wewe naye!!!
Nipe jina mbunge wa mwaka 1990 ,mkuu wa wilaya wa mwaka 1996 na mkuu wa polisi wa mwaka 1998 na Mbunge kabla ya Chacha anatoka kijiji gani? maana nawasi wasi na wewe kidogo.
CHADEMA ndipo sehemu ya kuanzia kuchunguzwa.
1.CHACHA alikua ktk mchakato wa mwisho kukipeleka CHADEMA mahakamani ili waeleze na kuthibitisha waliyomzushia.
2. Wangwe alivuliwa umakamu na CHADEMA kwa kua ni mzigo na anayemega siri zao
3. MBOWE alisema hawezi fanya kazi na mtu kama CHACHA
4.CHACHA alikituhumu chdema kwa kufisadi fedha
5. Ktk uhai wake watu wa chadema walidai apigwe risasi na kweli dalili za mwanzo zinaonyesha CHACHA kapigwa RISASI mbili za kichwa.
Hata ktk hali ya kawaida mtu akikwambia aisii wewe subiri nitakuchoma kisu cha tako ,na baada ya siku kadhaa kweli ukachomwa kisu ,polisi wanakuja moja kwa moja kwa yule jamaa aliyetamka hakuna cha kujadiliana hapo.
Sehemu ya kuanzia ni CHADEMA ndio waende kwingine unless labda ajali hiyo ni ya kawaida kama ajali zingine.
Sehemu ya kuanzia ni humu JF ,kwani aliyesema kuwa apigwe risasi ni Jmushi ambaye tayari kaomba radhi, sasa naona mnatafuta kumhusisha Jmushi hivi huyu ndio Mallya? Huyu JMUSHI NDIO MALLYA?