Huyu Kihongosi mbona anatumia nguvu sana kupambana na wenzake!! Ila aweke akiba ya maneno maana hizi siasa Zina kurasa nyingi sana.
Anatakiwa awajibu kina zito na kina heche.
Huyu dogo hajui mipaka take kiutendaji na maneno pia anayotumia kwa mtu aliyekuwa senior kwake kiutendaji.

Kipindi cha Papo kwa papo nilimsikia Kenan akimwambia Pole2 Shikamoo.

UVCCM Hamna katibu.Analewa madaraka ndio maana Sabaya aliingia chumbani kwako.

Mapungufu ya Polepole sio size yako Kenan.Polepole anajua uhuni mwingi wa chama kuliko wewe.
 
Huyu dogo hajui mipaka take kiutendaji na maneno pia anayotumia kwa mtu aliyekuwa senior kwake kiutendaji.
Kipindi cha Papo kwa papo nilimsikia Kenan akimwambia Pole2 Shikamoo.
UVCCM Hamna katibu.Analewa madaraka ndio maana Sabaya aliingia chumbani kwako.
Mapungufu ya Polepole sio size yako Kenan.Polepole anajua uhuni mwingi wa chama kuliko wewe.
uhuni upi anaoujua polepole😀😀😀, kabaki kuwa mbunge wa viti maalum eti anajua uhunu wa chama😀😀😀😀
 
Hivi sasa hivi kupingana na mawazo au na mitazamo ya walio wengi ni makosa? Duuh.

Ccm walikaa kimya Magufuli alipoingiza tabia ya kuzuia free speech. Leo wanafungana midomo kwa style Ile ile ya Magufuli. Huyo Polepole alikuwa ni mmoja wa waliosupport mwenendo mbovu wa Magufuli kuua uhuru wa maoni, acha avune matunda ya siasa chafu alizoshiriki kuzipandikiza.
 
Huyu dogo hajui mipaka take kiutendaji na maneno pia anayotumia kwa mtu aliyekuwa senior kwake kiutendaji.
Kipindi cha Papo kwa papo nilimsikia Kenan akimwambia Pole2 Shikamoo.
UVCCM Hamna katibu.Analewa madaraka ndio maana Sabaya aliingia chumbani kwako.
Mapungufu ya Polepole sio size yako Kenan.Polepole anajua uhuni mwingi wa chama kuliko wewe.

Mkuu nguvu ya mamba iko ndani ya maji, hiyo Polepole kwa sasa ni kama mamba aliye nje ya maji.
 
Guys kila mtu anahuru juu ya hili kwanini umulazimishe akubaliane tu kuchnanywa..overall polepole hajafika miaka 50 ndo maana nashangaa hata kilongozi kwanini amechanjwa wakati hajafika 50 unless kama anamagonjwa
Polepole ana miaka zaidi ya babu yako!! Ni vile tu alikosa vitamin flani ndiyo maana mnamuona haelewekieleweki,heshima ichukue mkondo wake please
 
Siasa haina tofauti na gurudumu la gari, muda wowote gari likiwaka na gurudumu linabadilika.
 
Kuna vitu havitokei bahati mbaya

Linalojamba ni tumbo, makalio ni spika tu

IMG_3408.jpg


Ngoja tuone mwisho wa haya yote....
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5.

Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.

Una maoni gani kwa wana ccm hao?
View attachment 1885601
Mbona POLISI mnao Mpeni KESI ya UGAIDI
 
Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5.

Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.

Una maoni gani kwa wana ccm hao?
View attachment 1885601
Chanjo ni hiari, kampinga vipi rais?

Acheni uzwazwa....
 
L
Mkuu nguvu ya mamba iko ndani ya maji, hiyo Polepole kwa sasa ni kama mamba aliye nje ya maji.
Lakini mamba huyo anajua maji yalikuwa na chumvi na yeye alishiriki kuweka chumvi.Mamba waliomo waweza wasijue maji hayo yakoje.
Lumumba ndio maana glass za maji huwa wanatembea nazo mfukoni.
Mangula bora afuate ulanzi
 
Huyu Kihongosi mbona anatumia nguvu sana kupambana na wenzake!! Ila aweke akiba ya maneno maana hizi siasa Zina kurasa nyingi sana.
Anatakiwa awajibu kina zito na kina heche.
Atatumika atatupwa mwache ajidai
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Back
Top Bottom