha siyo comb. yako!!!
 
Najua wengi wenu hapa ni wazalendo hivyo itakua ngumu kwenu kukubali hili ntakalosema.

Kiswahili ni lugha limiting sana. Ndio, katika maisha yakawaida ya kila siku, haina shida. Leta maji, leta kikombe, nenda pale, nipe hiyo. Hapo hakuna shida, na ni vizuri nchi nzima inaongea kwa kiswahili.

ila ikija kwenye mambo ya ki-intellectual, hakuna kitu. Kila nnapojaribu kuandika mada ya maana ya kiakili kwa kutumia kiswahili, napata shida. Maneno hakuna. Tofautisha na lugha kama English ambayo ina maneno ya kuelezea chochote kile kwa kutumia maneno ambayo yanafahamika na kutumika katika maisha ya kawaida.

Huwezi ukafundisha sayansi, computer, au topic yoyote ya maana kwa kiswahili. Hata utafsiri kila kitu.

Naamini hii imechangia sana kwa Tanzania kua nyuma katika mambo ya kielimu, teknolojia, na sayansi. Angalia majirani zetu Kenya. English wanajua kwa ufasaha zaidi. Na kweli ukiangalia, wakenya wengi wapo nje katika vyuo vya maana, taasisisi za maana, profession za maana, na wanashinda tuzo mbali mbali za kielimu, teknolojia, na sayansi. Hata innovation pia wako mstari wa mbele. Ukienda wall street, utakuta wakenya.

Sasa sisi tumebaki hapa tunasema kiswahili ni uzalendo. Ni lugha nzuri kweli sikatai, ila intellectual value yake ni almost zero.

Hii post yenyewe imenitumia muda kuandika nikisaka maneno. Na mimi ni mtanzania asili, sasa sijui wakuhamia itakuaje.

Ukitaka ujue, angalia viongozi wetu, ma manager, na watu mbali mbali wanaoheshimika. Wakihutubia kwa kiswahili, wanazunguka mbuyu, wanasaka maneno ya kuelezea jambo ambalo kwa lugha nyingine, sentensi moja ingetoshea. Na mwisho wa siku, hua hawafanikiwi.

kwa wale walioelimika na wenye akili pana. Hebu jaribu kutafsiri topic ya sayansi, teknolojia, au philosophy kwa ajili ya ufundishaji, uone uzito wake.
Kiswahili ni lugha tamu sana, bado tafsiri za maneno kutoka lugha za kigeni zinaongezwa kila wakati, nina uhakika utafika wakati itakuwa imeshajitosheleza
 
Mzee kwa stahili hii bora kuendelea na kiingereza tu.Kwa nini tusitengeneze au kutohoa maneno kutoka English yakawa tu kiswahili mfano badala ya kusema Nywila kwa nini tusiseme tu PASIWADI....
Hayo maneno yanakuwa magumu bora kutumia English tu sasa
Hayana ugumu ni sisi fikra zetu tu, mbona lugha za makabila yetu tunaongea vizuri tu, ni kuamua tu
 
Back
Top Bottom