Kijaluo ni lugha moja nzuri sana

Kijaluo ni lugha moja nzuri sana

Katika lugha za kiafrika,kijaluo ni lugha moja nzuri sana na naipenda sana.

Nilianza kuifahamu lugha hii nikiwa na miaka 20 na kwa kudra za Mungu,nilipata mtoto na dada mmoja anaitwa akinyi wa ahero nyakach.Nimejifunza sana lugha hiyo,historia yake na nyimbo zake.
Kuna mwaka mmoja nilienda shirati ili kupata historia ya daniel owino misiani,peter ondielo,jumaa sammy na ochimbo ja yong'o.D.O misiani alitoa santuri moja inaitwa olik tiga,aisee acha tu.Ochimbooooooooooo,ochimbo ja yong'😵riti yawaaa
Kijaluo sio kibantu hiki n kinailotic lugha hizi zinashabihiana na zile za sudan, north uganda,some part of kenya hivo lugha hii huonekana ya ajabu hasa kwene jamiii ya kibantu kwasababu haishabihiani na lugha za makabila yote ya kibantu
 
Kijaluo sio kibantu hiki n kinailotic lugha hizi zinashabihiana na zile za sudan, north uganda,some part of kenya hivo lugha hii huonekana ya ajabu hasa kwene jamiii ya kibantu kwasababu haishabihiani na lugha za makabila yote ya kibantu
ni kweli sio kibantu na kwa wabantu inaonekana tofauti kabisa,kama ambavyo kibantu kina oonekana tofauti kwa wasio wabantu
 
Katika lugha za kiafrika,kijaluo ni lugha moja nzuri sana na naipenda sana.

Nilianza kuifahamu lugha hii nikiwa na miaka 20 na kwa kudra za Mungu,nilipata mtoto na dada mmoja anaitwa akinyi wa ahero nyakach.Nimejifunza sana lugha hiyo,historia yake na nyimbo zake.
Kuna mwaka mmoja nilienda shirati ili kupata historia ya daniel owino misiani,peter ondielo,jumaa sammy na ochimbo ja yong'o.D.O misiani alitoa santuri moja inaitwa olik tiga,aisee acha tu.Ochimbooooooooooo,ochimbo ja yong'😵riti yawaaa
Omera machegeny..
Dho luo mit pipi
 
Katika lugha za kiafrika,kijaluo ni lugha moja nzuri sana na naipenda sana.

Nilianza kuifahamu lugha hii nikiwa na miaka 20 na kwa kudra za Mungu,nilipata mtoto na dada mmoja anaitwa akinyi wa ahero nyakach.Nimejifunza sana lugha hiyo,historia yake na nyimbo zake.
Kuna mwaka mmoja nilienda shirati ili kupata historia ya daniel owino misiani,peter ondielo,jumaa sammy na ochimbo ja yong'o.D.O misiani alitoa santuri moja inaitwa olik tiga,aisee acha tu.Ochimbooooooooooo,ochimbo ja yong'😵riti yawaaa
Chundiiii
 
Wajaluo nimekaa nao pande za mererani hawana baya
ni kweli wao ni kazi,kula ugali na nyama,na ulaji wao wa ugali huwa unanifurahisha sana,kwenye mkono anakuwa na tonge 2,moja ndio analila kwa kutoboa tundu katikati na kuweka mchuzi na la pili linakaa rizevu,na kila tonge linaenda na nyama
 
Katika lugha za kiafrika,kijaluo ni lugha moja nzuri sana na naipenda sana.

Nilianza kuifahamu lugha hii nikiwa na miaka 20 na kwa kudra za Mungu,nilipata mtoto na dada mmoja anaitwa akinyi wa ahero nyakach.Nimejifunza sana lugha hiyo,historia yake na nyimbo zake.
Kuna mwaka mmoja nilienda shirati ili kupata historia ya daniel owino misiani,peter ondielo,jumaa sammy na ochimbo ja yong'o.D.O misiani alitoa santuri moja inaitwa olik tiga,aisee acha tu.Ochimbooooooooooo,ochimbo ja yong'😵riti yawaaa
SAFI SANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom