Sipendi kusisitizia lakini surely... viongozi wetu wangetumia gari ambazo kidogo ziko salama zaidi... although hakuna 100% security/safety.
hapo Ndipo Watanzania Wanaponishangaza ...wakinunua Hayo Mashangingi Mnalalamika ...wakiendesha Corola Na Kupata Ajali Mnataka Wanunuliwe Mashangingi...kweli Siasa Ya Nji Hii Anaiweza Lyatonga Tu....
RIP Chacha,Poleni ndugu, marafiki na wana tarime na watanzania.
Pia watu humu tupunguze uzushi, hivi kila bunge likianza wakaenda car dealers na wabunge kuchagua magari hatutasema? mara ngaoi tunawalaumu na kuwanyoshea vidole eti wanaendesha mashangingi bila kujali wapiga kura wao? Tusiwe na double standards.
Chacha kaondoka na bila hiyana ndani ya kikolola chake not even a rav 4. Hakuwa ndani ya gari ya kifisadi.
Hivi mbowe na kambi yake wataenda kwenye mazishi baada ya majungu yote waliomfanyia?
Hapana Mkuu, Kama M/kiti Anasafiri Kwa Helcopter,why Makamu Atembelee Corolla Tena Hata Haina Airbag!!!!
Wanaosema Serikali Ijiondoe Ktk Magari Ya Enzi Za Benja Ni Wendawazimu Tu, Ulalamishi Umetujaa Sana Sisi Wa Tz, Watu Hmataki Ndege Ya Rais Iwe Mpya !!!!!
Bado Tuna Safari Ndefu Sisi Wa Tz Ili Tuweze Kuwa Wakweli Mbele Ya Mtu Yeyote.
Kwa Sasa Mtu Anaweka Msimamo Just Bcoz Hampendi Fulani Na Si Un Yeti Wa Issue.
Jaman Spika amelia sana. na sasa wanakutana katika kikao cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Huduma za Bunge. Kamati ya Uongozi ni kwa ajili ya mambo ya Kibunge na kamati ya huduma ni kwa mambo ya kiutawala
Nakubaliana na wewe mkuu!!! kuweka rekodi sawa ni kwamba tairi mbili za upande mmoja... yaani ya mbele na nyuma ndio zilizokuwa zimepasuka.
Ukubwa wa gari pia una kinga fulani... no wonder wamepewa mikopo ya magari kama nissan patrol na toyota landcruiser gx... haya yako salama zaidi kuliko Toyota Corrola...
Sipendi kusisitizia lakini surely... viongozi wetu wangetumia gari ambazo kidogo ziko salama zaidi... although hakuna 100% security/safety.
Kipande cha barabara ya Pandambili hadi Gairo - inavyodaiwa na wenyeji - kuna vibwengo vinavyokunywa damu za watu. Katika kipindi cha miezi 3 iliyopita mabasi ya Champion na Happy Nation yalipata ajali maeneo hayo hayo. Na wenyeji hao hao wanakupa uhakika kuwa ukitaka kumfanyizia mtu, sehemu hiyo huwa muafaka sana.
Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).
Zaidi nitawafahamisha