Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).
Zaidi nitawafahamisha
Usalama wa barabarani unategemea na vitu vinne tu:
(a) umakini wa dereva wa gari husika
(b) umakini wa watu wengine watumiayo barabara
(c) hali ya barabara yenyewe
(d) hali ya gari lenyewe.
Tairi zote kupata pancha klwa pamoja inaweza kuwa ni tatizo la barabara kuwa ilikuwa na misumari au gari ilikuwa na tairi za kipara. hatujui
Wanabodi,
Nimeshitusha sana kwa kuona kwamba marehemu alikua akitumia gari dogo kwenye safari yake hiyo.
Mimi binafsi kwa kweli hivi vigari vidogo siviamini kwa usalama...
Nakubaliana na wewe mkuu!!! kuweka rekodi sawa ni kwamba tairi mbili za upande mmoja... yaani ya mbele na nyuma ndio zilizokuwa zimepasuka.
Ukubwa wa gari pia una kinga fulani... no wonder wamepewa mikopo ya magari kama nissan patrol na toyota landcruiser gx... haya yako salama zaidi kuliko Toyota Corrola...
Sipendi kusisitizia lakini surely... viongozi wetu wangetumia gari ambazo kidogo ziko salama zaidi... although hakuna 100% security/safety.
usiseme hivyo ndugu yangu ajali ni ajali tu...cha muhimu mwombe Mungu akulinde na ajali,majanga na mabalaa yote ili uendelee kumtukuza Yeye siku zote.
kwenye ajali hakuna cha gari ndogo wala kubwa .....usalama wetu upo mikoni mwake yeye Muumba wetu.
Nakubaliana na wewe mkuu!!! kuweka rekodi sawa ni kwamba tairi mbili za upande mmoja... yaani ya mbele na nyuma ndio zilizokuwa zimepasuka.
Ukubwa wa gari pia una kinga fulani... no wonder wamepewa mikopo ya magari kama nissan patrol na toyota landcruiser gx... haya yako salama zaidi kuliko Toyota Corrola...
Sipendi kusisitizia lakini surely... viongozi wetu wangetumia gari ambazo kidogo ziko salama zaidi... although hakuna 100% security/safety.
Sisi tulimpenda lakini MUNGU alimpenda zaidi. MUNGU aiweke roho ya marehemu mahali pema peponiJaman Spika amelia sana. na sasa wanakutana katika kikao cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Huduma za Bunge. Kamati ya Uongozi ni kwa ajili ya mambo ya Kibunge na kamati ya huduma ni kwa mambo ya kiutawala
LAKINI AIRBAG SYSTEM YA MASHANGINGI NI BORA KULIKO YA MARK 11...,NDIO MAANA WATAALAMU WA USALAMA WANAPENDEKEZA MASHANGINGI KWENYE OFFROAD AU SAFARI NDEFU.......HATA UKICHUNGUZA MISAFARA YA RAIS..OR THE LIKE KAMA ANAENDA SAFARI NDEFU ZAIDI YA KM 100 AU KWENYE BARABARA MBAYA ..HUPANDA MASHANGINGI..YAPO SECURED ZAIDI...
...AIRBAG INASAIDIA SANA..UKIONA ILIVYOMSAIDIA MTU KAMA KAPUYA ..UTAAMINI ...NA UKIONA NAMNA MAMA MBATIA AMBAYE KWA BAHATI MBAYA ILE NISSAN PATROL YAKE ILIKUWA OLD MODEL KIDOGO NA HAIKUWA NA AIRBAG...INGEKUWEPO ANGEWEZA KUTOKA MZIMA.....hata mtu kama MUDHIHIR alipopata ajali na cruizer yake kama sio AIRBAG zaidi ya kuumia angeweza hata kupoteza maisha...
SIKU ZA KARIBUNI WABUNGE WAMEKUWA HAWAPEWI CHAGUO LA MAGARI AMBAYO WANATAKIWA KUYANUNUA YAKIWA MAPYA..BUT I REMEMBER KABLA ..KILA BUNGE JIPYA LINAPOANZA DEALERS WA MAGARI MAPYA...LANDROVER,TOYOTA,NISSAM,MITSUBISHI ..ets walikuwa wanakaribishwa bungeni na wabunge walitakiwa wachague magari miongoni mwa make zinazoaminiwa na serikali.....baadaye naona huu utaratibu umeachwa na hii imesababisha wabunge wengi kuingizwa mkenge na wauzaji wa USED.....najua wabunge wengi tu ambao sasa hivi magari yao yanawasumbua sana...na hayakidhi mahitaji ya wanakotokea ..kutokana na kuchakaa haraka....