Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
this brings me to this question:

Kama baada ya ajali vitu vyote walivyokuwa navyo laptop, masanduku n.k viliibwa na hatujaambiwa kama vimepatikana TBC1 wamepata wapi nyaraka zinazoonesha kuwa katika safari hiyo alikuwa anaenda kufungua kesi na kuzungumza na vyombo vya habari isipokuwa kama na wao TBC walikuwa na taarifa hiyo kabla? au mtu mwingine zaidi ya Chadema alikuwa na taarifa hiyo ya safari?

Shimo hilo hawatatoka salama.

Swali zuri sana Mzee Mwanakijiji,

Mimi ningekuwa Tido Mhando ningeachana na huu upuuzi wa kutaka kugeuza kifo cha mbunge wa Tarime kupandikiza chuki zisizo na maana kwa wakazi wa Tarime na watanzania kwa ujumla. Hawa TBC wamejifanya kuwa wanacover hiki kifo cha Wangwe kwa muda mwingi lakini ukitazama content ya yote yale wanayotangaza utaona kabisa kuwa wana nia chafu kabisa isiyotakiwa kabisa kwa watanzania leo hii.

Uzushi tu na speculations na habari za uchochezi ndizo wanatoa. Kuna mtu aliwadanganya TBC kuwa watu wa Tarime ni mazezeta na wataanza tu fujo bila kufikiri na sasa wamegundua kuwa watu wa Tarime hatutaki kugawanywa kwa misingi yoyote ile wakati huu wa maombolezo.
 
Sehemu ya kuanzia ni humu JF ,kwani aliyesema kuwa apigwe risasi ni Jmushi ambaye tayari kaomba radhi, sasa naona mnatafuta kumhusisha Jmushi hivi huyu ndio Mallya? Huyu JMUSHI NDIO MALLYA?

Kiranja Maneno yako si Mazuri....Sote tunamjua Jmushi na namna ya maandiko yake,Tafadhali naomba wandugu tuwe waangalifu na tuiondoe hiyo kauli yake ya kutaka "Wangwe apigwe risasi".Huyu Bwana aliandika tu!!,kama anavyoandika mambo mengine humu....Lakini kauli yake hii kuishikia Bango,tutamletea matatizo....Kumbukeni kuwa amekufa mtu hapa....(Wangwe) Ndugu ,Jamaa,na marafiki zake wapo hapa,tutaharibu sana kijiwe chetu kama tunachochea habari hizi za Chuki....Itakuwa mnajidanganya sana kama mkifikiri hatujulikani...Kila mmoja atajulikana kwa jina lake na eneo alipo ikiwa mkono wa sheria unataka kukujua hivyo....sasa Chonde waungwana tusiwahusishe wenzetu na kifo cha Marehemu Wangwe....Hali si shwari,uchunguzi wa kifo chake utapita hapa
 
Kiranja Maneno yako si Mazuri....Sote tunamjua Jmushi na namna ya maandiko yake,Tafadhali naomba wandugu tuwe waangalifu na tuiondoe hiyo kauli yake ya kutaka "Wangwe apigwe risasi".Huyu Bwana aliandika tu!!,kama anavyoandika mambo mengine humu....Lakini kauli yake hii kuishikia Bango,tutamletea matatizo....Kumbukeni kuwa amekufa mtu hapa....(Wangwe) Ndugu ,Jamaa,na marafiki zake wapo hapa,tutaharibu sana kijiwe chetu kama tunachochea habari hizi za Chuki....Itakuwa mnajidanganya sana kama mkifikiri hatujulikani...Kila mmoja atajulikana kwa jina lake na eneo alipo ikiwa mkono wa sheria unataka kukujua hivyo....sasa Chonde waungwana tusiwahusishe wenzetu na kifo cha Marehemu Wangwe....Hali si shwari,uchunguzi wa kifo chake utapita hapa

Wanataka kumtoa kafara Mushi wetu ili wapindishe ukweli. wana Tarime hawana mizengwe na Mushi ila wamemtimua MBOWE na kuhakikisha haguzi maiti ya Wangwe wala kuiona hilo wamefanikiwa.
 
Wanataka kumtoa kafara Mushi wetu ili wapindishe ukweli. wana Tarime hawana mizengwe na Mushi ila wamemtimua MBOWE na kuhakikisha haguzi maiti ya Wangwe wala kuiona hilo wamefanikiwa.

Familia imesema inamtafuta mtaalamu huru ili kuufanyia tena autopsy mwili wa marehemu.
 
Mie mnanichanganya tu tangu, nashauri kila message tunayoipata tuitafakari kwa utulivu, ni rahisi sana kuchukuliwa na upepo na mawimbi ya emotions. Pease people, take care. Ni wakati mgumu huu. Na kumbuka, there are always those will want to take advantage kwa emotions zetu. Mie simo

One being mzee mwanakijiji
 
Wewe uongo tu utakuponza leo. Haujui historia ya Chacha na wala hujui nini kilimfanya akahamia Chadema. Punguza chuki binafsi na utajua kinachoendelea Tarime leo hii - mipango ya mazishi ya mbunge wa Tarime.

Ubinadamu unao hata kidogo?
waliosema Wangwe ni mzigo Chadema walikuwa na ubinadamu? au siwezi kufanya kazi na Wangwe jee Wangwe ni mnyama au simba? kama walijua ni binadamu kwanini walikataa kufanya nae kazi?
 
waliosema Wangwe ni mzigo Chadema walikuwa na ubinadamu? au siwezi kufanya kazi na Wangwe jee Wangwe ni mnyama au simba? kama walijua ni binadamu kwanini walikataa kufanya nae kazi?

haya yaliyosemwa kabla ya kifo cha Wangwe yanahusiana vipi na leo hii ambapo watu tunaomboleza kifo cha mbunge wetu. Nakuomba tena kwa heshima zote utupatie muda watu wa Tarime kuomboleza kifo cha mbunge na ndugu yetu badala ya kuleta mambo yasiyo na msingi wala kuhusiana na kifo chake.
 
Kiranja Maneno yako si Mazuri....Sote tunamjua Jmushi na namna ya maandiko yake,Tafadhali naomba wandugu tuwe waangalifu na tuiondoe hiyo kauli yake ya kutaka "Wangwe apigwe risasi".Huyu Bwana aliandika tu!!,kama anavyoandika mambo mengine humu....Lakini kauli yake hii kuishikia Bango,tutamletea matatizo....Kumbukeni kuwa amekufa mtu hapa....(Wangwe) Ndugu ,Jamaa,na marafiki zake wapo hapa,tutaharibu sana kijiwe chetu kama tunachochea habari hizi za Chuki....Itakuwa mnajidanganya sana kama mkifikiri hatujulikani...Kila mmoja atajulikana kwa jina lake na eneo alipo ikiwa mkono wa sheria unataka kukujua hivyo....sasa Chonde waungwana tusiwahusishe wenzetu na kifo cha Marehemu Wangwe....Hali si shwari,uchunguzi wa kifo chake utapita hapa

Kwa hio mkuu mimi unanifahamu?

Haya nisalimie kwa PM basi, lol.

Unajua hili suala hata kama wakuryia huwa wana namna yao ya kuomboleza, hio haimaanishi kwamba tunaweza kuja hapa na kuongea nosense.

Mimi mwenyewe nilimuonea huruma sana alietoa hio kauli marehemu awe executed kwa risasi, lakini nae alikuwa akiweka feelings zake zijulikane wazi kuhusu hii siasa yetu na si his criminal intent.

Lakini siku za hivi karibuni nimekuwa sifurahii some elements zinazodhoofisha umaarufu wa JF na wanachama wake.
 
haya yaliyosemwa kabla ya kifo cha Wangwe yanahusiana vipi na leo hii ambapo watu tunaomboleza kifo cha mbunge wetu. Nakuomba tena kwa heshima zote utupatie muda watu wa Tarime kuomboleza kifo cha mbunge na ndugu yetu badala ya kuleta mambo yasiyo na msingi wala kuhusiana na kifo chake.
hadi sasa mwenyekiti hajaona maiti wala kuigusa hili ndilo la muhimu, na amesababisha mazishi kuahirishwa kwa vile kaleta balaa kwenye mazishi.
 
hadi sasa mwenyekiti hajaona maiti wala kuigusa hili ndilo la muhimu, na amesababisha mazishi kuahirishwa kwa vile kaleta balaa kwenye mazishi.

Viongozi wa vyama vya upinzani (Mbowe na wenzake) na ccm (akiwemo Gachuma) wamekuwa kwenye msiba huu na hakuna yeyote aliyezuiwa kuona maiti au chochote. Haya ya kutozikwa yametokana na uamuzi wa familia chini ya Prof wangwe kuamua kuwa maziko yasifanyike bila uchunguzi binafsi na huru kufanyika.

Haya mengine ya kwako ni uongo na uzandiki ambao watu wa Tarime tumeukataaa kwa nguvu zote.
 
Admin kiboko,

Kila mwanakijiji na wenzake wakianzisha thread mpya kuhusu jambo hili hili la msiba wa Chacha Wangwe... anaziunganisha kwenye thread mama...

Big up admin.
 
hebu tuweke rekodi vizuri Jmushi hakusema Wangwe apigwe risasi... at least not in exact tone like that..
 
Tutajaribu kuwapata watu Tarime leo mchana kwenye KLHN "Live".. special reporting...

Tusimtazame WANGWE kaangukia wapi?tutizame wapi alijikwaa, suala sio MALLYA, swali kuna watu walisema kuwa anatoa siri zao, hata KGB AU FBI ukitoa siri zao mara nyingi unakuwa huna maisha marefu.
Mwanakijiji unaweza kufa na TB laki sababu ulikuwa na UKIMWI, au unaweza kufa na homa ya mapafu asili yake una ukimwi.
polisi wetu wanajua kufanya kazi vizuri.
 
Autopsy ya kwanza imeonyesha nini ambacho hawakiamini ?

Kulikuwa na autopsy ya kwanza ?

Hili ni swali muhimu sana la kujiuliza lakini pia sioni makosa ya kufanya nyingine hata zaidi ya mara moja ili kuondoa utata ambao umetokea kwenye kifo hiki cha kusikitisha.
 
Viongozi wa vyama vya upinzani (Mbowe na wenzake) na ccm (akiwemo Gachuma) wamekuwa kwenye msiba huu na hakuna yeyote aliyezuiwa kuona maiti au chochote. Haya ya kutozikwa yametokana na uamuzi wa familia chini ya Prof wangwe kuamua kuwa maziko yasifanyike bila uchunguzi binafsi na huru kufanyika.

Haya mengine ya kwako ni uongo na uzandiki ambao watu wa Tarime tumeukataaa kwa nguvu zote.
source www.michuzi-blog.com na picha ya MBOWE ipo anakimbikia kama nyambui.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom