Tenda haki. Kama unaweza kusema tuanzie Chadema, ndio unatuambia uchunguzi ufanyike, ili kama ni Chadema, CCM ijulikane. Lakini kumbuka Chadema, CCM, Polisi, Usalama, JWTZ kama taasisi haziwezi kuua, wanaoweza kuua ni watu ndani ya taasisi hizo. Tumewahi kusikia polisi, wanajeshi wakihusika na uhalifu, juzi mwanajeshi kaua mkewe, halafu tumesikia wanajeshi wamekamatwa na mitambo ya gongo, tukasikia, kiongozi wa CCM kakutwa na nyara za serikali, tukasikia wabunge wa CUF wamefoji document kusafirisha vimada, tukasikia kuna viongozi wa Chadema ni majambazi, huko Tarime kuna wana Chadema ni wahalifu. Uhalifu upo sehemu yoyote hata humu JF kuna wahalifu na watu wanaolipwa kuandika tofauti na wengine wanaoandika kwa kuwa ni sehemu ya "kiburudisho" cha maisha yao. Tusibadili muelekeo, TUTALAANIWA. Ingekua Waislamu, angekwisha kuwa amezikwa pale pale Dodoma juzi Jumanne, tena baada ya adhuhuri. KWa sisi kuchelewa kuzika na kunyanyasa maiti ni jambo la kawaida haswa sisi watu wa bara