[/SIZE][/COLOR]Kwa maneno yako ni kuwa CHADEMA sio waliomuua kwani sasa watakosa hiyo ruzuku.
maneno yako yana maana kubwa sana sasa nani kamuua?
Wangwe hadi sasa tunatambua kafa kwa ajali lakini uchunguzi ukifanyika mahala pakuanzia ni ndani ya CHADEMA.
Alimua anaweza kua kiongozi ,mtu yeyote ama kibaka aliye pita na fedha zake pamoja na komputa yake.
Lakini uchunguzi lazima ufanywe ktk maeneo yote yanayoshukiwa ,eneo la kwanza ni chadema.