Kijaluo ni lugha moja nzuri sana

Kijaluo ni lugha moja nzuri sana

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,608
Reaction score
7,168
Katika lugha za kiafrika,kijaluo ni lugha moja nzuri sana na naipenda sana.

Nilianza kuifahamu lugha hii nikiwa na miaka 20 na kwa kudra za Mungu,nilipata mtoto na dada mmoja anaitwa akinyi wa ahero nyakach.Nimejifunza sana lugha hiyo,historia yake na nyimbo zake.
Kuna mwaka mmoja nilienda shirati ili kupata historia ya daniel owino misiani,peter ondielo,jumaa sammy na ochimbo ja yong'o.D.O misiani alitoa santuri moja inaitwa olik tiga,aisee acha tu.Ochimbooooooooooo,ochimbo ja yong'😵riti yawaaa
 
Kuna tofauti gani kati ya mjaluo wa 255 na yule wa 254?
Tofauti ya ideology tu wale wa 254 wapo speed sana kwenye life kwa sababu wameishi kwenye ubepari hawa wa 255 ni zao la ujamaa.
But 98% wanafanana.
Wale wa Kenya wanamix na English hawa wa tza wanamix na kiswahili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom