Gurugurumee
JF-Expert Member
- Apr 4, 2024
- 701
- 1,232
Utofauti upo mzee kuna maneno ya 254 ambayo huku 255 hayapo na huwezi kuyakuta, pia hata ongea ya 255 ni tofauti sana na 254Ukweli hakuna,maana lugha ni ile ile,utamaduni ni uleule
Utofauti upo mzee kuna maneno ya 254 ambayo huku 255 hayapo na huwezi kuyakuta, pia hata ongea ya 255 ni tofauti sana na 254Ukweli hakuna,maana lugha ni ile ile,utamaduni ni uleule
Ni watam haswaa sijui ni kwa sababu ya ule weusi wao
wakenya ubaguzi wa makabila ni mkubwa mno,hivyo wanabaguana kwa misingi ya makabila.Kwa upande wa wajaluo wana muingiliano mkubwa na wakisii,hii ni kwa wajaluo wote,wa kenya na watanzania mfano israh patric mwenda,ni mcheza mpira wa yanga,baba yake ni chotara wa kijaluo na kikisii,anaitwa osoro patric nyawangahVipi kwenye suala la umoja na makabila mengine?
Utofauti katika nn! Matamshi, sura, kuandamana au?Ukweli hakuna,maana lugha ni ile ile,utamaduni ni uleule
Ni kweli lakini sio O tu na AWajaluo ndio kabila kubwa kuliko yote Africa likiwa zaidi ya nchi kumi Africa.
Wajaluo wapo Kenya, Sudan, Ethiopia, Tanzania, congo Ituri, central Africa, Chad, Cameroon na Nigeria wa Igbo wakina Ogaa utambulisho wao ni herufi O
ni kweli omera nilikosea ilibidi niseme an,erokamanoHapo unajisemea wewe kwamba "wewe hujui " kwhy sentensi ilitakiwa iwe hivi "an akang'eyo " ,....okang'eyo ni unamsemea mtu mwingine kwamba hajui
Namkumbuka demu wangu wa kijaluo scola nilikuwa napenda anavyolia kwa kiluhga chao gari linapochanganyaWanajituma kkitandani
Pia ni walaini wakiwa kitandani so unafanya kwa uhuru na kujimwambafy
Lakini pia wanaejoy sex sanaa thus wanakupa ushirikiano
O kwa wanaume na A kwa wanawakeNi kweli lakini sio O tu na A
Erokamano ainyani kweli omera nilikosea ilibidi niseme an,erokamano
Na hayo majina yana maana zakeO kwa wanaume na A kwa wanawake
Onyango ..... Anyango
Otieno......... Atieno
Okinyi........Akinyi
Ouma...... Auma
Odhiambo........Adhiambo
MachiegniErokamano ainya
ng'ina dhako ma jaluo kuro man gi sianda dongoMachiegni
nyuka ni uji wa kijaluo,ni mzuri sanaNajua neno Nyuka tu
Lugha nzuri sana ni kisukumaKatika lugha za kiafrika,kijaluo ni lugha moja nzuri sana na naipenda sana.
Nilianza kuifahamu lugha hii nikiwa na miaka 20 na kwa kudra za Mungu,nilipata mtoto na dada mmoja anaitwa akinyi wa ahero nyakach.Nimejifunza sana lugha hiyo,historia yake na nyimbo zake.
Kuna mwaka mmoja nilienda shirati ili kupata historia ya daniel owino misiani,peter ondielo,jumaa sammy na ochimbo ja yong'o.D.O misiani alitoa santuri moja inaitwa olik tiga,aisee acha tu.Ochimbooooooooooo,ochimbo ja yong'😵riti yawaaa
ha ha ha omera oseketoreng'ina dhako ma jaluo kuro man gi sianda dongo
Wajaluo ndio kabila kubwa kuliko yote Africa likiwa zaidi ya nchi kumi Africa.
Wajaluo wapo Kenya, Sudan, Ethiopia, Tanzania, congo Ituri, central Africa, Chad, Cameroon na Nigeria wa Igbo wakina Ogaa utambulisho wao ni herufi O
Hakuna lugha ya Kichagga.Najua chache,kisukuma,kinyamwezi,kichagga na kidogo kimasai
Ang'o ma oketore omeraa, ng'i na dhako no i ol na namba omeraha ha ha omera oseketore